X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Kwani mkuu, na wewe ulikuwepo kwenye tukio la huyo askari kujiuwa, au sote tunasoma tu taarifa kwenye vyombo vya habari?na wewe umeungana nao!
Kwani mkuu, na wewe ulikuwepo kwenye tukio la huyo askari kujiuwa, au sote tunasoma tu taarifa kwenye vyombo vya habari?na wewe umeungana nao!
tutake tusitake... KUNA SIRI KUBWA, LAKINI BAHATI MBAYA OUR EMOTIONS ARE ALWAYS HIGH WHEN IT COMES TO SOMETHING AGAINST THE GOVERNMENT
of course.. kwa sababu dunia nzima.. serikali zina tendency ya kuelekea uongo na ulaghai kuliko uwazi na ukweli... Hata siku moja siamini maelezo ya kwanza ya serikali juu ya jambo lolote lile.
Duh!SASA UTAISHIA KUWA MPINZANI MILELE AU NA WEWE uKIUNDA SERIKALI UTABADILIKA NA KUWA MLAGHAI??
Duh!
swali hili halijibikiSASA UTAISHIA KUWA MPINZANI MILELE AU NA WEWE uKIUNDA SERIKALI UTABADILIKA NA KUWA MLAGHAI??
Tumsubiri mwkjj mwenyewe aje kujibu, maana hizi tuhma nzito...!vipi tena bana.... utini weena!!! nimepatia eh?
SASA UTAISHIA KUWA MPINZANI MILELE AU NA WEWE uKIUNDA SERIKALI UTABADILIKA NA KUWA MLAGHAI??
...waiting patiently!!!Tumsubiri mwkjj mwenyewe aje kujibu, maana hizi tuhma nzito...!
hapana, nasubiri jibu mazee, na roho yangu itaponaUnataka Mke au MJI?
tusubiri tume ya mwema . kwakweli inasikitisha sana
- Risasi nne!
Hivi kweli mtu anaweza kujipiga risasi nne?
Inawezekana sana mkuu, wala si tukio la ajabu.- Risasi nne!
Hivi kweli mtu anaweza kujipiga risasi nne?
- Risasi nne!
Hivi kweli mtu anaweza kujipiga risasi nne?