Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Dr Slaa ni muongo wa kusema alihama kwa ajili ya Lowassa.Ndoa ilimshinda kwa kukosa uzoefu ikabidi aombe tag kwa Gwajiiiii
 
Mke wa Boss ana nguvu kuliko Boss... Ungekuwa bodyguard ungenielewa ..
Namsikiliza huyu anayeitwa mlinzi nabaki kushangaa bosi wake ananyanyasika kwa kusukumwa na kutupiwa virago halafu yeye anashindwa kumtetea!!!!!! Kweli ni msukule
 
duuuuuuuu...jamaa ana ushahidi wa kurecord maongezi!!
 
Back
Top Bottom