Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Na wewe unajifanya hujui, wakati Josephine ameshasema ameanzisha biashara Malaysia. Ulitegemea mshahara wa mzee wa mihogo pale chadema ungetosha? wakati aliisha waambia kule yeye ni first lady
 
Mbona viongozi wenzie wa dini wametulia kwani wao hawaathiriwi na siasa. Tatizo mshenga anapiga hela kwa mzee mamvi then bado anajifanya mtakatifu.huu ni unafiki wa hali ya juu Sana.

Kwani kuna mtu hatakiela?kilamtu anapigania hela tu babu apoupo?mwanaume ukawa ccm umbea.
 
Hili tapeli linapoteza muda wa watu tu. Hawa wote watasafishwa na magufuli we ngoja muda ufike, lazima haya makanisa ya kitapeli yafungwe yote. Kweli watanzania ni makondoo kabisa, unakuta mtu kama huyu ana waumini.

kwani mazezeta yanaisha humu duniani???,hujasikia yule askofu alikua anawanyonyesha naniliu waumini wake,eti anawanywesha maziwa ya baraka........ha ha ha,,
 
kwani mazezeta yanaisha humu duniani???,hujasikia yule askofu alikua anawanyonyesha naniliu waumini wake,eti anawanywesha maziwa ya baraka........ha ha ha,,
Hivi na hapa mnampigia kampeni Magufuli.
 
Utabiri wa sheikh yahya mtoto umetimia, hatimaye tumemjua askofu atakayeaibika kipindi cha uchaguzi.
Yamebaki matukio mawili makubwa , kwanza kifo cha mwandishi maarufu na mwenye ushawishi na mmoja kati ya wagombea kuaga dunia

Umeshindwa kwa jina LA Yesu hatuongozwi kwa utabiri wa waganga wa kienyeji.
 
Naona magamba jeneza lenu linazidi kugongelewa misumari tuu.Vipi zile hela mlizotenga ili kuusambaratisha ukawa zimebakia kiasi gani????.mana kila mbinu yenu tunategua.NGWAJIMA tia ----- hayo magambaaa.
 
lowasa na gwajima watu wa kuogopwa sana, wanatugawa watanzania na kupotosha umma. Nikipata hela za kufungua kesi mahakamani nitawashitaki hata baada ya uchaguzi. Naipenda tanzania na ninawajibu wa kuilinda na kuitetea nchi yangu

moto umewawakia. Acheni siasa za mitaroni. Jengeni hoja. By the way kwenye hiyo list usimsahau dr. Slaa, makamba wote wawili, na yule mwenyekiti wa ccm mwanza.
 
These people are a joke. Each and everyone of them. And to think ni viongozi wa dini. Inakuaje askofu akutane na mwanamke bar? Peke yake? Na inakuaje askofu anaongelea matatizo ya ndoa that he was entrusted with? What a joke .

Kwani kasema bar, acha kupotosha amekwambia KIBO COMPLEX, sasa sijui bar gani unaisema ww..
Ccm bhana, kazi mnayo
 
Hapo kwenye nyekundu, naona hili ni shambulizi limepelekwa kwa viongozi wa kanisa katoliki, na naona huyu jamaa ana jambo na viongozi wa kikatoliki baada ya kumporomoshea matusi kiongozi mkuu wa kanisa hilo , sasa anawashambulia makasisi wa kanisa hilo kwa staili nyingine. Huyu mtu ni hatari kwa amani ya nchi yetu.

Hakuna hata siku moja Gwajima kaliponda kanisa Catholic wala apostoliki!

Pengo si kiongozi mkuu wa kanisa Catholic.
 
wote hao waandishi, waliokuwepo huko sijui serena, kwa huyo mbatia na sasa gwajima ni makanjanja tu. Mwandishi wa habari hautakiwi kuonyesha wazi ushabiki kama wafanyavyo waandishi wa tanzania. Bado tuna safari ndefu.

ni kweli aisee! Wandishi nguli ni wa uhuru, jambo leo, habari leo, mzalendo na namna hiyo.
 
atakavyoaibika ngwajima ni sawa na alivyoabika kakobe alipowaambia eti mungu kamwotesha mrema ndo rais,na akawa anazunguka nae nchi nzima akimnadi.....matokea akaanguka na kakobe kwa aibu akakimbilia marekani mpaka watu wakasahau ndo karudi tena,ila sasa anaunga mkono kwa machale sana.....
 
moto umewawakia. Acheni siasa za mitaroni. Jengeni hoja. By the way kwenye hiyo list usimsahau dr. Slaa, makamba wote wawili, na yule mwenyekiti wa ccm mwanza.

sio wote tunafanya siasa mkuu, tujali maslahi ya nchi kwanza, mtu akifikiria tofauti na chadema/ukawa mshamjudge kama ni ccm. mbona hamheshimu uhuru wa mtu? yaani ni chadema/ukawa ambao wakiona mtu amevaa jezi ya ccm wanazomea! mbona ninyi ccm hawawazomei mkiwa mmevaa jezi zenu?!, kama mnakuwa ivi hamjashika dola, mkishika dola itakuaje!
 
Leo Gwajima amenifanya kuna jambo nikajuwa tofauti yake.
Siku zote tumeshuudia maasikofu wa pentekoste na wachungaji wakihudhuria kwenye mikutano ya kisiasa wanapoalikwa.Hata mashekh nao wamekuwa wakifanya hivyo pale wanapoombwa kufika kwenye mikutano ya kisiasa kwa kufanya maombi.
Lakini maasikofu wa Romani au mapadri au wa KKKT na Anglikani ni nadra kuwaona maeneo hayo.
Sasa leo Gwajima alipoulizwa"Kwanini kwenye mikutano ya kisiasa anakwepo mara nyingi?Alijibu hivi"Mimi ni Kiongozi wa Kiroho"
Nashukuru Gwajiba kaliweka hili swala wazi leo maana upotoshaji ulikuwa mkubwa sana.
 
Back
Top Bottom