YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,033
Kwa hiyo mahakimu na majaji wote wanaotoa hukumu ni wenye dhambi?Kuhukumu ni dhambi
Kwa hiyo mahakimu na majaji wote wanaotoa hukumu ni wenye dhambi?Kuhukumu ni dhambi
Bagonza anachomaanisha Corona bado ipo Tanzania, nakubaliana nae; ila yeye katumia njia ndefu kufikisha ujumbe wake.kwani kuna mtubalimzui
Mungu anaweza asizuie mararia kifaduro na vingine visiwepo ila anaweza kuzuia vitu hivyo visikudhuru endapo utamuimna kwa imani thabiti.Wewe ni mwendawazimu.
Malaria tunaugua kila siku. Halikadhalika magonjwa mengine yote. Waliopo mahospitalini wote ni wana magonjwa. Je, pale Mungu hayupo?
Mungu yupo mahali pote. Pawe pana Corona, malaria, kifaduro, n.k; Mungu yupo.
Ninyi ndiyo ambao Bwana wetu Yesu Kristo alinena na wanadamu wa kale, "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa".
Sent using Jamii Forums mobile app
Km uliwahi kwenda shule ni moja ya watu waliosomea ujinga.Hekima hana na akil hana...asiongee sana maana ana haribu...hata wew pia akili huna ndomana umejib comment kwa ghadhabu..tuseme wote.mim wew na yeye tupo kwenye kapu moja.yaan wote walopokaj na waandikaj kwa mihemko..wote
Kwani chanjo kuchoma ni lazima?Tatizo ni kwamba ukisema ipo ni kosa la jinai! Watu wameacha hata kunawa mikono hii sio nzuri na vilevile kuaibisha watu wanaovaa barakoda ni ujinga😂. Tungeweza kabisa kuruhusu biashara lakini kuwa makini bado. Vilevile serikali iweke order za chanjo tusije kufungiwa kusafiri
Uchaguzi ushaisha mnarudia habari za corona,kipindi cha kampeni wote mlikuwa bize na uchaguzi tu mkishindana kujaza watu wenye kampeni hamkuwa mkitoa tahadhari kwa watu wajikinge na corona kwenye hizo kampeni,ila sasa hivi uchaguzi umeisha ndio mnarudi kupiga kelele za corona.COVID19 ipo inaua chukua tahadhari. Unadhani Pope Francis haombi rozali ili Mungu atuponye? Mbona Waitalia wengi wamekufa na bado wanakufa?
Covid19 haikimbii kirahisi rahisi hivyo chukua hatua muhimu kujilinda Pope Francis’ personal doctor reportedly dies from COVID-19 complications
Hujamwelewa! Mungu yuko kila mahali pakiwemo na hapa hapa duniani.Sasa kama yuko kila mahali kipi cha ajabu Shetani kuwako mahali Mungu aliko?Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo
Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu
Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
Uhujumu uchumi lzm unyoke naweKwa Sasa ukivaa barakoa hadharani unaeza tiwa korokoroni
KICHWA ngumu wewe au ndo matokeo ya shule za kata, hapo katumia fumbo kufikisha ujumbe, nyie mlisema tanzania mpo na mungu na ndo maana kaanza na tanzania sio makao makuu ya mungu elewaHii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo
Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu
Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
Why mnatoza laki 231200 kwa kipimo cha corona kinachoexpire baada ya siku 14 Hali hatuna corona.Tatizo Bagonza mpagani hajui hata Mungu anaishi wapo makao makuu ya Mungu yako ndani ya za wamchao anasema niko mlangoni nabisha mtu akinikaribisha nitafanya makao kwake
Mungu wetu anaitwa Emmanuel yaani Mungu pamoja nasi
Kwa alichoandika kakufuru tunamwachia Mungu atajua cha kufanua
Heri angebaki kuongelea siasa lakini huko kwa Mungu aliyetudhindia Corona kachokonoa mzinga wa nyuki na aweza ondoka kwa hiyo Corona anayopenda kuiabudu na kuitumiakumdhalilisha Mungu Mark my words
Kazi aliyofanya Mungu Tanzania kwenye issue ya Corona ni kubwa Mno na haitakiwi kkudhihakiwa atakiona cha mtena joho lake pete na kofia na fimbo yake ya kiaskofu ni takataka tu Mbele za Mungu aliyemdhihaki baada ya kufanya kazi kubwa ya kupigania Tanzania dhidi ya Corona
Kwa ufupi ni agent wa kuzimu huyo...Amevaa tu mavazi ya kiutumishi...Of all the people yeye mkristo kuzikana nguvu za Mungu hadharani unategemea nini?Huyu mzee anachotaka ni aone watu wanakufa kwa korona ili aonekane kuwa Mungu hajainusuru nchi ya TZ kutoka korona. Ikumbukwe kuwa wakati serikali iliporuhusu ibada ziendelee kwa tahadhari zilizoainishwa yeye aliamuru dayosisi yake makanisa yafungwe na ibada zisitishwe. Alitarajia kuwa vifo vingekuwa vingi na dayosisi nyingine zingefuata mkumbo aliouanzisha. Ila kwa AIBU kubwa baada ya chini ya miezi miwili alipoona waumini wake wanamshangaa na dayosisi nyingine zinachapa ibada akaamua kwa shingo upande kufungua makanisa kwenye dayosisi yake. Hiyo inamuuma mpaka leo. Ni aibu kwa kiongozi kuhusisha uwepo wa nguvu za Mungu mahali fulani na kuwa makao makuu ya Mungu. Ni dhahiri watu wanafaulu mitihani ya mafundisho ya dini bila wao wenyewe kuamini kinachofundishwa kwenye imani hiyo. Tutaendelea kuona mengi kutoka kwa wanaharakati waliovaa majoho ya uaskofu
Huyu mzee anachotaka ni aone watu wanakufa kwa korona ili aonekane kuwa Mungu hajainusuru nchi ya TZ kutoka korona. Ikumbukwe kuwa wakati serikali iliporuhusu ibada ziendelee kwa tahadhari zilizoainishwa yeye aliamuru dayosisi yake makanisa yafungwe na ibada zisitishwe. Alitarajia kuwa vifo vingekuwa vingi na dayosisi nyingine zingefuata mkumbo aliouanzisha. Ila kwa AIBU kubwa baada ya chini ya miezi miwili alipoona waumini wake wanamshangaa na dayosisi nyingine zinachapa ibada akaamua kwa shingo upande kufungua makanisa kwenye dayosisi yake. Hiyo inamuuma mpaka leo. Ni aibu kwa kiongozi kuhusisha uwepo wa nguvu za Mungu mahali fulani na kuwa makao makuu ya Mungu. Ni dhahiri watu wanafaulu mitihani ya mafundisho ya dini bila wao wenyewe kuamini kinachofundishwa kwenye imani hiyo. Tutaendelea kuona mengi kutoka kwa wanaharakati waliovaa majoho ya uaskofu
uandishi wako ni duni.Tatizo Bagonza mpagani hajui hata Mungu anaishi wapo makao makuu ya Mungu yako ndani ya za wamchao anasema niko mlangoni nabisha mtu akinikaribisha nitafanya makao kwake
Mungu wetu anaitwa Emmanuel yaani Mungu pamoja nasi
Kwa alichoandika kakufuru tunamwachia Mungu atajua cha kufanua
Heri angebaki kuongelea siasa lakini huko kwa Mungu aliyetudhindia Corona kachokonoa mzinga wa nyuki na aweza ondoka kwa hiyo Corona anayopenda kuiabudu na kuitumiakumdhalilisha Mungu Mark my words
Kazi aliyofanya Mungu Tanzania kwenye issue ya Corona ni kubwa Mno na haitakiwi kkudhihakiwa atakiona cha mtena joho lake pete na kofia na fimbo yake ya kiaskofu ni takataka tu Mbele za Mungu aliyemdhihaki baada ya kufanya kazi kubwa ya kupigania Tanzania dhidi ya Corona
Kama siyo mali ya serikali mbona zikiingia bidhaa sumu na kuua raia tunaipigia kelele serikali?Nakazia hapa "afya sio mali ya serikali"
Kama siyo mali ya serikali mbona zikiingia bidhaa sumu na kuua raia tunaipigia kelele serikali?Nakazia hapa "afya sio mali ya serikali"
Una matatizo, siyo bure. Nakuombea kwa Mungu akuponye, upate faraja ya roho na hekima.Haya eee Mungu nakuomba wape Corona wote wadhihakio kazi kubwa uliyofanya kwa taifa hili tulipokuomba nakusahi wafe kwa Corona wanaoisifia Corona na kuiadikia sifa lukuki
Kila mdhihaki juhudi zako Mungu mwachie adui Corona amrarue
Nimeomba haya kwa Jina la Yesu