Askofu Gwajima ashindwa kuzuia bomoa bomoa nyumba zilizojengwa bondeni Bunju, Mbweni eneo la mto Mpiji aishia kulaani tu

Sijajua ukweli hasa kuna issue gani hapo Mbweni ila nimemsikia Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Gwajima akisema amezungumza na na ao wabomoaji wamemjibu kuwa wanapisha bustani.

Sijui labda kama kuna mwenye taarifa sahihi atujuze kuna nn huko hasa huko Mbweni.View attachment 2022062

Sent using Jamii Forums mobile app

Muhimu Watendaji wa serikali, wawajibishwe, na wasitoe tena vibali kujenga maeneo ambayo hawatakiwi.

Kila kibali kikitolewa, wahusika wote wafungwe na kufilisiwa. Nidhamu itarudi.

Hawa wapewe hata compesation kidogo kuanza maisha upya?
 
Mipango miji iheshimiwe. Mnaona eneo wazi mnavamia. Na wale matajiri waliovamia maeneo ya wazi nao washughulikiwe.
 
Mipango miji iheshimiwe. Mnaona eneo wazi mnavamia. Na wale matajiri waliovamia maeneo ya wazi nao washughulikiwe.

Kuhusu matajiri, hawawezi kuwagusa sababu watapewa mkwanja mrefu. Pia ndio wao wanaviuza na kuvinunua.

Viwanja vingi tu vimeuzwa vya mpira, vya wazi, mkondo wa maji Mikocheni karibu na Nyumba ya Nyerere vyote viliuzwa kinyume na matakwa ya Nyerere.
 
Wana JF

Ukisikia mbunge kukosa meno kwa kile kilichoamuliwa na serikali ndio hiki. Tarehe 22 juzi Gwajima Boy alifika kushuhudia nyumba zikivunjwa kwa wale wote waliojenga mabondeni, risasi zililindima kama tupo Kandahar, vilio vilitawala kwa akina mama na baba wakina mabangaloo yakiangishwa kama miguu.

Gwajima alivyofika alipokelewa na jeshi la polisi likimsii aondoke wafanye kazi zao kwa kile kutekeleza amri ya serikali. Greda zikiwa bize kugegeda mabati na tofari kuzifanya kifusi. Aliishia kujibebesha kadogo hukuaki laani na kuwafariji waliofikwa na kadhia hii.

Watu tukae tukijua kufuata sheria chief Hangaya hana utani na abembelezi jura ya mtu, ana taka mambo yaende.

Issue ya Ardhi iangaliwe upya, watu wakikizi vigezo ni Watanzania, wapewe ardhi iliopimwa, iliyopangwa sehemu zote ndani ya Tanzania, hadi hapa Dar.

Wapewe mikataba ya kulipa polepole miaka 10, 15, 20 nk kutokana na vipato vyao.

Nchi hii ina ardhi ya kutosha, ni yetu sote. Ardhi inaweza kuwasaidia maskini wainuke.

Ndio solution ya kudumu, endelevu, kuondoa majanga kama haya, rushwa, watu kuvamia maeneo.

Waziri Lukuvi angalia hili.
 
Sijajua ukweli hasa kuna issue gani hapo Mbweni ila nimemsikia Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Gwajima akisema amezungumza na na ao wabomoaji wamemjibu kuwa wanapisha bustani.

Sijui labda kama kuna mwenye taarifa sahihi atujuze kuna nn huko hasa huko Mbweni.View attachment 2022062
Gwajima kawapiga changa la macho, nyymba hizi zina mwaka na nusu watu wanajenga kwa kasi, ni Kyle kulikomwaga vichwa vya immune na pakazuiliwa pasijengwe, watu wakawa wanajiuzia laki tatu, sita
 
Iyo aihalalishi kubomoa makazi ya watu ni uonevu wa hali ya huu kubomolea watu nyumba zao. LAZIMA kuwe na utu. Jiwe aliwabomolea watu KWA chuki zake kimara akidhani ataishi milele ikulu. YUKO WAPI SASA?!

Jitahidi muwe wenye kuelimika na kuzifahamu sheria za nchi

Umejenga pasipo kufuata sheria na kanuni, kwann usibomolewe!??

Ulaya huko unabomolewa na mahakamani unafikishwa
 
Jitahidi muwe wenye kuelimika na kuzifahamu sheria za nchi

Umejenga pasipo kufuata sheria na kanuni, kwann usibomolewe!??

Ulaya huko unabomolewa na mahakamani unafikishwa

Jitahidi muwe wenye kuelimika na kuzifahamu sheria za nchi

Umejenga pasipo kufuata sheria na kanuni, kwann usibomolewe!??

Ulaya huko unabomolewa na mahakamani unafikishwa

Ulaya, hupati hati, kibali cha serikali kujenga usipotakiwa.

Ulaya huwezi kujenga hadi kukamilisha ukaaka miaka kadhaa Serikali inakuangalia tu.

Watafungwa watendaji wote na serikali husika itajiuzulu.
 
Jitahidi muwe wenye kuelimika na kuzifahamu sheria za nchi

Umejenga pasipo kufuata sheria na kanuni, kwann usibomolewe!??

Ulaya huko unabomolewa na mahakamani unafikishwa
YUKO WAPI SASA?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom