SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Toka umejiunga na JF miezi kadhaa iliyopita umekuwa ni kati ya wanaJF ambao wamekuwa mvuto wa aina yake hapa jamvini kutokana na maoni, ushauri, ama michango yako ktk topics mbalimbali. Umekuwa ukileta mada zenye kufurahisha sana na zenye mvuto na utashi wa kipekee iwe mapenzi, mapishi, siasa ama mada yoyote ihusuyo maisha yetu ya kila siku.
Thread yoyote ambayo umeposti yaani imekuwa inafuatwa na maelfu ya wana JF na ndio maana nakufananisha yule mtu ktk hadithi ya "THE PIED PIPER OF HAMELIN". Ushahidi umeonyesha kuwa ulipotea for a few weeks in the month of June 2011 na kulikuwa na simanzi na maswali kila siku hapa JF "Wapi Ashadii?????".......Thank God ulirudi ingawa hukusema ulipotelea wapi
Umekuwa kama sumaku kutokana na utashi na busara zako. Lugha yako siku zote imekuwa ni yenye heshima na taadhima mbeleni mwa wanaJF wenzio. Hata avatar yako says a lot about you.
Kila kaka angependa kuwa na dada kama AshaDii
Kila dada angetamani kuwa na wifi kama AshaDii.
Kila mume angependa kuwa na mke kama Ashadii.
Kila mvulana angependa kuwa na girlfriend kama AshaDii.
Kila jirani angependa kuwa na jirani kama AshaDii
Kila mtoto angependa kuwa na mama/shangazi kama AshaDii.
Sitosema mengi lakini nachukua fursa hii kukufahamisha kwamba thank you very much for what you have done so far for this great forum. Tafadhali usichoke wala usikome kuendelea kutupatia busara zako, elimu na mchango wa maoni yako kwani wengi wetu tumefaidika na yametusaidia sana tena sana baada ya kuyatekeleza kisirisiri maishani mwetu.
Nakutakia weekend njema na uendelee kujaaliwa ktk maisha yako na familia yako.
Do keep up doing the good job, AD!!
Thread yoyote ambayo umeposti yaani imekuwa inafuatwa na maelfu ya wana JF na ndio maana nakufananisha yule mtu ktk hadithi ya "THE PIED PIPER OF HAMELIN". Ushahidi umeonyesha kuwa ulipotea for a few weeks in the month of June 2011 na kulikuwa na simanzi na maswali kila siku hapa JF "Wapi Ashadii?????".......Thank God ulirudi ingawa hukusema ulipotelea wapi
Umekuwa kama sumaku kutokana na utashi na busara zako. Lugha yako siku zote imekuwa ni yenye heshima na taadhima mbeleni mwa wanaJF wenzio. Hata avatar yako says a lot about you.
Kila kaka angependa kuwa na dada kama AshaDii
Kila dada angetamani kuwa na wifi kama AshaDii.
Kila mume angependa kuwa na mke kama Ashadii.
Kila mvulana angependa kuwa na girlfriend kama AshaDii.
Kila jirani angependa kuwa na jirani kama AshaDii
Kila mtoto angependa kuwa na mama/shangazi kama AshaDii.
Sitosema mengi lakini nachukua fursa hii kukufahamisha kwamba thank you very much for what you have done so far for this great forum. Tafadhali usichoke wala usikome kuendelea kutupatia busara zako, elimu na mchango wa maoni yako kwani wengi wetu tumefaidika na yametusaidia sana tena sana baada ya kuyatekeleza kisirisiri maishani mwetu.
Nakutakia weekend njema na uendelee kujaaliwa ktk maisha yako na familia yako.
Do keep up doing the good job, AD!!