Askofu Bagonza: Kuna kitu hakiko sawa

Askofu Bagonza: Kuna kitu hakiko sawa

Kama mbinguni uliwahi fika na unakujua jitathimini.
Mungu anaishi ndani ya Roho za wamchao .Mungu yupo pote kasoro sehemu mbili tu moja ni jehanamu kule hayuko na ndani ya roho ya mtu mwenye dhambi kama Bagonza nk humo hayumo
 
Tatizo anaongeaga sana..ilikua ni sentensi mbili tu..corona ipoa tanzania,tuchukue tahadhari...basi...kanajifanya kana hekima kumbe kawaida tu.....et Mungu anaweza kuwepo kwwnye corona...hiv anajua mungu ni nan.
 
Corona IPO na kuchanjwa haina mjadala tena mtake msitake lazima tule vaccine haraka LA sivyo hakuna beberu kuja kutalii hakuna mchina wala mjapenga funga milango kwenda Tanzania wana corona kuna watu watanuna kutuma mimacho Pima kutoa tamko kula tapishi ....soon very soon
 
Yeye anayekwambia ni Mwenye hospital ambapo wagonjwa wanatibiwa. Kwa sasa hospital imezidiwa na wagonjwa Wa kupumua ( labda ndiyo corona hiyo). Viongozi wa serikali ya wilaya wako kimywa. Bora yeye kasema kwa mafumbo. Mwenye akiri Na atambue
 
Mkuu Bila Shaka unamaanisha , Israel ni taifa teule la mungu na ndio first choice ya mungu,tz hatunae haki hiyo sio??

Infact mpaka Sasa hakuna ndugu yangu wa karibu Wala nnaemjua aliyeugua covid19 ,ok yote Tisa kumi naskia huko dunian walikuwa na lengo la kupunguza aged population so ndo maana wazee wanakuw the most victims ,vp kuhusu hili mkuu
 
Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo

Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu

Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
Sawa!

Swali kwako !corona ipo tz au haipo
Jibu tafadhali

Ova
 
Tatizo anaongeaga sana..ilikua ni sentensi mbili tu..corona ipoa tanzania,tuchukue tahadhari...basi...kanajifanya kana hekima kumbe kawaida tu.....et Mungu anaweza kuwepo kwwnye corona...hiv anajua mungu ni nan.
Kwahiyo unampangia namna ya kuongea.Kujua tu anajifanya ana hekima ni kukiri kakuzidi kila kitu kifikra.Hatuwezi kuwaza kwa namna inayofanana,tuna mitazamo tofauti,uwezo tofaut wa kufikiri na kutenda.Vyote hivyo Bagonza kakuzidi.

Huna sababu ya kuweweseka.Jaribu kukiri uwezo wa wengine ktk kufikiri na utajifunza jambo kubwa kupitia waliokuzidi.Huwezi kuzuia jua kwa ungo au bakuli ili eti lisiwake.Si ujinga tu Bali Ni upumbavu uliopevuka.
 
Mimi huwa sisikilizi siasa za kusema hakuna korona, kwa uspesho gani haswa? kama tuna huo utakatifu si basi tuwaommee Dunia yote?

Ila naunga mkono Watu kuendelea na shughuli zao mambo ya kufungiana ni kuongeza tu matatizo na wala si kupunguza.

Tuendelee na a zile hatua za kujikinga kama kunawa mikono, kukwepa mikusanyiko isiyo ya lazima...kwenye daladala fungueni vioo hewa iingie.
 
Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo

Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu

Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
Amesema corona ipo duniani, na Tanzania ni sehemu ya dunia. Sasa hayo ya mbinguni umeyatoa wapi?
 
Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo

Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu

Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
Kwani mbinguni ni wapi mkuu?
 
Nimeikosa misa ya baba askofu Nyaisonga siku ya leo sababu ya mafua nisije kwenda kuambukiza wengine kanisani, nimehuzunika sana.
 
Usikute kayaongea haya kwenye ibada ya watu zaidi ya 200 na wote hawajavaa mask na bado wamesongamana kwenye kutoa sadaka alaf bado anashindwa kumtukuza Munga kwa hilo yeye analeta janja janja za siasa.

Kwani kuvaa barakoa ndio 100% kunazuia covid?
 
Amesema corona ipo duniani, na Tanzania ni sehemu ya dunia. Sasa hayo ya mbinguni umeyatoa wapi?
Amesema corona ipo duniani, na Tanzania ni sehemu ya dunia. Sasa hayo ya mbinguni umeyatoa wapi?
Haya eee Mungu nakuomba wape Corona wote wadhihakio kazi kubwa uliyofanya kwa taifa hili tulipokuomba nakusahi wafe kwa Corona wanaoisifia Corona na kuiadikia sifa lukuki

Kila mdhihaki juhudi zako Mungu mwachie adui Corona amrarue

Nimeomba haya kwa Jina la Yesu
 
Haipo ushahidi wewe kwani wewe unaumwa corona?

Kwahiyo kama mtu hana ukimwi huo ni ushahidi kuwa ukimwi haupo? Unaweza kuwa sawa, ila huu mfano wako haubebi Utetezi wako.
 
Haya eee Mungu nakuomba wape Corona wote wadhihakio kazi kubwa uliyofanya kwa taifa hili tulipokuomba nakusahi wafe kwa Corona wanaoisifia Corona na kuiadikia sifa lukuki

Kila mdhihaki juhudi zako Mungu mwachie adui Corona amrarue

Nimeomba haya kwa Jina la Yesu
Yesu ni nani boss, je huyo Yesu anasikiliza ibada za wezi wa kura?
 
Kuna wengi hawawezi kutumia hata hiyo njia ndefu.
Bagonza anachomaanisha Corona bado ipo Tanzania, nakubaliana nae; ila yeye katumia njia ndefu kufikisha ujumbe wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom