Askofu Bagonza: Kuna kitu hakiko sawa

Askofu Bagonza: Kuna kitu hakiko sawa

Mungu anaishi ndani ya Roho za wamchao .Mungu yupo pote kasoro sehemu mbili tu moja ni jehanamu kule hayuko na ndani ya roho ya mtu mwenye dhambi kama Bagonza nk humo hayumo
Unamtambuaje mtu huyo ama wewe ndio mtoa hukumu.
 
Kwahiyo unampangia namna ya kuongea.Kujua tu anajifanya ana hekima ni kukiri kakuzidi kila kitu kifikra.Hatuwezi kuwaza kwa namna inayofanana,tuna mitazamo tofauti,uwezo tofaut wa kufikiri na kutenda.Vyote hivyo Bagonza kakuzidi.

Huna sababu ya kuweweseka.Jaribu kukiri uwezo wa wengine ktk kufikiri na utajifunza jambo kubwa kupitia waliokuzidi.Huwezi kuzuia jua kwa ungo au bakuli ili eti lisiwake.Si ujinga tu Bali Ni upumbavu uliopevuka.
Hekima hana na akil hana...asiongee sana maana ana haribu...hata wew pia akili huna ndomana umejib comment kwa ghadhabu..tuseme wote.mim wew na yeye tupo kwenye kapu moja.yaan wote walopokaj na waandikaj kwa mihemko..wote
 
Hekima hana na akil hana...asiongee sana maana ana haribu...hata wew pia akili huna ndomana umejib comment kwa ghadhabu..tuseme wote.mim wew na yeye tupo kwenye kapu moja.yaan wote walopokaj na waandikaj kwa mihemko..wote
 
Kama umeona corona ipo, funga kanisa lako ili usiambukizwe!
Rais alishasema inawezekana Corona tukaishi nayo kwa muda ndefu kama magonjwa mengine, sasa wewe unalama nini?
Tanzania siyo makao ya Mungu, ila Mungu yupo popote!
Bwana askofu kama dini huwezi unaweza kuhubiri siasa!
 
Hao wanasayansi wanaopendekeza hivyo watakuwa wanasayansi UCHWARA. Kwenye huyu deadly virus 🦠 hilo la kubadilishana virus na bacteria kwa kutovaa masks 😷 ni kosa kubwa linaweza kabisa kumpeleka mtu kaburini.
Corona ipo ila tumshukuru Mungu wengi tumeweza kuishi nayo kwa miili kujenga kinga. Baadhi wanasayansi wanapendekeza kutovaa musk ili kubadilishana virus na bacteria kujenga kinga imara zaidi.
 
Wewe ndiye unaonekana mpagani kweli kweli.

Sehemu ilipo dhambi na Mungu yupo hapo hata shetani ana muda anafanya discussion na Mungu -hii hauwezi kuielewa kwa sababu wewe ni mpagani.

Omba yule unayemwamini akupe uelewa kwa nini dhambi ipo mpaka kanisani!!

Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo

Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu

Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
 
Haya eee Mungu nakuomba wape Corona wote wadhihakio kazi kubwa uliyofanya kwa taifa hili tulipokuomba nakusahi wafe kwa Corona wanaoisifia Corona na kuiadikia sifa lukuki

Kila mdhihaki juhudi zako Mungu mwachie adui Corona amrarue

Nimeomba haya kwa Jina la Yesu
Labda kwa jina la yesu wa Biharamulo huko
 
Huyu Askofu naamni lazima ana tunguli!

Mbona huwa anabeza sana kwamba Mungu hawezi kutenda kwa tz?
Yeye na Mungu ni vitu viwili tofauti haamini Mungu kabisa KKKT niwaulize huyu mpagani Bagonza alipenyaje kuwa Askofu?

KKKT mnatakiwa mtujibu watanzania He is not a Bishop material

Msiogopane nendeni hata vikao vya kiaskofu pekee mfokeeni na toen press release ya kumkana statements zake na mtangaze kuwa mnaitaka dayosisi yake ipige kura kutafuta Askofu mwingine

Hata katiba vunjeni tu mtimueni kwa manufaa ya hadhi ya kanisa na hata mkimtimua kinyume cha katiba hayuko popular ndani ya dayosisi kuwa kanisa la KKKT litameguka kwenye dayosisi yake
 
Watoa tahadhari za corona walipumzika kipindi kile cha kampeni hadi uchaguzi ila sasa naona wamerudi tena baada kuisha uchaguzi, tuacheni siasa sio kila kitu tuaingiza siasa.
 
Yesu siyo Amsterdam boss,! Si Lisu wala Magufuli kwamba mtu wa chama hiki sitamfanyia wema.

YESU/MUNGU siku zote huwatendea wema wabaya na wema. Ndio maana hata mvua huoni ikibagua kwa chadema na kuacha kwa ccm, wote inawanyeshea bila kujali madhaifu yao.
Ahaaa ahaaa, kwanza hongera kwa kutoka kwenye ule uzi wa mbinafsi wa chato maana alikuvuruga vibaya. Mmemalizanaje kule?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom