Huyu Askofu naamni lazima ana tunguli!Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo
Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu
Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
Nakazia hapa "afya sio mali ya serikali"Mimi nineelewa.
1. Tanzania siyo Makao Makuu ya Mungu.
2. Korona ipo Duniani
3. Tanzania ni sehemu ya Dunia yenye korona
4. Afya siyo mali ya serikali
Kwahiyo mkuu unaamini corona ilipungua kwa kiasi Tanzania?
Wewe ni mwendawazimu.Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo
Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu
Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
Bagonza si ndio aliemuabudu shetani baada ya kufunga makanisa huku wenzie wakiendelea kumuomba MunguDuuh yaani mahali Corona ipo na Mungu yupo??
Mbona Biblia haisemi hivyo??
Ya nini kupindisha maandiko ili kufikia malengo flani??
Msamehe tu mkuu mfumo mbovu wa elimu unaozuia kuhojina kusimamia wanachokiamini unatuletea vijana wa kuwaza hivyo .mambo aliyoandika yeye aibu nimesikia mimi.Wewe ni mwendawazimu.
Malaria tunaugua kila siku. Halikadhalika magonjwa mengine yote. Waliopo mahospitalini wote ni wana magonjwa. Je, pale Mungu hayupo?
Mungu yupo mahali pote. Pawe pana Corona, malaria, kifaduro, n.k; Mungu yupo.
Ninyi ndiyo ambao Bwana wetu Yesu Kristo alinena na wanadamu wa kale, "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa".
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Israel na Vatican Mungu hayupo siyo!Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo
Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu
Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
Wewe hayo maarifa yako yamepigwa marufuku kutumika kujikinga na corona?Wewe ni mwendawazimu.
Malaria tunaugua kila siku. Halikadhalika magonjwa mengine yote. Waliopo mahospitalini wote ni wana magonjwa. Je, pale Mungu hayupo?
Mungu yupo mahali pote. Pawe pana Corona, malaria, kifaduro, n.k; Mungu yupo.
Ninyi ndiyo ambao Bwana wetu Yesu Kristo alinena na wanadamu wa kale, "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa".
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu siyo AmsterdamMungu awashindie korona kwa utakatifu gani mlionao? Wezi, wauaji, wazandiki na wafitini wakubwa ninyi.
Yesu siyo Amsterdam boss,! Si Lisu wala Magufuli kwamba mtu wa chama hiki sitamfanyia wema.Yesu ni nani boss, je huyo Yesu anasikiliza ibada za wezi wa kura?
kanajifanya kana hekima
Waendesha mashtaka na polisi ndio watafanya hivyo.Mkuu hivi ukibakwa kweli unaita waandishi wa habari kueleza kwamba umebakwa?
nashukuru umeelewaWaendesha mashtaka na polisi ndio watafanya hivyo.
Victim atatoa tu ushahidi.!
Na kamwe Mungu hawezi kuwa MagufuliMungu siyo Amsterdam