Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,423
mambo ya ndoa ni ya wawili
sio ya wawili tena kwani we huoni keshaongezeka wa tatu??
mambo ya ndoa ni ya wawili
Hahaaaaaaa uwiii wanawake ni viumbe wa kuishi nao kiakili huyu kalishwa kinyama kilichowekwa papuchini hafurukuti.
Ni zaidi ya noma unaweza kuwa chizi na kukana ukoo kabisaHiyo style ya kinyana nasikia ni noma kidume unaweza kutukana na kuwakana wazazi wako
Ni zaidi ya noma unaweza kuwa chizi na kukana ukoo kabisa
cccm naona mnatafuta huruma kila jambo hata lisilokuwa na maslahi kitaifa mnalishupalia ili kujiokoa.Yaani mwaka huu maaskofu ndani ya kampeni na wagombea pia wanapiga kampeni makanisani...
Drama zote hizi ni za ukawa... Wamejaa udini ...!
kwahiyoMwananchi
umesahau jina wakati limekukaa kichwanini kosa lako. Hakuja kuanzisha jipya bali kumjibu yule mkandarasi wenu dr. Nani vile, maana naelkea kumsahau kabisa.
CHADEMA has officially buried itself.
This is the heaviest bullsh*t i have seen involving a political party.
Only Lowassa die hards will vote for the man now.
Niambie basi wewe unayefahamu kiongozi mkuu wa kanisa katoliki Tanzania ni His eminence Pollycap Cardidinal Pengo au huyo Gwajima wako ambao hata uaskofu sijui kapewa na nani?Hakuna hata siku moja Gwajima kaliponda kanisa Catholic wala apostoliki!
Pengo si kiongozi mkuu wa kanisa Catholic.