Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,209
- 27,026
Kila mtu hulindwa na usalama wa taifa. Slaa is also Tanzanian
Unaweza kujiuliza kwa nini iwe sasa na si wakati mwingine.?
Kila mtu hulindwa na usalama wa taifa. Slaa is also Tanzanian
Sisi tunawapenda na kuwaamini.Njoo nikupe hela ufungue hata kesho hiyo kesi.
Linalonishangaza zaidi ni kitendo cha kumsema vibaya mtu ambaye unatumia walinzi na mpishi kutoka kwake. Nashindwa kushangaa...
Na heri uwe mpumbavu na lofa kama unaamini mtu mwenye kashfa kubwa ya ufisadi atafanya hayo unayotegemea pole
Kumshambulia mtu on personal issues, ni dalili ya udhaifu wa mtu!
Mchungaji kabugi saaaanaaaaa.
Toa hoja acha kulalamika kama kinda
ndoa ya huyo mzee inakuhusu nini,ulitaka akuoe wewe au?
Narratives za Gwajima, Kubenea, Mbowe, Tundu Lissu,... zinalandana 100% .. sasa nimeamini bila shaka kwama Mihogo ni muongo na dhaifu kupindukia. Kumbe Mungu tu alitunusuru mwaka 2010 akashindwa na JK.
natamani gwajima ndani ya masaa 24 awe ndani ya mikono ya sheria, na kama amekuwa mwanasia aweke wazi
Ina nni cha maana zaidi
Mwaka huu Viongozi wa Kikristo imekuwa Ruksa kuonekana wanafanya Kampeni
SAA Tisa jionnyie kama mnapata muda wa kufuatilia watu wapuuzi kama akina gwajima kazi za kuwapatia kipato mnazifanya saa ngapi?
Hivi gwajima ana utakatifu UPI wa kusema wengine,majini yke ndo yanamdaidia kumuongoza lowasa anazani hatujui,
Leo Jumanne Septemba 08, 2015 Askofu Gwajima anaongea na waandishi wa habari akitoa maelezo juu ya alichokisema Dk. Slaa wakati anaongea na waandishi wa habari pia kutoa maelezo ya uhusikaji wake kwenye tukio husika.
===========