Askofu Gwajima ni nani Tanzania?

Askofu Gwajima ni nani Tanzania?

Hii inadhihirisha maana halisi ya kuwa ulimwengu wa tatu yaani Kila kitu ikiwemo uwezo wa kupambana na magonjwa kuwa chini Sana.
Wazungu hawakukosea kutuweka hilo kundi sababu watu hawana mbele Wala nyuma mnaletewa msaada tena mnaanza kuhoji wakati hata mpewe miaka elfu hakuwezi kutengeneza hiyo chanjo.
Halafu mkuu evidence kutoka kwao inaonyesha covid 19 imepungua sana baada ya kuanza kuchanja. Sisi tunalialia eti wanataka kutumaliza!!! Ningekuwa mwenyekiti wa kamati kuu ningefukuza gwaji boi kwenye chama.
 
Ni haki yetu kuhoji na swali letu mbona wakati enzi za jpm chanjo ilikataliwa iweje ye hayupo leo hii wailete nchini kwetu ......hapana Namuunga mkono Gwajima
 
AGOMBEE URAIS 2025 GWAJIMA THE BISHOP
IMG-20210730-WA0014.jpg
 
Gwaji ana hoja..kakamata kwenye point..
Hatupo upande wowote lakini haya ni maswali ambayo wengi wanajiuliza..

Ni muhimu kujibiwa na wataalamu bila kupuuzia maana watu wana khofu na afya zao.... ..
 
Wewe mshana kwanza ni fake, 2nd huna hadhi wala huwezi mfikia uyo unaemnanga.
Alafu mwenzio ana ushawishi mkubwa sana, watu wengi wanamsikiliza na kufuata, tena hili suala la chanjo ndio bora mumuelekeze kwa heshima, ila vimaneno maneno vyenu ndio vinakuza sintofaham.
 
No ? we look at the one who owns it Good politics to defend the people ,,,mfano ww suala la miamala umeona vile watu wanalalamika na huyo Dr mipango na Job ndugai ndio wamepigilia misumari kabisa,,,si sawa
 
Mkuu hawa watu wanatia hasira mno. Gwajima ni mhuni mmoja anayecheza na mindset finyu za baadhi ya watu tu. Hana lolote. Unamsikia anasema etu mtu akitaka kumuua yeye huyo mtu anaangamia kabla yake. Yaani kile kitendo cha kufikiria tu kumfanyia jambo baya, basi wewe unakuwa umeshajimaliza mwenyewe. Anajifanya yeye ni masiha mpakwa mafuta. Sidhani kama Mungu anaweza kuwa na ukaribu na mtu wa aina hii!
[/QUw
Wewe Ni Nani Hadi umuhukumu mwenzako
 
Mshana jr yuko sahihi. We humjui Gwajiboy.
Mi namjua wakati anaanza tu mambo ya kanisa, alikuwa anakuja kutumia internet kwenye cafe yetu mara kwa mara pale ubungo juu pale ukianza kupanda kilima yeye alikuwa na kanisa dogo tu pale ilipokuwa hunters club/ bar pale ubungo alikuwa hajaanza kabisa mambo ya kufufua watu.

Aliwai kuwa na kesi kubwa iliyomsumbua sana ya kuuza magari kwa kutumia kipengere cha kufutiwa kodi taasisi za kanisa. Aliifuta ki aina.

Wakati anafufua watu yuko maarufu sana alifanya kitu cha kushangaza kilichosababisha rafiki yangu ahame kanisa lake.
Kuna jamaa alikuwa anataka kuoa , yeye akamweka sawa yule jamaa asioe mchumba wake, badala yake Gwajiboy akamuunganisha na dada yake yeye Gwajiboy.

Ana vijimambo vingi ambavyo havitoki nje.
Sasa nyie mnamwita mtumishi wa Mungu.

Ni mtu pumbafu sana kwa ujumla. Hana cha TISS wala nini, anajua kuna watu wanamsikiliza.
Hizi hoja zako ulizotoa hapa zinawiana vipi na hoja za gwajima, kwamba alichokisema Ni cha kipumbavu? Nonsense
 
Back
Top Bottom