Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Kumaliza watu namna gani?
Mbona siku zote hatujafa na hatujadungwa hayo machanjo uchwara?
Hizo habari za "kumaliza watu" we umezitoa wapii?
Usiseme hatujafa, sema sijafa.
Mamia ya watu washapoteza maisha, na baadhi yao ni watu wangu wa kalibu. Sasa wewe jidanganye corona haipo, kweli mko dunia ya 3 hata corona bado hamuamini ipo!!