mbweni

Mbweni, Dar es Salaam is an administrative ward in the Kinondoni district of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 3,475.

View More On Wikipedia.org
  1. ngara23

    JamiiForums Tanzania Pori la Mbweni ndo jehanamu mpya?

    Pori la Mbweni na Ununio ambayo ni sehemu Moja kijiogrofia au yanapakana yameukuwa tishio Kwa maisha ya watu Mfano 1. Mzee Ali Kibao alitekwa na baadae mwili wake ukakutwa umetupwa kwenye pori hili 2. Makaburi ya halaiki CNN ilihabarisha ulimwengu kuwepo Kwa makaburi ya halaiki kutokana na...
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi limlete David Jumbe akiwa HAI, Mashuhuda wanakiri Gari la Watekaji kuingia Moja ya Nyumba hapo Mbweni wakiwa Naye !!!

    Muache ngonjera za kusema Aliruka na kutokomea akiwa na PINGU. Ukimfunga Mtu Míkono kwa namna yoyote ile, UMEMUONDOLEA BALANCE YA KUKIMBIA , HIVO HAWEZ KUA NA UWEZO WA KUKIMBIA KWA KASI HATA KUWASHINDA MAASKARI UHUNI MLOUFANYA KWA POLEPOLE, KWAKUA HAMNA AKILI, NDIO MNAURUDIA ULEULE
  3. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Mbezi Magufuli kuna gari za kwenda Mbweni Gen Isamuhyo?

    Tunaotaka kwenda kuangalia mpira tunaomba ramani sisi wageni yakufika uwanjani.
  4. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Uelekeo ni Ikulu, Masaki na Mbweni

    Sasa tunaenda kwenye makazi yao. Ni kuwakamata na kuchoma mali zao na makazi yao. Leo ni siku ya Ukombozi Tanzania Mungu ibariki Tanzania
  5. Busu la Kenge

    JamiiForums Tanzania Ukilinganisha haya maghorofa Mbweni Dar es salaam na Ngong Nairobi bado bei ya nyumba Dar ipo juu Sana

    Chini ni video mbili ya maghorofa ya ki fahari. Yote yako sokoni, kwenye mitaa ya kishua na fully furnished. Video ya kwanza hapo chini ni ghorofa liko Mbweni JKT ambalo liko sokoni Kwa shilling za kitanzania 1.3 Billion. Video ya pili chini ni ghorofa liko Ngong Alkeri Nairobi kwenye gated...
  6. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Masaki na Mbweni ya Nepal zikiungua

  7. didy muhenga

    JamiiForums Tanzania Mbweni ijayo

    Wakuu nafanya speculation.. Je ni sehem gan bagamoyo ina opportunity ya kua kama mbweni ijayo.. Kama unajua tafadhali shusha comment hata kama sio b/moyo
  8. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa,ipo Mbweni Dar es salaam Tanzania, nyumba ni mpya ni ya kwanza kutoka barabara ya lami, bei ni billion 1,

    HOUSE FOR SALE Location: Mbweni JKT
Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,860
Umiliki: Hati miliki ipo, eneo lina hati mbili-eneo moja limejengwa jingine lipo wazi. 💰 Bei: TZS Bilioni 1 kwa hati zote mbili Sifa za Nyumba: #Vyumba 4 vyote ni master bedrooms (vina makabati) #Balcony mbili Sea View...
  9. The ice breaker

    JamiiForums Tanzania Mijengo ya Mbweni

    Aseee napita mitaa ya Mbweni ya huku , Ni noma sana, kuna mijengo mikali sio mchezo wazee. Hivi hawa wenye mijengo wanatoa wapi hizi pesa ? Au sio watanzania Yani sielewei kabisa
  10. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania House4Sale House for sale, located at Mbweni mpigi Daressalaam Tanzania,price tsh 670m

    #houseforsale GOROFA LINAUNZWA INA VYUMBA VITANO VYA KULALA NA BYCOTA ENEO SQMT 1200 OFFER MILLION (670) MAONGEZ HAT IMENYOOKA LOCATION LOCATED AT MBWEN MPIGI 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
  11. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Plot for Sale, located at Mbweni JKT Dar es Salaam Tanzania

    #plotforsale Eneo linauzwa SQM 1540 Bei Ml 450 maongez kidogo Location mbweni JKT: Hati imenyoka sanaa Call/WhatsApp +255758844717
  12. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa, kipo Mbweni JKT, Dar es Salaam, bei ni milioni 450 za kitanzania

    #plotforsale Eneo linauzwa SQM 1540 Bei Ml 450 maongez kidogo Location mbweni JKT: Hati imenyoka sanaa Call/WhatsApp +255758844717 #plotforsale #mbwenijkt #houseforrent #houseforsale #property #realestate #realestatetanzania #dalali #wauzajiwanyumba #wauzajiwaviwaja #eneolinauzwa...
  13. bizzle for shizzle

    JamiiForums Tanzania Viwanja viwili vinauzwa Mbweni

    Viwanja viwili vilivyo shikana VINAUZWA Kila kimoja kina UKUBWA wa sqm 750 Na kwa kimoja KINAUZWA kwa tsh 150 milion Unaweza uka double au uka Chukua kimoja kimoja Viwanja vipo meter 200 kutoka BARABARA ya LAMI . KARIBUNI sana 0712464777 0769070247
  14. bizzle for shizzle

    JamiiForums Tanzania KIWANJA KINAUZWA MBWENI JKT BLOCK NO 8 KWA MAMA SAMIA

    Kiwanja kizuri kipo 𝖩𝗂𝗋𝖺𝗇𝗂 na bahari Chenye UKUBWA wa sqm za mraba 1000 kina hati miliki kutoka wizara ya Ardhi KINAUZWA kwa shilingi 450 Milion MAONGEZI YAPO jamani huku ni Pazuri sana BARABARA zote ni lami mpaka baharini wamejenga vigogo wengi wa serikali na kuhakikishia ukifika hauchomoki ...
  15. Kasri Homes Tz

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Mbweni: 900 Sqm Prime Plot Ushuani, Bei Imekufa - Dar

    • Direction: • Structures: • Facilities: • Plot Terrain: • Plot Area: • Document: • Ideal: • Price: • Site visiting: . #InRealEstateWeConnect ☎💬: Mitandaoni:
  16. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania APARTMENT MPYA ZINAUZWA,ZIPO MBWENI MPIJI DAR🇹🇿,BEI NI MILIONI 850, 0758844717

    #sale APPERTMENT ZINAUZWA “”” ZIPO ZA VYUMBA VITATU “” ZIPO ZA VYUMBA VIWILI ZOTE ZINA WAPANGAJI VYUMBA VITATU NI LAK 700K VYUMBA VIWIL UWA ZINAPANGISHWA KWA LAKI 600K UKUBWA WA KIWANJA NI SQMT 1200”” KUNA HATI MILIKI OFFER MILLION 850 MAONGEZI YAPO LOCATION MBWEN MPIJI...
  17. Dalali wa kimataifa

    JamiiForums Tanzania NEW APARTMENT FOR SALE,LOCATED AT MBWENI MPIJI DARESSALAAM TANZANIA,PRICE=Tsh850m,negotiable 0858844717

    #sale APPERTMENT ZINAUZWA “”” ZIPO ZA VYUMBA VITATU “” ZIPO ZA VYUMBA VIWILI ZOTE ZINA WAPANGAJI VYUMBA VITATU NI LAK 700K VYUMBA VIWIL UWA ZINAPANGISHWA KWA LAKI 600K UKUBWA WA KIWANJA NI SQMT 1200”” KUNA HATI MILIKI OFFER MILLION 850 MAONGEZI YAPO LOCATION MBWEN MPIJI...
  18. Dalali wa kimataifa

    JamiiForums Tanzania APARTMENT MPYA ZINAUZWA,ZIPO MBWENI MPIJI DAR🇹🇿,BEI NI MILIONI 850, 0758844717

    #sale APPERTMENT ZINAUZWA “”” ZIPO ZA VYUMBA VITATU “” ZIPO ZA VYUMBA VIWILI ZOTE ZINA WAPANGAJI VYUMBA VITATU NI LAK 700K VYUMBA VIWIL UWA ZINAPANGISHWA KWA LAKI 600K UKUBWA WA KIWANJA NI SQMT 1200”” KUNA HATI MILIKI OFFER MILLION 850 MAONGEZI YAPO LOCATION MBWEN MPIJI...
  19. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Mnaokaa Mbweni na capripoint -Mwanza, mmeajiriwa wapi?

    Sidhani kama kuna mfanyakazi wa local government kwenye hii mitaa, oi watu wana hela Dah, Watu wamepambana kweli kweli sio mchezo, huko sidhani kama ardhi/kiwanja mtu anaweza kupata chini ya million 30. Mfano capripoint Mwanza, juzi nilikua na mwanasheria mmoja akanambia kafunga mkataba wa...
  20. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wangu;bado Masaki ni bora kuliko Mbweni

    Nikipita Mbweni huwa najiona mjinga sana,mahekalu yale yamejengwa nayaona kabisaaa. Nimezaliwa mjini,nimekulia mjini,shule nimekwenda kiasi chake,lakini sijui nilifeli wapi kumiliki mjengo maeneo hayo. Pamoja na hayo yote,Masaki bado ni the best. Ukitaka kujua kama chuo unachosoma ni...
Back
Top Bottom