ShootToKill
Member
- Dec 7, 2020
- 49
- 89
Watu mnaopenda kutumia kauli kama hii huwa nashindwa kuelewa mnatumia namna gani kupambanua mambo.Ni ujinga wa kiwango cha juu sana kuamini wanaokupa chanjo wana lengo baya na wewe wakati almost kila kitu unatoa 'kwao'..Wasingesubiri Covid19, wangekupiga hata kwenye dawa za Malaria.
Yaani mna generalize mambo kirahisi sana..
Kila kitu kinakuja na agenda yake... leo utaletewa dawa ya kifua iliyo salama kesho ukaletewa tiba ya malaria isiyo salama, hatakama zote zitapitia FDA au CDC.
Kwa kifupi ni kwamba dawa/chanjo/bidhaa yoyote ikitoka kwenye hizo nchi kuja kwetu haimaanishi kuwa imekubalika na watu wote kwenye hizo nchi..Na ndio maana hata huko 'kwao' kuna watu wanazipinga hizo chanjo.
Mkija kushtuka kuwa mligeuzwa lab rats ndio akili itawakaaa sawa!