Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
fake pastor, simwamini gwajima hata kidogo, toka amtukane Pengo nikaona askofu wa uongo, dini na siasa havichanganyikani. Mathayo 24:11/matthee 24:11
Unajua kisa cha Slaa kwenda Marekani? Amekimbia aibuMi nasubiri Slaa ajibu halafu Gwajima atoboe swala la vijana 4 na mzigo from South Africa kwenye private jet.
Mpaka October 25 ifike tutasikia na kuona mengi. Duniani ukitaka kuvuliwa nguo mchana basi ingia kwenye siasa.
Tatizo ni JK. Alipaswa kuwa mkali kidogo. Ameshusha hadhi ya urais na mamlaka zote za serikali. Yaani yeye kila kitu ni kucheka tu na kugawa vyeo kwa marafiki zake. Matokeo yake ndo haya sasa. Huwezi kujua yupi ni yupi na nchi inakwenda tu kama boya. Rais ajaye atakuwa na kazi kubwa kurudisha hadhi ya taasisi ya urais na taasisi nyinginezo za nchi. Hovyo kabisa!
Kwa kuwa mchungaji haathiriwi na siasa za nchi yake au?
Vyombo vya usalama vya ccm? Wewe ni nani kwanza unajisifia kama mke wa slaa?Ndugu Gwajima tunajua wazi kabisa unatumia nguvu za giza ktk kanisa lako,tunajua pia wewe ndie uliyemdanganya lowasa eti umemsafishia nyota yake ili watanzania wamkubali{unakumbuka mlichokifanya nigeria mwishoni mwa mwaka jana?},anway hayo ni mambo yenu binafsi na lowasa lakini kitendo cha wewe kuwatisha wana usalama wetu leo kuwa eti utawapiga upofu na kamwe wasiweze kuona tena, umechemka ndugu,serikali haiogopi uchawi,majini au nguvu zozote za giza,c unakumbuka kipindi kile askari wanakuja kukukamata ulitaka kufanya nini na unakumbuka nini kilitokea pale ndani?
Sasa nikwambie tu,wewe ni mtoto mdogo sana katka nchi hii ndugu Gwajima,fanya yako na kama kuna kiongozi wa siasa unamsupport fanya hivyo pasipokukwaruzana na vyombo vyetu vya usalama vinginevyo utajuta ndugu.
Ndio waliomtuma Dr. Slaa aropoke. Ushahidi ni kada wa CCM Mwakyembe aliekuwepo na Dr. Slaa hotelini chumbani muda mchache kabla ya slaa kuanza kutema pumba!!
Ndugu Gwajima tunajua wazi kabisa unatumia nguvu za giza ktk kanisa lako,tunajua pia wewe ndie uliyemdanganya lowasa eti umemsafishia nyota yake ili watanzania wamkubali{unakumbuka mlichokifanya nigeria mwishoni mwa mwaka jana?},anway hayo ni mambo yenu binafsi na lowasa lakini kitendo cha wewe kuwatisha wana usalama wetu leo kuwa eti utawapiga upofu na kamwe wasiweze kuona tena, umechemka ndugu,serikali haiogopi uchawi,majini au nguvu zozote za giza,c unakumbuka kipindi kile askari wanakuja kukukamata ulitaka kufanya nini na unakumbuka nini kilitokea pale ndani?
Sasa nikwambie tu,wewe ni mtoto mdogo sana katka nchi hii ndugu Gwajima,fanya yako na kama kuna kiongozi wa siasa unamsupport fanya hivyo pasipokukwaruzana na vyombo vyetu vya usalama vinginevyo utajuta ndugu.
Upumbavu ni kuamini kila asemacho Gwajima
watanzania ndoa ya dr slaa sie haituhusu, hayo ni mambo binafsi na kujadili mambo binafisi ya mtu kwenye social media ni upumbavu uliokithiri kila mtu anamapungufu yake kwenye ndoa yake. HAPA KAZI TU.
Mi nasubiri Slaa ajibu halafu Gwajima atoboe swala la vijana 4 na mzigo from South Africa kwenye private jet.
Mpaka October 25 ifike tutasikia na kuona mengi. Duniani ukitaka kuvuliwa nguo mchana basi ingia kwenye siasa.