Askofu Bagonza: Kuna kitu hakiko sawa

Askofu Bagonza: Kuna kitu hakiko sawa

Mimi nineelewa.

1. Tanzania siyo Makao Makuu ya Mungu.

2. Korona ipo Duniani

3. Tanzania ni sehemu ya Dunia yenye korona

4. Afya siyo mali ya serikali
Wenye akili ndogo bado imekuwa shida kumuelewa, japo kajibu kwa kutumia simple falsafa bora umewasaidia kidogo
 
Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo

Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu

Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
Wewe ndiye mpagani hasa.
Ila Mungu anakaa na watekaji, wauaji, watesaji, wafiraji, wazinzi mafisadi, wanapiga risasi wenzao na wapenda wanawake weupe wenye makalio makubwa?

Msema ukweli ni mpenzi was Mungu, Mungu yupi anayekutuma kuua?
KILA ALITAJAE JINA LA BWANA NA AUACHE UOVU.

Yehoyada, humjui Mungu na hutomjua abadan
 
Wenye akili ndogo bado imekuwa shida kumuelewa, japo kajibu kwa kutumia simple falsafa bora umewasaidia kidogo

Well said mkuu, watu wanacho sahau ni kwamba Askofu hapo anatumia lugha ya kidiplomasia kufikisha ujumbe, Bagonza ni mtu msomi na mwenye hekima sana - wanao msema vibaya wanafikiri ana ambition za kisiasa hasa labda kuwania kiti cha Urais - hiyo si kweli hata kidogo - exposure yake kimataifa inamuwezesha kutathimini mambo na kuona hatari ambayo bado ni latent lakini inaweza kuli-cost Taifa letu dearly eventually.

Askofu Bagonza hawezi kuwa anazungumzia mitungi ya Oxygen bila ya kujiridhisha kwamba kuna tatizo si bure - binafsi hili suala la Taifa letu kujiamini kupitiliza kiasi linapokuja suala la Corona uwa linanitia wasi wasi sana - I may be paranoid lakini ukweli wa mambo ugonjwa huu haukondoka nchini by 100% tusije tukajidanganya.

Kinacho tishia zaidi ni huu ujio wa watalii nchini bila ya kuwekwa karantini kwa wiki mbili tunabaki kutegemea tu upimaji wa joto la mwili mbinu hiyo sio sahihi hata kidogo, wakati baadhi ya Mataifa wamefikia hatua ya kupiga marufuku ndege zinazotoka Uingereza, Merikani na Afrika kusini kutua katika viwanja vyao, sijawahi kusikia Taifa letu linapiga marufuku ujio wa ndege nchini kutoka kwa mataifa tajwa hapo juu.

Tukumbuke kwamba Karagwe inapakana na Rwanda na Uganda Mataifa ambayo yana idadi kubwa ya waathirika - kwa nini amuhoji Askofu Bagonza akaeleza anamaanisha nini anapo toa tahadhali kuhusu ugonjwa wa Corona, je, amekwisha shuhudia incidents ngapi recently - Bagonza hawezi kuwa amekurupuka tu, kuna kitu si bure, ushauri wangu msikilizeni kuliko kumu-dismiss off hand just like that!

Labda swali la kujiuliza hapa kama suala ni ku-overly depend on prayers kutokomeza ugonjwa,je, raia wa Ulaya na Marekani wanao kumbwa na ugonjwa huu kwa wingi, kwani wao hawa amini uwezo mkubwa wa Mungu kupitia kwenye sala? Mbona Vatican imepoteza idadi kubwa ya Mapadri na Watawa wakati wao usali Rozali 24X7?

Bottom line is: Msilikizeni Askofu Bagonza ana ujumbe gani kuliko kuanza kumbeza beza mkifikiri ana malengo ya kisiasa wakati lengo lake ni kutadhalisha Taifa dhidi ya ugonjwa mbaya wa Corona.
 
Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo

Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu

Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
Kwaiyo bwashe unaendelea kusisitiza Tanzania ni makao makuu ya Mungu!watakaokuelewa ni mataga tu
 
Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo

Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu

Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
mshukurunimungu kwa kila jambo ikiwemo korona ,unataka kusema munguhayupo wodi ya wagonjwa wa corona .Mfumo mbovu wa elimu unatuletea vijana waakili kama yako
 
Kama umenielewa vizuri ni kwamba corona ipo kama ilivyo sehemu nyingine.

Ila shughuli ziendelee, na kuendelea na shughuli ina maanisha huwezi kukwepa kupanda daladala iliyojaa n.k...ila kama una njia za kukwepa hayo basi fanya hivyo ukikumbuka kichwani kwamba corona ipo.

Kwa mfano kama una uwezo wa kupata mahitaji ikiwemo chakula bila kutoka ndani basi fanya hivyo.
Sawa mkuu ila kama unakubali corona ipo Tz kama sehemu zengine huwezi kuona sawa tu watu wakaendelea na pilikapilika zao kama kawaida wakati hizo sehemu zengine shughuli zao hazipo kama kawaida kutokana na kutambua uwepo wa corona.
 
Mungu awashindie korona kwa utakatifu gani mlionao? Wezi, wauaji, wazandiki na wafitini wakubwa ninyi.

Mathayo 5:8​

Heri wenye moyo safi, maana watamwona Mungu.

Wenye mioyo.michafu kama wewe na Bagonza mnaona Corona badala ya kumuona Mungu

Wenye mtoto michafu wote Tanzania wanaiona Corona sisi wenye mioyo safi tunamuona Mungu Tanzania hatuoni Corona

Tatizo mtoto yenu michafu ndio maana hamuoni Mungu alichotenda Tanzania
 
Kama corona ipo mi nadhani tunaponea tu mitaani bila kwenda hospital sababu kinga zetu zipo juu nadhani tungekuwa dhaifu basi tungekuwa hoi mahospital
 

Mathayo 5:8​

Heri wenye moyo safi, maana watamwona Mungu.

Wenye mioyo.michafu kama wewe na Bagonza mnaona Corona badala ya kumuona Mungu

Wenye mtoto michafu wote Tanzania wanaiona Corona sisi wenye mioyo safi tunamuona Mungu Tanzania hatuoni Corona

Tatizo mtoto yenu michafu ndio maana hamuoni Mungu alichotenda Tanzania
Mtoto tena kafanyaje
 
Usilete siasa kwa maisha ya watu. Kama una mtu unamfahamu Karagwe au Nyakahanga hospital, waulize hàli ilivyo
 
Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo

Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu

Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
Kajiingiza sana kwenye siasa.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ina maana watu wamekufa sana huko Kayanga kuliko sehemu zingine au maaskofu wengine wameamua kukaa kimya mpaka pale ile ndoto ya Bill na Marinda Gates itakapotimia
 
Huyu mzee anachotaka ni aone watu wanakufa kwa korona ili aonekane kuwa Mungu hajainusuru nchi ya TZ kutoka korona. Ikumbukwe kuwa wakati serikali iliporuhusu ibada ziendelee kwa tahadhari zilizoainishwa yeye aliamuru dayosisi yake makanisa yafungwe na ibada zisitishwe. Alitarajia kuwa vifo vingekuwa vingi na dayosisi nyingine zingefuata mkumbo aliouanzisha. Ila kwa AIBU kubwa baada ya chini ya miezi miwili alipoona waumini wake wanamshangaa na dayosisi nyingine zinachapa ibada akaamua kwa shingo upande kufungua makanisa kwenye dayosisi yake. Hiyo inamuuma mpaka leo. Ni aibu kwa kiongozi kuhusisha uwepo wa nguvu za Mungu mahali fulani na kuwa makao makuu ya Mungu. Ni dhahiri watu wanafaulu mitihani ya mafundisho ya dini bila wao wenyewe kuamini kinachofundishwa kwenye imani hiyo. Tutaendelea kuona mengi kutoka kwa wanaharakati waliovaa majoho ya uaskofu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom