Asante Sana Roullete


Umeona eeeh? Bahati yake mbaya, Eid hii nimealikwa na Kongosho tunaenda zetu out. Sijui wananipeleka wapi...
 
Last edited by a moderator:
ruttashobolwa kamanda wangu naamini hujambo kabisa....!
Naomba nikupe jukumu moja kubwa Kuwalinda shemeji zako wote humu kwa kuwa najua Asprin na platozoom hawakawii kuwakagua na kuwaharibu mind zao!
Please hakikisha wako salama muda wote

Tehe tehe tehe tehe, kumbe Preta ni wivu tu unamaumbua!!!

Mkuu kumbuka lakini wivu ni suna kwa mwanamke.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
hahahahah Mr Rocky banaa,
ndo za watu huwa hazivunjwi namna hiyo...
hujui kuwa Asprin ndo mume wangu? na Yummy ni mke mwenzangu?
loh....



 
Last edited by a moderator:
hapa pana harufu ya rushwa....
ninampango wa kwenda takukuru.....mshtakiwa namba moja Roulette na anayefuata Erickb52......

halafu hivi kuna umuhimu gani wa kuwa na vibuzi na vismallhousi mods wakati hamnipi hata like na rep power?
Buchanan hebu come zis way ujieleze, how comes hela ya matumizi hutoi hata like hunigongei na unaninyima rep power?

bila kumsahau Invisible, hivi mbona haunitendei haki? hebu nigongee like na ma-rep nimringishie Erickb52

my hubby wa ukweli Asprin , tafadhali usisome hapa...



 
Last edited by a moderator:
hahahahah Mr Rocky banaa,
ndo za watu huwa hazivunjwi namna hiyo...
hujui kuwa Asprin ndo mume wangu? na Yummy ni mke mwenzangu?
loh....

BADILI TABIA huyo mke mwenzako Yummy akija kwangu anajifanya msamaria over nani sijui ila akitoa tuu pua nje ya mlango anageuka mwewe
Na wala hapo hana ndoa anaiba tuu kwa babu Asprin ila nikimkamata atajua ukoo wangu ni upi
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa BADILI TABIA sema tu hapa ndio nishazisomba na hakuna rushwa wala nini!
Mi ndio mwenye busara zaidi ChitChat lol
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa BADILI TABIA sema tu hapa ndio nishazisomba na hakuna rushwa wala nini!
Mi ndio mwenye busara zaidi ChitChat lol

Busara wapi wewe wakati tunajua kuna rushwa imetembea kati yako na Roulette mnapeana rep kwa kuwa mnakutana sehem sehem mnagongeana like
 
Last edited by a moderator:
sio kuunga urafiki tu, we ongea point bana...
Roulette najitahidi sana aise
Si unajua wengine tulisoma kw ataa za chemli hivyo busara ziliishia huko huko
Hapa najitahidi mpaka nafikia uwezo wa mwisho
Nikizidisha hapo nitakuwa kichaa sasa
 
Last edited by a moderator:
Busara wapi wewe wakati tunajua kuna rushwa imetembea kati yako na Roulette mnapeana rep kwa kuwa mnakutana sehem sehem mnagongeana like
Rushwa ya namna gani?
Ziko rushwa nyingi sana sema ni ipi? Roulette yuko juu kiuchumi anamiliki Bahari Beach Hotel na Meli moja ya mizigo so sina cha kumuhonga!
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 hakuna wivu hapo ila lazima nikusemee kwa mke wako Amyner kuwa ulikutana na Roulette mkapeana like na rep power
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…