Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,638
- 47,700
muu umetoa darsa murua sana, Tatizo ni hawa wanafunzi wako, uwezekano wa kuelewa hoja ni mdogo ndo maana sisi wengine huamua kuwa blast tu.
Ni imani ataelewa tu.Maana hili swala liko wazi kabisa
muu umetoa darsa murua sana, Tatizo ni hawa wanafunzi wako, uwezekano wa kuelewa hoja ni mdogo ndo maana sisi wengine huamua kuwa blast tu.
hapana nilikuwa nimewahi kabla hawajaanza kurusha...niliwapata muda ulipofika!
Wacha kutumia lugha ya kuudhi kwa viongozi wa kidini maana haisaidii chochote
Kuanzia sasa wale waliofika kwa Gwajima kupata ushauri wa kiroho, you know the name of the game. Hakuna aliye salama. Sitarajii mapadre wakatoliki wajitokeze hadharani kumwaga maungamo ya waumini wao hadharani kwa sababu ya political interest.
ahahahaha, pole mkuu, ndo Gwajima huyo, haangaliagi nyani usoni, anatwanga kotekote. Gwajima ukimletea za kuleta anakupa zotezote.Hili ndio tatizo la watanzania wengi, tunapenda kukurupuka bila kufanya utafiti. Kama ulisikiliza hotuba ya Dr. Slaa alimnukuu huyo Gwajima kuwaa ndiye aliyesema na kuwa Maaskofu 30 wakatoliki wamehongwa maana wale wa Kilutheri walishakubali kumuunga Lowasa mkono. Dr. Slaa alisema kama ni kweli maaskofu wamehongwa?!!!!
Hata mimi namshangaa Gwajima kama kiongozi wa dini kutoa siri za waumini wake na kuendelea kusema kuwa Dr. Slaa amewatukana maaskofu akisahau jinsi alivyomtukana Kadinali Pengo. Kweli manabii wa uwongo hawataisha!
yeye dakitari slaa kama kiongozi mkubwa wa kisiasa, tena aliyekuwa na wafuasi na wapenzi nchi nzima, tena padiri mstafuu na baba wa familia ya wake kadhaa, ilikuwa sahihi kwake kusema uongo kuwa kahama chadema sababu ya lowassa? ilikuwa sahihi kwake kudanganya kuwa mashekhe na maaskofu wamehongwa? ilikuwa sahihi kwake kumwita askofu Gwajima mshenga?We are talking about the Moral responsibilities of Religious leaders, and especially those who listens to the confessions of their flocks. Also do not forget that it is the role of religious leaders to intervene and try and resolve any problems between couples and families, thus is it morally correct to talk of these confessions and problems in public and at press conference paid for with his followers contributions. Viongozi wa dini wanapaswa kuwa na uvumilivu wa ziada.
Jee unaunga mkono Gwajima kurekodi mazungumzo ya watu anaotatua matatizo yao, Jee anawafahamisha kama anawarekodi??
Kama unalengo la kumtetea Gwajima sikuungi mkono. Tatizo watu kama Gwajima wanajaribu ku- brainwash watu.
Tafakari; Leo anakuja kusema kuwa kanisa Katoliki na viongozi wake ni "very credible" wakati juzi juzi tu kamdhalilisha vibaya kiongozi wao mkuu (Card. Pengo). Sasa anajikomba kwao, au anajua jamaa wamesahau!! Hiyo credibility ya kanisa hilo ameigundua lini, leo? Huyu si anadhani wote sie ni wajinga na brainwashed?