Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 24,876
- 27,004
Unamtambuaje mtu huyo ama wewe ndio mtoa hukumu.Mungu anaishi ndani ya Roho za wamchao .Mungu yupo pote kasoro sehemu mbili tu moja ni jehanamu kule hayuko na ndani ya roho ya mtu mwenye dhambi kama Bagonza nk humo hayumo

