lontor
JF-Expert Member
- Apr 5, 2017
- 303
- 1,716
Ana ngekewa sana huyu jamaa. #Ni yeye 2020#
Ana ngekewa sana huyu jamaa. #Ni yeye 2020#
Na wote tuseme Amen.Ahache unafiki wake, uyu nguruwe pori kaahidi kuigeuza misikiti yetu mitukufu kuwa sunday school.
Kwa wakristo wanaopenda amani kwa vyovyote wamechukizwa na mpango wake huo na watamnyima kura ila kwa mwislam atakayempigia kura Naamini Laaaana ya Allah lazima imfike yeye na uzao wake inshallah.
Watanzania gani hao walioamua? Mbona mimi ni mtanzania na silitaki hilo lichama lako wala mgombea wako na cha ajabu zaidi we share the same tribe na mgombea wenu.
DuhhhhhhMgombea Ubunge Jimb la Kawe kwa tiketi ya CCM, Askofu Josephat Gwajima amesema ana jina la kiislamu ambalo ni Rashidi Gwajima
Amesema alipata jina hilo baada ya kutelekezwa kwenye msikiti ambapo pia alisema waislamu ndio waliomsomesha katika miaka yake ya awali
Kutokana na suala hilo Gwajima amesema alipata sababu ya kuusaidia uislamu hata alipokwenda Dar aliwasaidia kujenga visima vya maji
Gwajima aliyasema hayo alipokuwa kwenye Mahafali ya darasa la saba ya shule ya Al Irshaad
View attachment 1605612
Labda mamon'go wenzio.Watanzania wameshaamua. Tukutane tarehe 28,29 na 30 hapahapa kupeana pongezi na pole
Tarehe 28,29,30hahaha mataga umeshapanic a jina lako la kike
Tunakwenda kumalizana na maccm tarehe 28.Watanzania wameshaamua. Tukutane tarehe 28,29 na 30 hapahapa kupeana pongezi na pole
Hiyo ndiyo tarehe mataga utaanza kutumia ID inayoendena na jinsia yako halisi?Tarehe 28,29,30
Kabisaaaaaa twende kazi tarehe 28Hiyo ndiyo tarehe mataga utaanza kutumia ID inayoendena na jinsia yako halisi?
Ili aupate UBUNGE, yupo tayari hata kumkana BWANA YESU!Rashid Aache Uongo Muda Umekwenda Sana October 28 Hiyo
Yuda Eskariot Ndiyo RashidIli aupate UBUNGE, yupo tayari hata kumkana BWANA YESU!
kweri kabisaYaani ukiwa ccm!
1- lazima ukabizi akili zako kwa mwenyekiti
2-lazima uwe mnafiki
3- lazima uwe muongo
4- lazima uwe mwizi!!
Jamani jamani!! lazima tuiondoe ccm !
Kweli kabisa mkuu me mwenyewe nime jiuliza sana watu wanawezaje kumsikilizaNinapomsikiliza huyu jamaa najiuliza maswali mengi Sana aliwezaje kuteka akili za waumini wake na wakamuamini. Kwa akili ndogo tu unagundua huyu jamaa kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi muamini.Nimshauri tu aache kasumba majina ni utamaduni Sio dini.
Nawasilisha.
English yake yakuungaunga tuu ...nashangaa eti naye ni Phd holder elimu ya TZ kuna loss kubwa kuliko na loss ya uchumi nchini....Huyu jamaa waje wafanye mdahalo wa Kiingereza na Mdee tuone nani mkali