Mshana jr yuko sahihi. We humjui Gwajiboy.
Mi namjua wakati anaanza tu mambo ya kanisa, alikuwa anakuja kutumia internet kwenye cafe yetu mara kwa mara pale ubungo juu pale ukianza kupanda kilima yeye alikuwa na kanisa dogo tu pale ilipokuwa hunters club/ bar pale ubungo alikuwa hajaanza kabisa mambo ya kufufua watu.
Aliwai kuwa na kesi kubwa iliyomsumbua sana ya kuuza magari kwa kutumia kipengere cha kufutiwa kodi taasisi za kanisa. Aliifuta ki aina.
Wakati anafufua watu yuko maarufu sana alifanya kitu cha kushangaza kilichosababisha rafiki yangu ahame kanisa lake.
Kuna jamaa alikuwa anataka kuoa , yeye akamweka sawa yule jamaa asioe mchumba wake, badala yake Gwajiboy akamuunganisha na dada yake yeye Gwajiboy.
Ana vijimambo vingi ambavyo havitoki nje.
Sasa nyie mnamwita mtumishi wa Mungu.
Ni mtu pumbafu sana kwa ujumla. Hana cha TISS wala nini, anajua kuna watu wanamsikiliza.