Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Hii ni maigizo tu!
Kwanza tangu awali Slaa alikiri kuwa nyumba anayoishi alinunua kwa michango ikiwemo ya Mbowe!

Leo Gwajima anasema kuwa mke ndiye mwenye nyumba na alimfungia virago vyake!
How comes????

Slaa alikataa hajawahi kubadili mawasiliano yake
Je Gwajima kwanini sasa atoe SMS ya namba nyingine?

Hivi si huyu Gwajima aliyemnyang'anya Mbasha mke?


Okay, lets assume Gwajima alimnyang'any'a Mbasha mke, je kwa kumnyang'anya Mbasha mke leo hawezi kuongea ukweli? Kwa hiyo kwa sababu wewe Frank Gotora umeshawahi kuchepuka basi hautakuja kuongea ukweli?
 
Tafadhali sana rais Magufuli utakapoingia madarakani mwezi wa 10 hii tabia ya wachungaji njaa kama hawa kujiingiza kwenye mambo ya siasa idhibitiwe mara moja. Achaguwe moja kuchunga kondoo wa bwana au kuhangaika na mambo ya dunia. Huu ni upuuzi kabisa haya siyo mambo ya kunyamazia hata kidogo.

Kwa kuwa mchungaji haathiriwi na siasa za nchi yake au?
 
Aise, sikutegemea Dr. Slaa kuachika Chadema kwa fedhea kubwa kiasi hiki.. miezi miwili tu ameoneka mchafu wakati miaka kumi naaa.. alionekana JEMBE. Leo eti Gwajima ndo JEMBE.!!
 
Aseme leo, si ameandaa mwenyewe shughuri sasa anakimbia wapi tena? na mie nina swali kwake, tunataka kujua kanisa lake linahusiana vipi na siasa za CDM/Ukawa, na je ni sahihi kama taasisi ya kidini kuhusika akitivuli katika siasa?

Kabla hujauliza hilo swali ungejiuliza urafiki wake na Lowassa ulianza Lowassa akiwa ukawa/CDM au toka akiwa CCM??? Na wala hakuwahi kuficha kuwa yeye ni alikuwa rafiki wa Lowassa na Slaa (toka Lowassa akiwa CCM). Uzuri wa Gwajima umpende au umchukie jamaa huwa anotoboa tu hafichi kitu. Ukweli unauma
 
Kweli mwaka huu tuliambiwa ni mwaka wa sifa. Na tutasikia na kuona mengi.
 
baba askofu ki muonekano tu ni mtu wa dili 😎 i mean mtoto wa mujini. hajalala doro..
 
Waandishi wa habari wanapiga makofi na vigelegele kwenye press conference? Only in Tanzania.
 
Aise, sikutegemea Dr. Slaa kuachika Chadema kwa fedhea kubwa kiasi hiki.. miezi miwili tu ameoneka mchafu wakati miaka kumi naaa.. alionekana JEMBE. Leo eti Gwajima ndo JEMBE.!!

Gwajima ndo kiboko yao.
Hapo hata Lissu na Mnyika hawafurukuti.
Ndo Mshenga wa the Don.
The Kingmaker..
Ndo shujaa aliyewaletea mfalme...
Ukikosana na Gwajima....
Ha ha kamuulize Silaa...
 
Lowasa na fedha zake wanaitumbukuza nchi vitani, inakuwaje waandishi wanaonyesha wazi kumshangilia na kuzomea wenye mtazamo tofauti? Si kawaida waandishi kushangilia upande wa Lowasa kama vile nao ni wakereketwa! Jamani fedha zinaangamiza taifa! Gwajima ameonyesha wazi analipwa na Lowasa eti ooh Lowasa ananisaidia nikimuita anakuja haraka! Wapi?

Wewe ni mchochezi na mzushi daraja la kwanza. Kaitumbukiza wapi, saa ngapi. Vita hiyo iko wapi????? HUKO NI KUISHIWA HOJA.
 
huyu anafanya siasa za kipuuzi sana.!

atiii "anafanya siasa za kipuuzi"...kwani yeye ni mwanasiasa???,alichofanya gwajima ni kumlipua slaa maana slaa aliongea uongo juu ya viongozi wa dini na si vinginevyo!
 
Inaoneoneka ulikuwa unashangilia tu lakini usikilizi kinachoongelewa kwa taarifa yako hapo kibo complex walikutana kwa mara ya pili tena walikaa ndani ya gari

Umesahau kumalizia wakiwa na mtu mwingine si wao wenyewe...
 
gwajima noma

Mi nasubiri Slaa ajibu halafu Gwajima atoboe swala la vijana 4 na mzigo from South Africa kwenye private jet.
Mpaka October 25 ifike tutasikia na kuona mengi. Duniani ukitaka kuvuliwa nguo mchana basi ingia kwenye siasa.
 
Back
Top Bottom