iyengamuliro
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 819
- 366
Hiii ya kurekodi waumini wake imekaaje wakuu, siku zikija kuvuja hizo audio watu watapoteana.
Nimwamini nani kama Askofu ananirekodi?
Hata wewe unaweza pakuwa hiyo appl kila upigiwapo au kupiga inakuwa inarekodi papohapo.