Askofu Gwajima ni nani Tanzania?

Kumaliza watu namna gani?

Mbona siku zote hatujafa na hatujadungwa hayo machanjo uchwara?

Hizo habari za "kumaliza watu" we umezitoa wapii?

Usiseme hatujafa, sema sijafa.


Mamia ya watu washapoteza maisha, na baadhi yao ni watu wangu wa kalibu. Sasa wewe jidanganye corona haipo, kweli mko dunia ya 3 hata corona bado hamuamini ipo!!
 
Tumeshindwa kufa kwa mawimbi oliginal ya mwanzo tutakufa kwa kiwimbi cha marudio?

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app

Unaijua delta wewe, nyie si ndio mlijiamisha ngozi nyeusi corona inapita tu! Ndivyo mnavyojidanganya!!!! Mamia ya watu washapoteza maisha, ila still mnang'ang'ana corona haipo. Waswahili bwana, ngumu mno kuwaelimisha ila baadhi wanaelewa.


Na mtakufa kama kuku msipochukua tahadhali
 
Kasimamia anachokiamini, toka enzi za mwendazake. Sio mnafki kama kama wanaccm wengi wanaoenda na upepo wa raisi.
Ajibiwe kwa hoja na sio kumuandama kwa mambo yake au jinsi alivyo.

Wengi utaskia wanamwita majina ya ajabu lakini hoja zake hazijibiwi zaidi ya kumezwa na hayo majina ya tapeli, mjinga nk.
 
Mzungu namjua hana cha bure😷 (In Gwajima Voice)

Kweli kabisa wazungu ata mimi huwa siwaamini. Lakini kwenye swala la corona na watu tunaona wanakufa, chanjo ni muhimu,, na umuhimu wake utakuja kuuona baadae, itakua too late. Hii Johnson wengi wanaipiga vita mkuu, kuna nchi moja wameigomea chanjo iyo, imeleta shida huko marekani. Haifai
Huna lolote wewe dalali la machanjo umebaki na vitisho uchwara tu!

Mwaka huu sijui mtaambia nini waume zenu mabeberu, maana michanjo itadoda huko stoo na wao wanataka feedback ya udungaji!

Sawa mkuu 😂😂😂
 
20210731_213506.jpg


Mzee wa kupiga miti!
 
Hoja hapa chanjo inazuia nisipate korona? Jibu ni HAPANA unapata! Je chanjo hii inazuia nikiwa na korona nisimuambukize mwingine? Jibu ni HAPANA unawezakumwambukiza! Je nikichanjwa nikapata korona siwezi kufa! Jibu ni HAPANA unawezakufa! Je hayo MACHANJO ni ya nn? JIBU yanazuia maambukizi ya KORONA. Mbona waliochanjwa Ulaya wanazidi kupukutika kwa kasi? Tuwe na ngozi nyeusi na AKILI iwe nyeusi huo ni upimbi.
CHANJO ZOTE ZINA AJENDA YA SIRI

Kuanzia zile za ....
1.Ndui
2. Pepopunda
3. Surua
4. Homa ya Manjano
5. Polio
6. n.k
Waafrika Tulikuwa tunasifika na mambo mengi ya msingi ambayo wenzetu wazungu hawana kama vile..
1. Umoja na ujamaa
2. Uzalendo wa NCHI zetu
3. Ukakamavu na ujasiri
4. Afya ya Akili
5. n.k

Sasa ni dhahiri kabisa matunda hayo kwa waafrika ni mwiba mchungu kwa wazungu..
Na kwakuwa mzungu tangu mwanzo akili yake ni kumtawala mwafrika, akaona kuna haja ya kubomoa au kudhoofisha misingi hiyo ya waafrika kwa awamu.

Inawezekana NDUI imebeba ajenda ya kuua kabisa Umoja na ujamaa tuliokuwa nao.

Waafrika MAISHA Yetu yalikuwa katika misingi ya umoja na ujamaa. Tulikuwa tunalima shamba la kijiji pamoja na baadae kugawana mavuno.

Mambo ya malezi ya kusema mtoto wa mwenzio ni wa kwako ..ndio yalikuwa mahala pake.
Sasa CHANJO ya Ndui inawezekana imefuta hayo

PEPOPUNDA imebeba ajenda ya kudhoofisha misingi ya Uzalendo.

Waafrika tumekosa kabisa Uzalendo wa NCHI zetu. Tunashabikia wazungu katika nyanja mbalimbali kama vile ....
1. Michezo
2. Taaluma
3. n.k
Tunashuhudia kabisa viongozi wengi wa Africa wakiumwa wanakimbilia ulaya,,,, maana yake hawana Imani na watalaamu wa NCHI zao.

Tunashabikia timu za ulaya zaidi kuliko timu zetu . Nina UHAKIKA kabisa ikija man city kucheza na mtibwa sugar uwanja wa mkapa ...basi 90% wataishabikia man city na kuuweka Uzalendo pembeni.
Hayo yote yawezekana ni madhara ya CHANJO ya Pepopunda
SURUA inawezekana ilibeba ajenda Afya ya Akili.
Waafrika wamekuwa ni wavivu wa kufikiri, hata soma Yetu imekuwa ni ya kukariri tu..... Lakini hatuwezi kubuni vya kwetu kutokana na elimu tuliyoipata. Hata akitokea mmoja wetu ana ubunifu hatumwamini na hatumuungi mkono.
MASHULENI ni shida tu maana watu wanasomea Mitihani Tu. Vyuo vikuu ni mwendo wa madesa tu. Ndio maana Degree zetu zinashuka thamani katika soko la ajira duniani. Ndio maana pia wengi wanapambana kwenda kusomea degree za ughaibuni.
Yote haya inawezekana tumeathiriwa na CHANJO ya SURUA

CHANJO ya polio inawezekana imebeba ajenda ya Ukakamavu na ujasiri.
Waafrika tumeumbiwa NGUVU za kutosha.
Tulikuwa tunalima kwa jembe la mkono ma ekari. Tulikuwa na ujasiri wa kupambana na magumu yanayokuja mbele Yetu. Lakini sasa vyote hivyo vimepotea.

Niseme tu kila awamu ya CHANJO inayopita ni lazima itakuwa imebeba ajenda ya Siri ya kuua msingi MUHIMU wa mwanadamu hususan mwafrika.

Je hii CHANJO ya Corona imebeba ajenda Gani ya Siri?

1. Watu wawe mashoga na wasagaji??
2. Watu wapate chapa ya mnyama(666) ambayo tafsiri yake ni hutaweza kuuza WALA kununua kama ukiikosa CHANJO hii.

3. Au ni nini?

MUNGU KWETU NDIO KIMBILIO HAKIKA HATATUACHA TUANGAMIE
 
Back
Top Bottom