Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Twende kazi mkuu tunataka amvue nguo mla mihogooooo

Ama kweli sasa kazi imefikia mahali pake, tutayasikia hata ambayo hatukustahili kuyasikia. Anza wewe nami namaliza bora tusielewane vibayaaaaaaaaaaaaaaaa............!!! Peoplessssssssssssssssssssssssss.....................!!!
 
hao watu wa usalama mbona hawakumlinda slaa 2010,nilikuwa naye katika kampeni za urais.....kuanzia pale mbagala zhakem,hakika niliona wagombea urais wa kitanzania hawana ulinzi kabisa....polisi walimsusa,walikuwa kwenye mkutano tu basi njiani .....wenyewe....leo Dr. Slaa analindwa utadhani mfalme...kala bingo mzee......kala maharage aina ya kikwete kwa kule kikwetu.Dr.slaa kaa kimya.
 
Alichokisema Ngwajima Si Kutishia Bali Ni Kuweka Usahihi Wa Mambo; Dr. Slaa Kutumika Na Usalama wa Taifa Kwa Ajiri ya Kuinusuru CCM.

Logically Usalama wa Taifa Hawapaswi Kujihusisha Na SiaSa ; Wawe Usalama wa Taifa Na Sio Usalama wa CCM. Je Ikitokea Usalama wa

Taifa Wanagawanyika Kwa Mtizomo wa Itikadi za Kisiasa Wengine Wariport UKWAWA, Wengine CCM, Je Kuna Usalama waTaifa tena Hapo.

Usalama Wa Taifa Nadhani Ni Muda Muafaka Kwao Kujitadhimini Na Kurudi Kwenye Jukumu la Kimsingi. Wawaache Wanasiasa

Wapambane Wenyewe Bila Kuegemea Upande wowote.
 
Ndugu Gwajima tunajua wazi kabisa unatumia nguvu za giza ktk kanisa lako,tunajua pia wewe ndie uliyemdanganya lowasa eti umemsafishia nyota yake ili watanzania wamkubali{unakumbuka mlichokifanya nigeria mwishoni mwa mwaka jana?},anway hayo ni mambo yenu binafsi na lowasa lakini kitendo cha wewe kuwatisha wana usalama wetu leo kuwa eti utawapiga upofu na kamwe wasiweze kuona tena, umechemka ndugu,serikali haiogopi uchawi,majini au nguvu zozote za giza,c unakumbuka kipindi kile askari wanakuja kukukamata ulitaka kufanya nini na unakumbuka nini kilitokea pale ndani?
Sasa nikwambie tu,wewe ni mtoto mdogo sana katka nchi hii ndugu Gwajima,fanya yako na kama kuna kiongozi wa siasa unamsupport fanya hivyo pasipokukwaruzana na vyombo vyetu vya usalama vinginevyo utajuta ndugu.

ameongea kama mwananchi wa kawaida na mpiga kura halali.
sema jingine
 
Ndugu Gwajima tunajua wazi kabisa unatumia nguvu za giza ktk kanisa lako,tunajua pia wewe ndie uliyemdanganya lowasa eti umemsafishia nyota yake ili watanzania wamkubali{unakumbuka mlichokifanya nigeria mwishoni mwa mwaka jana?},anway hayo ni mambo yenu binafsi na lowasa lakini kitendo cha wewe kuwatisha wana usalama wetu leo kuwa eti utawapiga upofu na kamwe wasiweze kuona tena, umechemka ndugu,serikali haiogopi uchawi,majini au nguvu zozote za giza,c unakumbuka kipindi kile askari wanakuja kukukamata ulitaka kufanya nini na unakumbuka nini kilitokea pale ndani?
Sasa nikwambie tu,wewe ni mtoto mdogo sana katka nchi hii ndugu Gwajima,fanya yako na kama kuna kiongozi wa siasa unamsupport fanya hivyo pasipokukwaruzana na vyombo vyetu vya usalama vinginevyo utajuta ndugu.

tumia akili yako basi mkuu au ndo hii hii?
 
Ndugu Gwajima tunajua wazi kabisa unatumia nguvu za giza ktk kanisa lako,tunajua pia wewe ndie uliyemdanganya lowasa eti umemsafishia nyota yake ili watanzania wamkubali{unakumbuka mlichokifanya nigeria mwishoni mwa mwaka jana?},anway hayo ni mambo yenu binafsi na lowasa lakini kitendo cha wewe kuwatisha wana usalama wetu leo kuwa eti utawapiga upofu na kamwe wasiweze kuona tena, umechemka ndugu,serikali haiogopi uchawi,majini au nguvu zozote za giza,c unakumbuka kipindi kile askari wanakuja kukukamata ulitaka kufanya nini na unakumbuka nini kilitokea pale ndani?
Sasa nikwambie tu,wewe ni mtoto mdogo sana katka nchi hii ndugu Gwajima,fanya yako na kama kuna kiongozi wa siasa unamsupport fanya hivyo pasipokukwaruzana na vyombo vyetu vya usalama vinginevyo utajuta ndugu.

Ryaro wa Ryaro 17:01 Today
Alichokisema Ngwajima Si Kutishia
Bali Ni Kuweka Usahihi Wa
Mambo; Dr. Slaa Kutumika Na
Usalama wa Taifa Kwa Ajiri ya
Kuinusuru CCM.
Logically Usalama wa Taifa
Hawapaswi Kujihusisha Na SiaSa ;
Wawe Usalama wa Taifa Na Sio
Usalama wa CCM.
sema lingneeee
 
Amewambia kama wana ubavu wampeleke tena huyo mtu wao kwenye media akawatukane maaskofu na mashekhe awalipue mzigo wa SA ulipohifadhiwa.Unaujua wewe huo mzigo?kama huujui kaa kimya!
 
Sasa nikwambie tu,wewe ni mtoto mdogo sana katka nchi hii ndugu Gwajima,fanya yako na kama kuna kiongozi wa siasa unamsupport fanya hivyo pasipokukwaruzana na vyombo vyetu vya usalama vinginevyo utajuta ndugu.

Umeshamshtaki Lowasa kama ulivyoahidi? Sijui kwa nini hamtaki kuelewa, ulishaambiwa kama una ushahidi nenda mahakamani wewe unakuja JF kueleza yaleyale tuliyokwisha choka kuyasikia.

Mbona wewe ndio unamtishia Gwajima? yeye atawajibika kwa alichokisema kama kipo cha kuwajibika.
 
Anayo fanya Gwajima siyo yakushabikia hata kidogo kwa mustakabali wa taifa letu. Yeye achunge kondoo wa bwana siasa awaachie wenyewe.

Laiti ungemwambia hivyo Dr. Slaa pale Serena ungekuwa shujaa wa nchi hii.
 
Kinachonifurahisha leo, ni ule ukweli kwamba wakati Dr. Slaa amemwaga ugali vijana wa CCM hapa walipiga domo sana. Leo Gwajima amemwaga mboga, vijana wa CCM wanakuja na hoja nyepesi eti hayo ni mambo binafsi, eti kama na mashehe wangekwenda kwenye media kusema ingekuwaje .... maneno kibao. Huyo Dr. Slaa amekuwaje mzuri sana kwenu CCM kiasi cha kwamba anayoyasema myasifie na akipondwa mmtetee?
 
Kila mtu hulindwa na usalama wa taifa. Slaa is also Tanzanian
 
sijaona kosa walilofanya hao usalama mpaka afikie kusema hivyo au kwa kumlinda dr slaa? kama kesi ya tanesco ww uharibu miundombinu ya serikali uanhwe kwa sababu mganga wa kienyeji.leo chukua trecta lima barabara kama hukushtakia kesi ya jinai
 
Narratives za Gwajima, Kubenea, Mbowe, Tundu Lissu,... zinalandana 100% .. sasa nimeamini bila shaka kwama Mihogo ni muongo na dhaifu kupindukia. Kumbe Mungu tu alitunusuru mwaka 2010 akashindwa na JK.
 
Back
Top Bottom