Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,884
- 7,021
Wakati shetani alipowarubuni Adam na Hawa kula tunda lililokatazwa na Mungu pale bustanini na baadae Mungu akaja na kumwuliza shetani kwa nini aliwarubuni kulikuwa na umbali gani kati yao?Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo....