KAYAFA MKUU
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 242
- 297
Hongera kwa Bishop! Mtumishi huyu wa Mungu ana Jambo litakalowasaidia watu. Asiyekubaliana naye amjibu kwa hoja.
Una ushahidi kuwa analipwa na chadema? As i know wachungaji hawalipwi na chama chochote.Asingekuwa analipwa na Chadema
Ukweli utakuweka huruHuyo ni mwanachama wa Chadema Mkuu na anafungu lake pale Chadema
Ndio maana tumemwomba agombee hata udiwani tuje tumvue nguo hadharani
Hujui......Wakitaka tuwapende lazima wafanye kama zamani, ndipo tutakapowakubali kuwa nao ni ma Askofu kama hao wengine wanaotupigia chapuo!.....Sijui.....Kuanzia sasa ujue, tunatangazia dunia hivi; Askofu yeyote akiwa upande wetu, huyo siyo adui yetu maslani!Hawa ndio maaskofu sio walamba makalio na wacheza sinema za utupu na kondoo wa bwana , sasa huyu utamlinganisha na hii Pimbi hapa chiniView attachment 1568230
Huyu mzee ni akili kubwa sana.Ameandika Baba Askofu Rev.Dr.Benson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe.
_____
1. Kama Tume ya Uchaguzi (NEC) ikifanya makosa, ukaikosoa lakini ukanuniwa na CHADEMA, basi una haki ya kuamini kwamba makosa ya NEC yanaagizwa na CHADEMA. Penye neno CHADEMA, waweza kuweka CCM.
2. Ukivikosoa vyombo vya dola kwa kuipendelea CHADEMA na kuionea CCM, kisha ukaona CHADEMA ndiyo inayojibu tuhuma hizo, ujue vyombo vya dola vinaagizwa na CHADEMA. Penye jina CHADEMA, waweza kuweka CCM.
3. Ukiona wagombea wengi wa CCM wameenguliwa, wakati wagombea wote wa CHADEMA wameteuliwa, una haki ya kuamini kuwa fomu zote za wagombea wa CHADEMA ZILIJAZWA na Tume ya Uchaguzi (NEC). Penye jina CHADEMA waweza kuweka CCM.
4. Ukiona wagombea wengi wa CHADEMA wamepitishwa bila kupingwa na bado wanaendelea na jitihada za kushawishi wagombea wa CCM wajitoe, huku wakiorodhesha na kununua shahada za kupigia kura, una haki ya kuamini kuwa CHADEMA hawana Imani na sanduku la kura. Penye jina CHADEMA waweza kuweka CCM.
5. CHADEMA wanapenda Sana Amani. CCM wanapenda Sana Haki. Siku CHADEMA wakipenda Haki na CCM wakapenda Amani ndipo tutapata Tume HURU ya Uchaguzi. Penye jina CHADEMA waweza kubadili na kuweka CCM bila kupoteza maana ya fungu hili.!
Aligombea uaskofu mkuu KKKT akagaragazwa! Angepita ningehamia Roma wiki inayofuata!Bagonza agombee hata udiwani kupitia Chadema aone atakavyogaragazwa
Prof Ndalichako na kingereza chake cha english cozkweli hii ni Phd isiyo na shaka yeyote, na itakuwa imepatikana kwenye moja ya chuo kikuu bora kabisa hapa duniani. ukiwa phd za hapa kwetu itakuwa shida kidogo manake lugha ya kufundishia inasumbua mpaka wakufunzi.
Ubongo kama wa kuku hapa hamchomokiHow does this concern us Baba askofu ?
Haya maandishi yanaonyesha kuwa unawakubali hawa watu. Kongole.Hivi Watu Wa Huko Wanakula virutubisho gani Maana ukiacha hao wawili kuna Yule Padri Privatus Karugendo na Yule Karugendo Mwingine Alikuwa Anaandika Makala ndani ya gazeti la Rai?!!
Haa😁😂😅😄😃🤣Bishop niwemugizi wa pale rulenge ila kwa sasa Ngara is my role model
Mataga hujaiona CCM hapo?Bagonza haonagi vyama vingine vya siasa ,ispokua chadomo tu,pathetic
Hongera SanaHuduma safi na mazingira mazuri,mimi nasali kwa Bagonza
Gombea na wewe tutakupigia na huo usen** wakoMwambieni agombee hata udiwani tutampiga na majoho yake