Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Katika hotuba yake kwa waandishi wa habari leo landmark hotel ubungo askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na Uzima Josephat gwajima amemtaka dr slaa ajitokeze hadharani kumjibu ili aanike hadharani namna alivyokutana na maafisa usalama wanne afrika kusini mzigo aliopokea na mahali alikouficha. Na pia akihojiwa na tido mhando jioni ya leo alisema anaenda marekani yeye na familia yake na kwamba marafiki zake ndiyo wanagharamia safari yake huku akisema bila kuwataja .kama hukupokea mzigo jitokeze umshambulie tena mshenga itakuwa vizuri zaidi.
 
1. Unamdanganya nani? huyo NGlalekumtwa ana uraia wa vatican kama alivyo pengo?

2. Huyo ngalalekumtwa amewahi hata kuingia kwenye lile jumba ambalo hutoa moshi mweupe pindi anapochaguliwa papa?

3. Huyo ngalalakumtwa anayo locus standi ya kuchaguliwa kuwa papa kama alivyo pengo?

4. Pengo akikohoa tu !! ana uwezo wa kumhamisha na kumpeleka sehemu nyingine kadiri anavyoona inafaa, je! Nalalekumtwa ana mamlaka hayo kwa pengo?

5. Ni nani anashirikiana na balozi wa papa kufanya mawasiliano ya moja kwa moja na papa katika uteuzi wa maaskofu?

Hujui sheria za kanisa katoliki,unaongea ka zuzu
 
Huyu Gwajima ni mnafiki,Leo anajifanya kuutaja uislamu na mtume wake kwa wema,wakati mahubiri yake yanachukia na kuusimanga uislamu na mtume Muhammad (S.A.W)Leo kulikoni?kuna nini kilichomshawishi?

Askofu Gwajima hachukii Waislam wala Uislamu, ACHA KABISA KUPOTOSHA UMMA KWA HABARI ZA UONGO.
Shida ya watu wajinga wajinga kama wewe ni kuwa huwa hamtaki kuambiwa au kusikia ukweli. Fuatilia kwa ukaribu Askofu Gwajima anawakemea viongozi wa Kikristo wenzake, wanasiasa pamoja na waislamu kwa neno moja anakemea maovu katika jamii kwa namna yeyote ile sasa inapotokea uovu unaonkemewa unahuhusiano na dini au dhehebu lako unatakiwa uwe neutral kwanza kabla a kufanya maamuzi mana ukichagua upande kisha ndio ufanye maamuzi daima utatafsiri mambo kwa namna ya upande uliouchagua wewe ili tu ukufurahishe.

Ingawa ukweli utabaki kuwa ukweli, UKRISTO na UISLAM zote ni dini ambazo lengo lake ni kuwapeeka watu Mbinguni(Wakristo) au Ahela(Waislam) na kila mwanadini huamini njia yake ni sahihi hivyo hujinadi sana ili kuwafany awengi kuifata njia yake ambayo ndio anahisi ni unyoofu nakuifikia Pepo.

sasa mmoja kati yao anapokua navutia kwake lazima mwingine aone mwenzake anakosea, kwanini? kwa sababu ameshachagua upande wa kufanyia maamuzi hata kabla hajafanya maamuzi.

HAPA NI TAIFA KWANZA KAMA ALIVYOSEMA ASKOFU GWAJIMA UJINGA WAKO WA UDINI PELEKA CCM ndio Sera zao hizo kwa sasa ili kuharibia Upinzani nchini.
 
Kiukweli nimesoma hii habari kwa utulivu na kuirudia mara mbili, lakini sijaona hoja yoyote ya msingi zaidi ya mipasho na uongo mkubwa uliotumika kumjibu Dr. Slaa! Kinachonifurahisha ni kwamba wote wanaojaribu kumjibu na kumchafua Dr. Slaa hawana hoja za msingi na wachungaji hao kama kina Gwajima ambao wanasema wanafufua watu na kuchunga kondoo wa bwana kwanini wanakuwa waongo?

We ndo una hoja ya msingi
 
Sasa sitaki bishana na ww nijidanganye nini ww mpagani unabishia ambao tulisomea seminary na kupitia hatua zote, I mean seminary sio saint nini.

umeongea vizuri juu hapa umekuja kuharibu unapojikweza,jishushe km kristo pia sisi/mimi ni mseminari toka visiga bt cku zote cc hujishusha na kujinyenyekeza
 
Namuona Mungu akikasirika. Je muumini mmoja anapovuliwa nguo na mchungaji wake yeye afurahie? Je kondoo mmoja anapopotea siye bora kuliko kondoo 100 waliopo zizini? Najuta kutegemea wachungaji ngoja nife nitaombewa na mwanangu

Unafahamu zambi ya usaliti?yuda alipomsaliti yesu kristo alisamehewa,
Je tumsamehe Huyu dr mihogo na delilah wake kwa usaliti,.....haiwezekani...na wafe tu
 
Hujui sheria za kanisa katoliki,unaongea ka zuzu
Haitoshi tuu kusema kwamba sijui , mimi nimeeleza uzuzu wangu wewe eleza kilicho sahihi zaidi ya kwamba kardinali ndio mkuu wa maskofu.
 
Haitoshi tuu kusema kwamba sijui , mimi nimeeleza uzuzu wangu wewe eleza kilicho sahihi zaidi ya kwamba kardinali ndio mkuu wa maskofu.

Kardinal sio mkuu wa maaskofu,na hata siku moja hakuna askofu anaeripoti kwa pengo,

Mkuu wa maaskofu ni papa,kila askofu na jimbo lake ni independent..(autonomous) anawajibika kwa pope na waumini anaowasimamia

Ngoja labda yuda Iscariot Dr.W.Slaa anaeza kukusaidia kama hatokusudia kukupotosha

Pili..mkuu wa kanisa katoliki tanzania ni mwenyekiti wa baraza la maaskofu
 
Watanznia kipande cha video kinacho sambazwa kikimwomesha LOWASSA eti akiomba kura Kanisani siyo kweli hiyo ni propaganda ya ccm kupitia Polepole ambaye alitengeneza video hiyo na kuisambaza hara kwenye video , ukiisikiliza vizuri utasikia sauti mbili , kunatarifa kuwa chama kinafanya mkakati ili kimfungulie mashaka ya kutengeza video ya uchochezi , ikumbukwe kuwa video kama hii ilisha wahi kutengenezwa ikimwonesha Afisa ulinzi Wa chadema Rwakatale eti akipanga ugaidi baada ya kufuatilia ikagundulika ni video ya kutengenezwa ni lazima sote tupuuze propaganda za ccm , awali walikuja na ufisadi ,ukanda, ugonja vyote vikashindwa sasa wametingeneza video kupitia Hamfrey polepole na kuisambaza wakati huohuo wamepanga , vyombo vya habari na magazeti ya ccm yaandike haraka hizo habari, hizo ni propaganda ni lazima wapuuzwe na ccm tunawaonya kuwa kutafuta kura kwakuleta udini au ukanda hafai hiyo ni dhambi itakayo wameza,MAGAZETI YALIO ANDIKA YOTE NI YA CCM NA YOTE YANA KICHWA KIMOJA CHA HABARI,HIVYO WALIPANGA TUNAJUA SILAHA CCM WALIO BAKI NAYO NI KUTUMIA UDINI KITU AMBACHO HAWATAFANIKIAWA
 
Waunganishe ili watu tusijadili Gwajima alivyo puuzwa na watu wenye akili zao?

Daa wee kapuuzwa na nani Gwajima kamuanika bila nguo peupee dr slaa naushahidi wa msg na kumrekodi mshumbuzi kila kitu.
 
Huu upepo unaovuma sasa ni mkali sana yaani kuku wote bora wafyate mikia wakae pembeni, maana kila anayesogea nyeti nje!
 
Back
Top Bottom