LOGARITHM
JF-Expert Member
- May 5, 2010
- 974
- 476
kama slaa kuchukia kukatwa,hana tofauti na lowasa aliyechukia kukatwa......
Nashangaa mnasakama huyo babu bila huruma wakati wiki tatu zilizopita mlikua mkimwita rais wa mioyo yenu...
Hii inaonyesha watu mlivyo wanafiki wa kutupa,,,,haiwezekani mtu ulikua unamwita rais wa moyo wako,dakika inayofuata unaanza kumtukana,,,,,,,,,ndo maana mi husema bavicha hamna akili...
Lowasa nae mnaemwona mungu saa hii,haishi kuwaambia uongo wa wazi,lakini mijitu ishakua kama mazezeta,ha ha ha ha,hivi nyie vihiyo mnadhani kweli lowasa ataleta mabadiliko?????????...
Lowasa kawa muongo sana,,,eti rais anapokea milioni 400,,,,,,,,,kweli mtu mwenye ubongo kichwani utaamini ujinga huu?..
Mara atamfufua balali....kwa uwezo upi au nae kawa yesu sikuhizi...........?..ha ha ha ha
mkuu siasa ndivyo ilivyo. Nyie mbona mmemsajili na kumpa tenda dr. Slaa mliyekuwa mkishinda kumtukana kwenye mitandao yote? Mwaka huu mmepatikana kweli kweli.