Askofu Gwajima ashindwa kuzuia bomoa bomoa nyumba zilizojengwa bondeni Bunju, Mbweni eneo la mto Mpiji aishia kulaani tu

Iyo aihalalishi kubomoa makazi ya watu ni uonevu wa hali ya huu kubomolea watu nyumba zao. LAZIMA Jiwe na utu. Jiwe aliwabomolea watu KWA chuki zake kimara akidhani ataishi milele ikulu. YUKO WAPI SASA?!
HUNA AKILI WEWE.
 
Wana JF

Ukisikia mbunge kukosa meno kwa kile kilichoamuliwa na serikali ndio hiki. Tarehe 22 juzi Gwajima Boy alifika kushuhudia nyumba zikivunjwa kwa wale wote waliojenga mabondeni, risasi zililindima kama tupo Kandahar, vilio vilitawala kwa akina mama na baba wakina mabangaloo yakiangishwa kama miguu.

Gwajima alivyofika alipokelewa na jeshi la polisi likimsii aondoke wafanye kazi zao kwa kile kutekeleza amri ya serikali. Greda zikiwa bize kugegeda mabati na tofari kuzifanya kifusi. Aliishia kujibebesha kadogo hukuaki laani na kuwafariji waliofikwa na kadhia hii.

Watu tukae tukijua kufuata sheria chief Hangaya hana utani na abembelezi jura ya mtu, ana taka mambo yaende kwenye mstari.

Ulitaka azuie kwa maombi ama kwa sheria ipi?
 
Wana JF

Ukisikia mbunge kukosa meno kwa kile kilichoamuliwa na serikali ndio hiki. Tarehe 22 juzi Gwajima Boy alifika kushuhudia nyumba zikivunjwa kwa wale wote waliojenga mabondeni, risasi zililindima kama tupo Kandahar, vilio vilitawala kwa akina mama na baba wakina mabangaloo yakiangishwa kama miguu.

Gwajima alivyofika alipokelewa na jeshi la polisi likimsii aondoke wafanye kazi zao kwa kile kutekeleza amri ya serikali. Greda zikiwa bize kugegeda mabati na tofari kuzifanya kifusi. Aliishia kujibebesha kadogo hukuaki laani na kuwafariji waliofikwa na kadhia hii.

Watu tukae tukijua kufuata sheria chief Hangaya hana utani na abembelezi jura ya mtu, ana taka mambo yaende kwenye mstari.

Ni wapi huko yalikovunjwa majumba mkuu mbweni au Bunju?
Tupe kapicha ka nyumba ilovunjwa
 
Wana JF

Ukisikia mbunge kukosa meno kwa kile kilichoamuliwa na serikali ndio hiki. Tarehe 22 juzi Gwajima Boy alifika kushuhudia nyumba zikivunjwa kwa wale wote waliojenga mabondeni, risasi zililindima kama tupo Kandahar, vilio vilitawala kwa akina mama na baba wakina mabangaloo yakiangishwa kama miguu.

Gwajima alivyofika alipokelewa na jeshi la polisi likimsii aondoke wafanye kazi zao kwa kile kutekeleza amri ya serikali. Greda zikiwa bize kugegeda mabati na tofari kuzifanya kifusi. Aliishia kujibebesha kadogo hukuaki laani na kuwafariji waliofikwa na kadhia hii.

Watu tukae tukijua kufuata sheria chief Hangaya hana utani na abembelezi jura ya mtu, ana taka mambo yaende kwenye mstari.

Maombi yamegoma kufanya Kazi? 😂😂
 
Wana JF

Ukisikia mbunge kukosa meno kwa kile kilichoamuliwa na serikali ndio hiki. Tarehe 22 juzi Gwajima Boy alifika kushuhudia nyumba zikivunjwa kwa wale wote waliojenga mabondeni, risasi zililindima kama tupo Kandahar, vilio vilitawala kwa akina mama na baba wakina mabangaloo yakiangishwa kama miguu.

Gwajima alivyofika alipokelewa na jeshi la polisi likimsii aondoke wafanye kazi zao kwa kile kutekeleza amri ya serikali. Greda zikiwa bize kugegeda mabati na tofari kuzifanya kifusi. Aliishia kujibebesha kadogo hukuaki laani na kuwafariji waliofikwa na kadhia hii.

Watu tukae tukijua kufuata sheria chief Hangaya hana utani na abembelezi jura ya mtu, ana taka mambo yaende kwenye mstari.

Kwani kuna kipi amewahi fanikiwa Gwajiboy?
 
Mchungaji akitaka kujenga nyumba waumini tunamchangia, Ila muumini akitaka kujenga nyumba mchungaji anasema nitakuombea.
Hapo ndo tunapoenda kinyume na mausia ya Mungu kitu kinachofanya watu wamuone Mungu hayupo,utaratibu wa kupata Mali unaeleweka ni watu wafanye kazi Ili wapate Mali Sasa watu badala ya kuambiwa ukweli wafanye kazi Ili wapate Mali mtu anaambiwa aombewe Mali zishuke kutoka juu, baba anaambiwa awarithishe watoto wake urithi wa Mali zake Ili wawe na Mali tena mtu anadanganywa mtoto atajilea kwa bahati tu Sasa huyo mtoto akipitia mateso ya kukosa matunzo anajikuta haoni Kama Kuna Mungu Sasa hii ni shida kweli.
 
Wana JF

Ukisikia mbunge kukosa meno kwa kile kilichoamuliwa na serikali ndio hiki. Tarehe 22 juzi Gwajima Boy alifika kushuhudia nyumba zikivunjwa kwa wale wote waliojenga mabondeni, risasi zililindima kama tupo Kandahar, vilio vilitawala kwa akina mama na baba wakina mabangaloo yakiangishwa kama miguu.

Gwajima alivyofika alipokelewa na jeshi la polisi likimsii aondoke wafanye kazi zao kwa kile kutekeleza amri ya serikali. Greda zikiwa bize kugegeda mabati na tofari kuzifanya kifusi. Aliishia kujibebesha kadogo hukuaki laani na kuwafariji waliofikwa na kadhia hii.

Watu tukae tukijua kufuata sheria chief Hangaya hana utani na abembelezi jura ya mtu, ana taka mambo yaende kwenye mstari.


Walipewa taarifa, ili wahame?

Nafikiri ni muhimu ukiamua kubomoa watu waliopewa vibali na serikali, wafunge wote waliotoa vibali na kuruhusu ujenzi ufanyike.

At the very least wangepewa pesa za kuanza maisha mapya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom