Yawezekana uko sahihi. Sasa jibuni hoja zake katika hili:-
1). Ukichanjwa huambukizwi? Unaambukizwa.
2). Ukichanjwa huambukizi? Unaambukiza.
3).Ukichanjwa huvai barakoa wala ku maintain social distancing? Lazima uzingatie.
4). Ukichanjwa, hufi kwa Corona? Unakufa kwa corona.
5). Maana ya hii chanjo ni nini? (mpumbavu n.k)/
6). Nani anayethibitisha usalama wa hii chanjo? Hakuna, ila ni kwa sababu wazungu wanachanjwa.
7). Nani amethibitisha kwamba viini vya kwenye chanjo zinazotolewa kwa hao wazungu, ndivyo viini vya kwenye ile inaleltwa huku? - Hakuna.
8). Chanjo hii imeonyesha madhara gani ya muda mfupi kwa waliozitumia? - Kimya.
9. Mnapowalazimisha watu kwenda kuchnjwa, mnasimamiaje madhara yanayoweza kujitokeza kama kule ambako yamejitokeza mfn. Vifa, mimba kuharibika, damu kuganda, kupooza nyuso kwenda upande, ulemavu n,k? - Kuna form wanajaza kila mtu abebe mzigo wake.
Hii siyo issue ya Gwajima, ni issue ya dunia nzima kwa wenye akili.
Kinga inaua watu kuliko hata corona yenyewe:-
10. Chanjo hii imejaribiwa wapi ikaonekana iko salama leo na hata miaka kumi ijayo? Hakuna ndipo inafanyiwa majaribio.
11) Ni sahii kufawanyia majaribio ya kitu kianchokwenda hadi kwenye dna na rna ya binadamu, badala ya wanyama kama ilivyo taratibu?
- Kimya, ila fedha za misaada kwa wanaokubali kuwatoa kafara watu wao wanatoa nyingi na tuhazihtaji.
12) Mnasema vipaumbele kwa wanajeshi, wauguzi na drs, polisi, uhamiaji na tour guiders. Kama hii chanjo ina madhara, mkawafanyia majaribio watu wa idara hizo nyeti, wakadhurika:-
a) Nchi italindwa na nani? Maana yake wanajeshi wote wakuwa wamedhurika kwa hiyo nchi haina jeshi.
b). Nani atatibu wangonjwa wa magonjwa mengine : Maana madaktari wote na wauguzi watakuwa wamedhurika. Hapa si mauti ya taifa?
c). Mipakani mwote walinzi na wafanyakazi wa uhamiaji wameuguaau wameathirika, kwa hiyo watu wapite na kila wanachokitaka bila mtu wa kulinda wala kuhoji.
d). Waendesha utallii wote waathirike ili kila mtu aingie na kubeba anachokiona bila kuhojiwa na mtu?
Hakuna majibu.
13. Dawa tulizotumia siku zote na zinapony ahadi hii delta, kwa nini hazisambazwi na kuzalishwa kwa wingi ili watu wanywe na wajikinge nazo wakati tunasubiri maendeleo ya hizo chanjo ambazo tayari uiengereza wamesitisha? - Majibu yake ni kwamba vyombo vyote vya amawasiliano wafungieni wote wanaotoa michango ya matumizi ya hizi dawa na kinga za hapa bongo. Ni kwa sababu hazina commisions za mabilioni?
Namba ya simu:
+255766271643 na +255626 407818
Hapa nani mzalendo ama kwenye akili nzuri kati ya muhojaji na wanaoshindwa kujibu badala yake wanatumia nguvu na vitisho?
TATIZO LA CORONA HALIWEZI KUONDOLEWA KWA KUWAPA WATU WAZIMA SUMU, WAKATI DAWA KWA WAGONJWA IPO. HII NI BIASHARA.