AshaDii=The Pied Piper of Hamelin................

Mi mwenyewe nampenda AshaDii jamani, yaani post zake huwa hazinichoshi hata sekunde moja kwakweli!! Mwenyezi Mungu amjaalie zaidi.
 
ni kweli lakini hayakuhusu.

Thank you for the acknowledgement...

Very true!.


This is a good Surprise coming from you.... AshaDii Appreciates...

ashadii unatakiwa kuwa mwandishi wa vitabu
vya mahusiano au life experiences
trust me,its ur call .

I always appreciate your opinions.... Always in a mzaha mood
but one of the relastic guys at JF, I appreciate your support....
In fact i published my first and last story when i was 18 - when
i got pregnant and married everything changed... But sasa
umenikumbusha and will seriously consider getting back to it
(for sasa i write pia... but all contents for my eyes only....)


Hata Afrodenz pia .

You are right at that Speaker... One of the most calm ladies
at JF... It is as if she is always relaxed...

Hizi thread za watu huku jf zimezidi! .

Ningekua sikufahamu... would have thot kua you are one ya watu ninao kera hapa
JF... But when i see your ID nakumbuka you once commented on wishing you had
a galfriend like me to another member in one of the threads - that day i knew kua you
were young, for another guy would have thot in the lines of a wife... I do hope
usha mpata.... Do take care...

Bwawbwaabwaahahaaa!
U know what i mean!

Tunavunja jungu wenzako! .

Memo i hope ulianza toka Chaka Khan alikuja...

She was great if you are into that type of thing...



Hahahaha unavunja jungu wapi? .

PA What is this??? Really....



Viva Ashadii. .

Dear I am humbled... Thank you for your well whishing...



Asha Dii uko single in relation, married or .....????? teh teh teh.

Mtazamaji stop being a naughty boy....lol...
Of course ni mke wa mtu....

sherrif, uliyosema kuhusu ashadii ni mazuri na very relevant. nashauri ubadilishe hiyo comparison na mpiga filimbi wa hamelin kwani it is not a very positive story.huyo mpiga filimbi alikuwa more of mpotoshaji, wakati ashadii ni muelimishaji na mwanaharakati pia kama si mwanamapinduzi.
wifi yangu ashadii,nami nakukubali sana, na zaidi kwa 'kunisitiri' quoting the boss, kwa kuniunganishia kwa kakako,lol. thanks for being u .

One of the Great gal friends i have at JF... Thank you...
na the above post ime justify your change in Avatar (i kid wifi)
But naona Sherrif alichanganya kidogo au itabidi anieleweshe in what sense...
And dear, wanawake wife material (sorry to say this) ni wachache thus
more of a priviledge to our family than it is to you... Boss hajui tu....lol

Kwahiyo.... .

Give him a break jamani....

binafsi namkubali sana Ashadii... .

Sangara one of the JF peaciful members per my observation...
want you to know Nakukukubali pia... Thank you...

Remain as good as you are ashadii. Usijichakachue, tunakukubali..

Husny Uzuri i know you are there to guide me (tukio la mwisho lilidhihirisha...lol...)
Hivo nashukuru kwa uwepo wako JF, na the fact kua you are one of my friend...
Bado lakini niko kuamua kama uwe familiy member kama madai ya ndg zako home...

Mi mwenyewe nampenda AshaDii jamani, yaani post zake huwa hazinichoshi hata sekunde moja kwakweli!! Mwenyezi Mungu amjaalie zaidi. .

Nashukur saana dear.... for everything, na kunisimamia kwako
hata uko way back, hujali. You always have something good to
say about me... Na pia kwa dua ulonipatia.... Thank you.

We love you AshaDii, pamoja sana our sweet and lovely dada. Kithhhhhhh!!!.

First Born, a true sample of my addiction.. when you entered JF in less than
24 hours you had more than a 100 posts....lol... i can never forget your entrace..
Love you too First Born and i appreciate the acknowledgement... Thank you.

Woote nilowaquote in this post.... Nawashukuru na Mwenyezi Mungu
awajalie in all spheres of your life... Kweli nawashukuru...

Pamoja Saaana

AshaDii (ADI)
 
I'm so sorry and do sincerely apologize...............


Sherrif Arpaio... I am OK and don't worry... How ever more
i have to say to you i have PM'd... And Brother...
Thankyou for the Wonderful Post... For in one way or
another it has intrigued an interest in my self....

Pamoja Saana. (ADI)
 
This is one of the post ambayo kama kawa itadhihirisha sina ya muhimu ya kufanya na kwamba tu ni house wife ndo maana naweza… But I don't care, I love expressing what I feel, thus the number of abundant posts…. And that I can only dare at JF…. Hence Kujiachia…

Kitu ambacho nimegundua kua imenijengea popularity JF ni The way nilivoichukulia JF na members wake… Nimegundua members wengi tuna vary umuhimu wa JF… Woote members ni ya muhimu kwetu but in different categories… kuna wale wanachukulia ni sehemu ya kupita na kupata taarifa muhimu katika kila sector ya maisha… Kuna wale ambao ni sehemu ya kuja akiwa tu na shida anahitaji ushauri, Kuna wale ambao anakuja for relaxation ya akili – aingie hapa na kutia ushauri awezapo na most cases ku chat kwenye threads hasa ambazo huonekana ni za mzaha…. Kuna wale ambao kila akiingia ni kumchallenge mtu… Kuna wanaotafuta marafiki na wachumba (nina a guy ambae ni rafiki yangu hapa JF na tumefahamiana hapa… toka mimi nimeingia JF kafanikiwa kukutana na wadada watatu for one nite stands; Haipendezi but ndio reality-na unaona kabisa kua ni kweli jinsi cold bifu kati yake na wahusika inakua bada ya hizo one nite stands zao… Sad…)… Naweza orodhesha sababu kibao…

But nataka mjue sababu yangu ndio imeniponza mpaka nikawa this popular… Mimi JF is my home… nisipoingia sina raha kabisa!! Kwa sasa sichoki kuandika kitu kihusianacho na JF (na hua Napata challenges nyingi kua nina mda wa kupoteza…lol..)… Naweza kuja punguza badae hata mimi sijui but kwa sasa I am all in!! Na mnukuu mwana JF mmoja kwa jina la Journe Gwalu – "JF kama mtaani unakutana na watu wa kila aina"…. Kwangu mtu akipost issue ambayo ni mbaya saana/inaumiza saana/inaonekana serious, after a few days ni lazima nimuulize anaendelea vipi na kama kisha solve regardless kama si rafiki; sio nia ya kujikomba but it is in my nature and I cannot help it for I feel kua atleast ajue kuna watu wanataka the best for them… Kwangu mimi member yeyote Yule najaribu kureason nae, member yeyote interested in me.. I am interested in them too mradi isiwe ya kutaka tuvuke level ya more than urafiki wa JF… Sijali ni Mkongwe, sijali ni wa jana wala wa leo, to me woote ni JF members and I admire them the same. Sijali kua yupo against me for it is only thru keyboards… Hii imenifanya nimkumbuke Abdulrahim (kapotea jamani – my great challenger, na my fav –K- ; hawa hunifanya nijiangalie upya always!!)

Kingine ni kwamba napita Forums nyingi…. As much as MMU is my home, but SIKOSI kupita International Forum, huko nakutana na akina Sherriff Aprao, Bubu Ataka Kusema, Askari Kanzu, 3D, Lole Gwakisa, EMT, Michelle (been a while) na wengine ambao sina mazoea ya karibu… SIKOSI kupita Entertainment ambapo nakutana na Wisdom Weeds, 3D, X-Paster, Voice of Reason, The Boss (in fact we meet in almost all forums), The Finest , Lizzy (been a while), AfroDenzi, Eqlypz, The Priest (kabadili jina), Viper, Bubu Ataka Kusema na wengine ambao sio mara kwa mara… SIKOSI kupita Jokes za akina Kimbweka, Wisdom Weeds, Good guy, Mentor na wengine mmoja anaitwa togo nini sijui… Dah! These names… au kupitia threads za Bjbj hasa kama nipo low (and I don't care kua nipo katika ignore list yake) Post zake za mzaha but in most cases they make my day thus ni wamuhimu pia kwangu… For mara nyingi lazima nicheke from heart kwa furaha nikipita thread yake….

Kuna watu ambao Siwezi kosa kuwashukuru JF hasa siku za mwanzo na mpaka sasa kwa kuniwekea mwongozo/Kunikaribisha/ama kunishauri nichemkapo/ na the like (na naomba mnisamehe na ile constant need of assistance in most cases) + wale ambae they are always good friends to me….at JF kama Bubu Ataka kusema, The Boss, Rutashubanyuma, The Finest, Michelle, King'asti, Gaga (I love this lady…she is so real!), Manumbu, Askari Kanzu, Azimio Jipya, Steve Dii, 3D,Eqlypz and EMT, Nsiande.

Finally na acknowledge all MMU members ambao kwa kweli wao ndio wana Run MMU – And it right to say MMU belongs to them… WAKONGWE (Ambao I am aware na nimebahatika kuonana nao MMU):- Mbu (naona uko so very responsible-mana thread zako mkuu….), Afrodenzi, Asprin, Kaiser, The Boss, Gagurito, RR, Mr Rocky, Mwanajamiione, aga, Michelle, Lizzy, King'asti, Belinda Jacob, Black Berry, Maty, Rose10, Chauro, Klorokwin, Uporoto1, Mentor, Nyumba Kubwa, MTM, Nyani Ngabu, Husninyo, CPU, Pdidy,Bacha, Bishanga, First Lady1, Bht (bado mgeni kwangu but love her point of views.. thus nimeelewa why the cry by Batalanta…), Fidel80 (asante kwa kurudisha avatar-ile ya kitambi ulichakachua), Nyamayao, Dena Amsi (kapotea kweli nae…), Gazeti (ulipotea ukarudi kwa staili ya pekee.. hp moyo umepoa juu ya Lizzy), Dark City, Sangara, Magulumalu, Speaker,….

[RARE ACTIVE MMU Members - atleast toka kujiunga kwangu]; nnunu, Daughter, JourneGwalu, Mestod, Pearl, Mnyamahodzo, Arsene Wenger, Karen_Happuch, Miss Judith, Paka Jimmy, Fixed Point (miss this lady), Kimey, Okada, Elia, Cheusi Mangala, Marry tina, Caroline Danzi, Maria Roza, Ulimkafu, Positive Thinkers, Wahida, The dirt Paka & Wilbard (wamepotea kupita maelezo), Shantel, Dream liner, Tulizo (appreciate the unique inisights.. so ditached..), Mammamia, Woman of Substance, Rejao, SMU, Madabwada, Mzee Mwana Kijiji, Preta, Samora10, Katavi, Uda, U'da, Zion Daughter, Da Pretty, Ndetichia, Saweboy, Faiza Foxy, Saint Ivuga (nakumbuka am your mom's namesake…), Baba Enock, Vuvuzela, Rev Fr Masanilo, Kaka Mpendwa, Sweet lady, Wise Lady, Black Woman, Mayassa,….

MMU NEW COMERS… Eiyer, First Born, Aisha Adam, Ma'swagga, Safty last, Baby, Excellent & Sharo hphp (I wonder where hawa wadogo wamepotelea… miss them), Habdavi, Mamdemnyi, Twenty two, Kipipi…

Kuna wale nafahamu majina and tunakumbana nao sehemu mbali mbali kama Memo, Zomba, UmkhontoweSizwe , Da Pretty, Njiwa, Mabagala, Chatu dume, Papa mopao, Vivian, Esperance, Russian Roulette, Tuko, Mpatanishi (ualimu took my attention), Revolutionary, Katerelo, Smiles, Sinziga, Teamo, Son of Alaska, Raj Patel (newly acquaintance ), Yutong, Mamndenyi, Ritz, Konakali, Gezus, Ndinda, Nonda, Tamno, Never give up, Gaijin, Likwanda, Vikwazo, Ghost, Experence, Camarederie ….

  • Na wale woote waliopo kwenye list of my friends katika Profile… Thanks to them all…

That is how I am committed to JF, na wala situmii nguvu siri ni kwamba I am interested in everything from the threads to its members… The above members wooote nilotaja I know with heart…. Yaani namkumbuka kila mmoja either sababu ya Thread alotoa au mazoea, au commentaries, au discussion we held or what ever… Kila mmoja nakumbuka ni thread gani tulikutana (hata kama ni moja au mbili) na kila mmoja is important kwangu in one way or another… Hao ndio nilokumbuka lakini naamini kuna wachache mno nimesahau….. For wengine nakumbuka Avatars but nimesahau majina… For instance jamma mwenye Avatar ya Komba kasinzia bungeni…


Again kama kawa naomba samahani for the long post na pia Natanguliza Shukrani.

With Lots of LOVE

Pamoja Saaana

AshaDii (ADI)


N:B Naamini and presume pia kua this thread itakua imetoa mwanga kwamba walau itakua ya Mwisho kuhusu kichwa cha habari cha AshaDii… (Labda if necessary then Pleease niarifu…) Safari hii IMO ifuate angalau ya Paka Jimmy for that is one angry man (Sorry Mkuu nafikiri hata huyo Jack bauer anadhihirisha hili)
 
Toka umejiunga na JF miezi kadhaa iliyopita umekuwa ni kati ya wanaJF ambao wamekuwa mvuto wa aina yake hapa jamvini kutokana na maoni, ushauri, ama michango yako ktk topics mbalimbali. Umekuwa ukileta mada zenye kufurahisha sana na zenye mvuto na utashi wa kipekee iwe mapenzi, mapishi, siasa ama mada yoyote ihusuyo maisha yetu ya kila siku.
Thread yoyote ambayo umeposti yaani imekuwa inafuatwa na maelfu ya wana JF na ndio maana nakufananisha yule mtu ktk hadithi ya "THE PIED PIPER OF HAMELIN". Ushahidi umeonyesha kuwa ulipotea for a few weeks in the month of June 2011 na kulikuwa na simanzi na maswali kila siku hapa JF "Wapi Ashadii?????".......Thank God ulirudi ingawa hukusema ulipotelea wapi:)
Umekuwa kama sumaku kutokana na utashi na busara zako. Lugha yako siku zote imekuwa ni yenye heshima na taadhima mbeleni mwa wanaJF wenzio. Hata avatar yako says a lot about you.
Kila kaka angependa kuwa na dada kama AshaDii
Kila dada angetamani kuwa na wifi kama AshaDii.
Kila mume angependa kuwa na mke kama Ashadii.
Kila mvulana angependa kuwa na girlfriend kama AshaDii.
Kila jirani angependa kuwa na jirani kama AshaDii
Kila mtoto angependa kuwa na mama/shangazi kama AshaDii.
Sitosema mengi lakini nachukua fursa hii kukufahamisha kwamba thank you very much for what you have done so far for this great forum. Tafadhali usichoke wala usikome kuendelea kutupatia busara zako, elimu na mchango wa maoni yako kwani wengi wetu tumefaidika na yametusaidia sana tena sana baada ya kuyatekeleza kisirisiri maishani mwetu.
Nakutakia weekend njema na uendelee kujaaliwa ktk maisha yako na familia yako.
Do keep up doing the good job, AD!!


kweli kabisa
na shukrani nyingiii..


Sherrif Dear….

I am really humbled.. BUT unfortunately siwezi sema to what extent… However I am so sorry to admit this to you… That I am even more embarrassed … Naomba utanisamehe… For nimekua na thread nyingi zenye heading ina AshaDii ndani mpaka sasa naogopa kua nitaonekana sifai tena au nitakifu hao members ambao kwangu I need the most… The last two threads zenye heading hizo zenye AshaDii ndani ilibidi niombe Mod wazifute haraka saana (na nikaomba msamaha wahusika for zilikua hazina logic yeyote) for just before zilikuepo tatu moja nikiwa nimepost mwenyewe "AshaDii to JF Members"

Hii post yako imeeleza mengi ya msingi ambayo mwanamke yeyote Yule atafurhi/atajidai akiambiwa – But then kwa upande wangu naangalia na impact which I sincerely hope will not be bad… Nilipoona tu the Topic's thread… niliishiwa kabisa nguvu…. Genuinely… Hata hivo this post says a lot about Sherrif and the way anamkubali AshaDii…. For that I am humbled… Kesho nina safari itayonichukua kama 14 hours na lengo langu ilikua leo nikeshe JF, nilale a few hours safarini and read my new nove…. However I have to admit sina tena hizo guts za kukaa tena jamvini au kufuatilia ili nisome itapofikia…

Bahati mbaya saana sio woote wanakubaliana na maneno yako… hivo my dear be prepared kua my Haters are now your haters… for I have several… and the war so bad for it is not eruptive but Cold…. Naona niishie hapa – for nimesema what I feel right now… But I know nitarudi with further comments nikiwasili safari yangu…. Huo ujumbe ukilenga wa JF Members wengine…. One thing is for sure… I Wish ungeniarifu… ili nikuambia kua give me at least a month walau habari before za AshaDii zipoe…. Hata hivo nashukuru kwa kunikubali kwako… ila nina wasi wasi na hio analogy… for I understand the story differently…. Enways...


Pamoja Saaana.

AshaDii (ADI)

usijali watu wanapenda au la
pokea kwa mikono miwili
kama hutazitumia leo
kuna siku utazihitaji...

uastahili ulichoambiwa
wasiopenda imekula kwao
na waache wale kwa macho..
Hongera mamitooo..

Asie mtakia mema mwenzie
yeye ndie mwenye kasoro...


I'm so sorry and do sincerely apologize...............

Sijapenda hii quote
kwa mtu ana ombaa
msaamaha akitenda kosa..
lako sijaona......

Binafsi nakushukuru
na kukupongeza kwa
kuona uzuri wa wengine..
Big Up ....
 
Kweli lakini mimi nadhani JF ni kama shati, ingawa wengine ni kama kitambaa cha shati lakini hata vifungo na kola nazo zina kazi yake, I mean bila kifungo, mfuko au kola basi hilo si shati....

Saying that Ashadii ni kama majani ya chai kwenye chai yakimiss inakuwa sio chai tena bali maji ya sukari


I am so proud of this post VoR... and humbled for you are a man of
very reasoned point of views... it means a lot to me... Thank You.
 
I honest love the intellegence and the energy within and beyond the words in your signature ... !

Girl ...?!! My good Lord Bless and Grant you the skill and all the abilities to chanell down Love and Beauty when you have completely acomplished in your heart..( Never get angry) ... (never make a threat) and above all when you have managed ALL the ability to (reason with people) ...cause the outcome is ... The super personality ..we all dream to possess infinitly and express freely ...and you have shown the Way! ... and remember that is the Grand Azimio!! LoL!!
 
teh teh teh AshaDii yani umenikumbuka! dah tena umenifurahisha umeweka (ualimu.........). Kwel unakumbukumbu. Stay blessed
 
kweli kabisa
na shukrani nyingiii..
usijali watu wanapenda au la
pokea kwa mikono miwili
kama hutazitumia leo
kuna siku utazihitaji...

uastahili ulichoambiwa
wasiopenda imekula kwao
na waache wale kwa macho..
Hongera mamitooo..

Asie mtakia mema mwenzie
yeye ndie mwenye kasoro...


Sijapenda hii quote
kwa mtu ana ombaa
msaamaha akitenda kosa..
lako sijaona......

Binafsi nakushukuru
na kukupongeza kwa
kuona uzuri wa wengine..
Big Up ....


AD Dearest... We rarely meet... but whenever we do that you impress me dear,
the words katika these post of yours leaves me at ease as i believe for Sherrif too...
Thus i really am appreciative and proud that you have portrayed what is so true...
Keep on with your good and angled heart - For you are one of the JF ladies who has
impressed me; hasa baada ya your sole effort ya kuweza masaidia yule mgonjwa
- Believe me' i don't know you but yet still was genuinely proud of you kwa kile kitendo - Respect to you...

Pamoja Saaaana
ADI
 
I honest love the intellegence and the energy within and beyond the words in your signature ... !

Girl ...?!! My good Lord Bless and Grant you the skill and all the abilities to chanell down Love and Beauty when you have completely acomplished in your heart..( Never get angry) ... (never make a threat) and above all when you have managed ALL the ability to (reason with people) ...cause the outcome is ... The super personality ..we all dream to possess infinitly and express freely ...and you have shown the Way! ... and remember that is the Grand Azimio!! LoL!!



Azimio... What more can i say about you i have not yet said?? lol

With your alert mind and sensitivity... i am glad that you are my friend
and your acknowledgement and so much confidence in me... Thank you.

Do take care.
 
teh teh teh AshaDii yani umenikumbuka! dah tena umenifurahisha umeweka (ualimu.........). Kwel unakumbukumbu. Stay blessed


Mpatanishi how can i forget a devout Teacher?? Ni makosa saana hasa ukizingatia
you are so into condemning/ fight against early sex especially in primary schools
for girls and boys too - i have kids you know... Thus my hero.

Stay blessed too...
 
Kila kaka angependa kuwa na dada kama AshaDii
Kila dada angetamani kuwa na wifi kama AshaDii.
Kila mume angependa kuwa na mke kama Ashadii.
Kila mvulana angependa kuwa na girlfriend kama AshaDii.
Kila jirani angependa kuwa na jirani kama AshaDii
Kila mtoto angependa kuwa na mama/shangazi kama AshaDii.
wengi wetu tumefaidika na yametusaidia sana tena sana baada ya kuyatekeleza kisirisiri maishani mwetu.

Sina la kuongeza zaidi ya kuyatilia uzito tu
 
Toka umejiunga na JF miezi kadhaa iliyopita umekuwa ni kati ya wanaJF ambao wamekuwa mvuto wa aina yake hapa jamvini kutokana na maoni, ushauri, ama michango yako ktk topics mbalimbali. Umekuwa ukileta mada zenye kufurahisha sana na zenye mvuto na utashi wa kipekee iwe mapenzi, mapishi, siasa ama mada yoyote ihusuyo maisha yetu ya kila siku.
Thread yoyote ambayo umeposti yaani imekuwa inafuatwa na maelfu ya wana JF na ndio maana nakufananisha yule mtu ktk hadithi ya "THE PIED PIPER OF HAMELIN". Ushahidi umeonyesha kuwa ulipotea for a few weeks in the month of June 2011 na kulikuwa na simanzi na maswali kila siku hapa JF "Wapi Ashadii?????".......Thank God ulirudi ingawa hukusema ulipotelea wapi:)
Umekuwa kama sumaku kutokana na utashi na busara zako. Lugha yako siku zote imekuwa ni yenye heshima na taadhima mbeleni mwa wanaJF wenzio. Hata avatar yako says a lot about you.
Kila kaka angependa kuwa na dada kama AshaDii
Kila dada angetamani kuwa na wifi kama AshaDii.
Kila mume angependa kuwa na mke kama Ashadii.
Kila mvulana angependa kuwa na girlfriend kama AshaDii.
Kila jirani angependa kuwa na jirani kama AshaDii
Kila mtoto angependa kuwa na mama/shangazi kama AshaDii.
Sitosema mengi lakini nachukua fursa hii kukufahamisha kwamba thank you very much for what you have done so far for this great forum. Tafadhali usichoke wala usikome kuendelea kutupatia busara zako, elimu na mchango wa maoni yako kwani wengi wetu tumefaidika na yametusaidia sana tena sana baada ya kuyatekeleza kisirisiri maishani mwetu.
Nakutakia weekend njema na uendelee kujaaliwa ktk maisha yako na familia yako.
Do keep up doing the good job, AD!!

kuna watu walimwonea kijicho sana........................wakamuita majia lakini nilimshauri asikate tamaa........................kwa nini dunia ina nyuso kebekebe...............................Congratulations Ashaadii.................I share these views.............
 
wengi wetu tumefaidika na yametusaidia sana tena sana baada ya kuyatekeleza kisirisiri maishani mwetu.

ufafanuzi hapa wahitajika.............................ili na wengineo tulioburudika tu na makala zake bila ya kuzifanyia kazi kwenye maisha yetu tuweze kunufaika pia.................
 
Mpatanishi how can i forget a devout Teacher?? Ni makosa saana hasa ukizingatia
you are so into condemning/ fight against early sex especially in primary schools.

for girls and boys too - i have kids you know... Thus my hero.

Stay blessed too...

thanx again ADi. Tupo pamoja
kuhakikisha vijana wanakua katika mikono salama.
 
Back
Top Bottom