Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

gwajima nimemkubali na nimemuelewa vizuri sana ila wale wanao fanya siasa uchwara kutoka kwa wakoloni na chama chao cha kifisadi watajifanya awajamuelewa na ndio wanabisha uku ila wajue mwaka huu watakabizi madaraka kwa mzee
 
Gwajima ni Mchungaji wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania.

Kwa nini anawarekodi waumini wake wanavyoelezea shida zao?

Kwa nini anatoa siri za waumini wake, hasa kuhusu maisha binafsi.?

Kama yeye kweli anafufua misukule kwa nini ameshindwa kulitoa pepo analosema analo B.Josephine?

Hivi nyie waumini wake mnaamini mko salama kupitia mtu huyu, hasa ukizingatia matatizo mengi ya watanzania chanzo ni ndoa.?

Shituka muumini wa gwajima, gwajima sio mtumishi wa Mungu ila ni tapeli aliejificha kwenye mwavuli wa Mungu.!

Kuanzia sasa wale waliofika kwa Gwajima kupata ushauri wa kiroho, you know the name of the game. Hakuna aliye salama. Sitarajii mapadre wakatoliki wajitokeze hadharani kumwaga maungamo ya waumini wao hadharani kwa sababu ya political interest.
 
Kama isingekuwa maccm kuiba kura 2010, tungeingiza balaa Ikulu. Nimeamini laana ya kusaliti kanisa katoliki ni mbaya
 
kwani mazezeta yanaisha humu duniani???,hujasikia yule askofu alikua anawanyonyesha naniliu waumini wake,eti anawanywesha maziwa ya baraka........ha ha ha,,

Hapo kwenye nyekundu???????????????.Meaning???????????
 
Ameomba slaa amjibu ili aseme slaa alivyokutana na maafisa usalama wanne na mzigo alioupokea na mahali alipouweka dr mihogo jibu sasa kama una ubavu askofu amekuweza arrrrirrririririh

Huyu ni Askofu ama mwanasiasa? Kwa kauli hii pekee ni kwamba Askofu kamweka Mungu kando akakutana na wanasiasa kuandaa majibu. Kwa kifupi naye anatumika.
 
CHADEMA has officially buried itself.

This is the heaviest bullsh*t i have seen involving a political party.

Only Lowassa die hards will vote for the man now.
 
Hii inamaana DR.maswala ya Totoz kayajuliaaa ukubwan si ndo unachosema baba mchungaji haaaaa haaaa naenda kwa Makoye kupata li balimi baridi kwanzaaa totoz znaleta stress huko mjin kwenu
 
nyie kama mnapata muda wa kufuatilia watu wapuuzi kama akina gwajima kazi za kuwapatia kipato mnazifanya saa ngapi?
Kama anayefatiliwa na watu unamwita mpuuzi.. Ww usiye na maana kiasi cha kutofatiliwa na watu tukuiteje? Na km haumfatilii unafanya nn kwenye thread inayomuhusu!? Kama anakukera kale Malimao! Hovyo!
 
  • Thanks
Reactions: ERO
nnapoona jina la gwajima napata hasira sana jinsi alivyodhalilisha ndoa ya jamaa yangu,lakini ipo siku dunia itamuonesha
 
Kama anayefatiliwa na watu unamwita mpuuzi.. Ww usiye na maana kiasi cha kutofatiliwa na watu tukuiteje? Na km haumfatilii unafanya nn kwenye thread inayomuhusu!? Kama anakukera kale Malimao! Hovyo!
anadhihirisha upuuzi wake na cc tumpuuzie
 
Gwajima ni Mchungaji wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania.

Kwa nini anawarekodi waumini wake wanavyoelezea shida zao?

Kwa nini anatoa siri za waumini wake, hasa kuhusu maisha binafsi.?

Kama yeye kweli anafufua misukule kwa nini ameshindwa kulitoa pepo analosema analo B.Josephine?

Hivi nyie waumini wake mnaamini mko salama kupitia mtu huyu, hasa ukizingatia matatizo mengi ya watanzania chanzo ni ndoa.?

Shituka muumini wa gwajima, gwajima sio mtumishi wa Mungu ila ni tapeli aliejificha kwenye mwavuli wa Mungu.!

kwani dr slaa ni muumini wa gwajima?
 
askofu ama mchungaji,hapaswi kutake side,atakuja slaa atakuambia matatizo yake binafsi na ya kifamilia,hiyo noi siri yako askofu,atakuja lowasa nae atakuambia mambo yake....hao ni kondoo wako na wanaamini siri zao kwako ziko salama.....


sasa ewe mchungaji fake KUMBE HUWA UNAWARECORD WAUMINI WAKO?....

ndugu zangu wagalatia,hamuoni huyu mtu hafai kabisa?,
baba mchungaji,sijui askofu,unaenda kurusha mipasho kwa muumini wako bila hata aibu ,kwani yesu aliwaambiaje kuhusu kusamehe....

ewe mchungaji,sijui askofu,hata kama slaa kakuita mshenga,kweli huwezi kusamehe kama yesu alivyokuelekeza,,,,,,,,,AU LABDA yesu unaemuabudu ni yule yesu wa nyanzaland na si nazarethi..


wagalatia amkeni bana ,huyo mkongomani sio mtumishi wa mungu asee
Tulia sindano ipenye katikati ya masaburi yako, mlipomsajili dr mihogo mlitegemea nini,kamwaga mboga,mwenzake anamwaga ugali na kukojolea sufuria ya kupikia,kumwagga maji jikoni.
 
nnapoona jina la gwajima napata hasira sana jinsi alivyodhalilisha ndoa ya jamaa yangu,lakini ipo siku dunia itamuonesha
Km vp kufa kbs, coz utamuona sana! Kuh dunia kumuonyesha endelea kusubiri!
 
Back
Top Bottom