Ho
Hongera kwa kuwa na macho manne na Fahamu Sita. Unadhani mpaka Marehemu kuamua kumpa Ubunge ilikuwa Bure?
Jadili hoja mkuuHili linaaply kwako pia. Wewe unajua ulozi. Habari zingine ukiziingilia, unaonekana kituko.
Nonsense.Kuna viumbe bado wanamuamini huyu kiumbe aliepotea!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama ni mfufuaji si angemfufua Magufuli n.k. eti gwajiboy [emoji23][emoji23][emoji23] afufue basi tuuone huo ugwajiboy wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HekoGwajima alieleza uelewa au hisia zake na nampongeza Sana kwa Hilo,
Serikali au watu wanaotofautiana nae walitakiwa kuja na hoja ili kupangua wasiwasi wake na kwa wengine. Shida inaanzia pale tunapoangalia Nani kasema badala ya kuangalia Nini kasema.
Wizara na viongozi wake walitakiwa si kuanzisha marumbano naye ambayo muda mwingine wao ndo wanajidhalilisha. Dk Mollel Nani hajui kiki iliyompa Unaibu kipindi Cha Mwendazake, Nani hajui Dk Gwajima alivyokuwa anatetea kujifukiza kuliko miongozo ya WHO.....!
Gwajima amebaki kule ambako watanzania wengi walipelekwa kipindi kile hivyo naye anahitaji elimu na ufafanuzi mzuri ili naye abadili mawazo kama walivyofanya Dk. Gwajima na Mollel.
Mtu sahihi ambaye anaweza kusimama akaueleza Umma bila unafiki kwa wanasiasa ni Dk Ndungulile, huyu hakukubali kuaminishwa ambacho hakiamini na kilicho tofauti na taaluma yake.
Angalia hoja niliyokuwa nai address hapa kiongozi.Jadili hoja mkuu
Kama ni kweli yupo idara nyeti sasa mbona alikuwa anasumbuana na aliyekuwa Naibu Rais ( Bashite)?ambaye alikuwa ana nguvu sana kwenye deep state?Ho
Hongera kwa kuwa na macho manne na Fahamu Sita. Unadhani mpaka Marehemu kuamua kumpa Ubunge ilikuwa Bure?
Kile ni kichwa Cha kisukuma mtapata shida Sana kumkamata labda mtumie mabavu kwa sababu yeye anachozungumza ni fact with evidenceAkijulikana kama askofu wa kanisa la ufufuo na uzima ambaye kwasasa ndio Mbunge wa Kawe si mara ya kwanza kuingia kwenye mitifuano na serikali.
Ana kesi nyingi pia ambazo mwisho wake una utata
Ana kashfa nyingi pia
Ni aina ya mtu ambaye sidhani kama ana mshipa wa soni. Ni kinyonga na hachelei kugeuza maneno
Ni kwanini baada ya yote hayo anapeta tuu?
Jibu ni moja tu. Walimuamini wakamtumia katika shida zao mbalimbali za kijamii, mahusiano, siasa, kiroho na hata kifedha..anawajua nje ndani.
Amebeba siri zao nyingi sana, anawajua na kuwafahamu kwa mengi mema na mabaya. Kamwe hawawezi kumgusa.
Atafanya atakavyo, atasema atakavyo lakini watafunika kombe tu mwanaharamu apite. Amewafanya kama mateka wake. Anawatumia atakavyo, Dr. Slaa anamjua vema huyu.
Kama ukweli ni tofauti na huu. Basi naamini atachukuliwa hatua walau za kupewa karipio la wazi. Hebu msikize hapo[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
View attachment 1872360
Kuna mtu mmoja tu ndio alikuwa na uthubutu wa kumsema waziwazi. Naye si mwingine bali ni Mzee Makamba[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Sawa, puuza tu, lakini mtakufa kama
Tusitishane kama covid nmeugua mimea tiba yaani vitamin C zimeniponya na nipo fit! We kachomwe usichokijua ambacho wenzako wanachomwa na bado wanakufa kama kuku.Sawa, puuza tu, lakini mtakufa kama kuku.
Hii nchi kumpata mwenye moral authority kunyooshea mwezie kidole ni ngumu sanaKama livyouza UDA kwa bei ya kikombe cha kahawa.
Who is Gwajima to us? Kwani yeye kuwa ni msemaji wetu watanzania? Is he a scientist? a pharmasist? Ni mtaalam wa nini hasa? Who is he? is he a preacher? He claimed to resurrect, why did he not resurrect our president? Was he there when the vaccine was being manufactured? Huyu ni mjanja fulani tu anayejua kuongea na kupotosha watu!!![emoji736][emoji1545][emoji817]Kwani wanochanjwa hawana akili? Si wamejiridhisha? Huwezi kumtukana hivi raisi wako halafu unaangaliwa tu!!! Eti achanjwe zote milioni moja!!! Who is Gwajima to us? Kwani yeye kuwa ni msemaji wetu watanzania? Is he a scientist? a pharmasist? Ni mtaalam wa nini hasa? Who is he? is he a preacher? He claimed to resurrect, why did he not resurrect our president? Was he there when the vaccine was being manufactured? Huyu ni mjanja fulani tu anayejua kuongea na kupotosha watu!!! Hii theory kwamba wazungu wanataka kutumaliza, hivi mzungu akitaka kutumaliza lazima atumie chanjo itakayompoint moja kwa moja? Tunatumia kila kitu cha wazungu kwanini hawatumalizi kupitia vitu vyao tunavyovitumia? Why all the trouble kutengeneza chanjo when they can finish us in an instant with no hussle!!!!