demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,309
- 15,289
gwajima na wachungaji wake hawajajibu hoja za dr slaa zaidi ya kueleza matatizo ya kifamilia yeye ni mshenga tu gwajima.
ni kosa kabisa kiongozi wa dini kutangaza mambo haya ya kifamilia ndio dini za kisasa hizo
Hoja gani ajibu? Ni zile za kifisadi?
Ufisadi unahukumiwa na MAHAKAMA na sio hoja.
Ni sawa kabisa ali hokisema mzee. Watu tunataka kujua ule mzuka wa kuongea kashfa kiasi kike aliupata wapi..
Safisana Gwajima.
Mbowe naye amesema ataita Press Conference mnamo tar 24.oktoba...!