Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Naangalia maoni ya wasomaji, na maneno ya rais, ufahamu ni tatizo. Kuna dalili za kushabikia maoni ya Askofu Shoo kama ahueni kufuatia Waraka wa Katoliki kumbe ni uzi ule ule! Katoliki hawakupinga Uwekezaji.
Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?
Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.
Tatizo ni Mkataba. Askofu Shoo anasema anaunga mkono Uwekezaji. Hajasema anaunga mkono Mkataba! Rais naye anaongeza hakuna wa kutugawa! Nani kawagawa? Sema juu ya MKataba! Kuna kundi linaonekana kujawa furaha ya matumaini ya kuungwa mkonoi na KKKT! Hawajiulizi uwekezaji nani kaukataa?
Nionavyo KKKT na Katoliki wako pamoja. Katoliki wameenda mbali zaidi na kuukosoa mkataba kwa maandishi. Ninayo hisia kwamba siku chache zijazo baada ya rais kuwapisha jukwaa lao, KKKT watakuja na msimamo halisi unaohusu Mkataba.