TANZANIA imepoteza wapiganaji wake – wenye vyeo vya juu jeshini – mabrigedia jenerali watano – ndani ya wiki mbili kutokana na kile kinachoelezwa na serikali kuwa ni changamoto ya upumuaji. Uchunguzi unaonyesha kuwa kwa siku 13 tu, viongozi hao wakubwa ndani ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania...
sautikubwa.org