wanasema wanajitolea hahahahahhAhahahahahahahahah! Imenikumbusha wakati wa kupiga kura! Mawakala wa Chadema hawapewagi chai wala chakula kuanzia saa kumi na mbili aaubuhi wanaripoti hadi saa moja usiku wakati wa kugoa matangazo! Halafu wanakuja mitandaoni eti wameibiwa kura! PUMBAVU!!!
Na ww huoni kua serikali ijichunguze kwa kuweka watu wa chadema ndani km kuna uonevu watolewe maana ni kujaza magereza bila maanaSio suala dogo.
Moja ya chanzo ya kupasuka kwa chama ukiacha Magufuli crack down ni hili la malalamiko ya rank and file class of the party being grossly neglected.
Makada wa chama wamejaa kwenye majela across the country hawana msaada, Mbowe ana mawakili 20, anaeongea mahakamanin mmoja!
Kwa nini msiwaambie hao mawakili wengine nendeni Mwandiga Kigoma huko tuna ma kesi pia. Why not ?
wapi jaji kasema kuwa hayo maji yakaguliwe? rudia kumsoma tena jaji.Mana yake CHADEMA wanaojazana mahakamani wawape maji Mbowe na walinzi wake lakini kwanza yakaguliwe na magereza. HIVYO:-
1. Kazi ya Wanachadema ni kutoa maji
2. Kazi ya Magereza ni kuyakagua maji.
Kweli kabisa. Kama vile alivyowasuta Chadema kwa kutowapa chakula siku nzima.hampendi kuambiwa ukweli wapuuzi nyie wacheni jaji awasute mnaupendeleo na haohao ndiyo wameanika maovu yote ya mbowe lazima afungwe tu gaidi mkubwa huyo
Haswa. Kama ilivyo ni wajib wa Chadema kuwapa chakula na Magereza kukikagua. Na siku wasipoletwa Mahakamani tuwalaumu Chadema kwa kutotoa usafiri. Na safari ile waliposhindwa kuwaunganisha watuhumiwa ili shauri lifanyike kwa video, ni kwa sababu Chadema Media walibania vifaa na bundle. Chadema kweli hawana utu.Mana yake CHADEMA wanaojazana mahakamani wawape maji Mbowe na walinzi wake lakini kwanza yakaguliwe na magereza. HIVYO:-
1. Kazi ya Wanachadema ni kutoa maji
2. Kazi ya Magereza ni kuyakagua maji.
Ila hapo wameonyesha ubaguzi wao ka upinzani wangeonyesha mfano wa utu na sio kusingizia status, change ni Mimi, wewe na wengine tu vunje hyo system tuwe na equalityKuna tofauti kubwa ya kiongozi na raia wa kawaida wakiwa kwenye kesi, mahabusu au magerezani. Look watu walio na uwezo wakiwa kwenye kesi.. je wanapata the same treatment kama wale wasio nao?
Ni mfumo uliopo kwenye jamii yetu. Mtu mwenye status kubwa kwenye jamii hawi treated the same kama wasio na kitu.
Isitoshe maji ? Sijui ulinzi? Ni very minor things. So minor.
Cdm ni saccos iliyochangamkaKibatala: Mh. Jaji ni hayo tu, sina swali lingine.
Jaji: Ahsante, kila siku naona mtuhumiwa mmoja tu ndiyo anakunywa maji, mmewapa wengine? Wapeni Maji wanywe, Askari Magereza Myakague ni haya tunayokunywa wote.
Jaji: Mawakili wa Serikali kuna lolote kwa ajili ya Re: examination?
Mfumo dume wa mbowe umewaathiri kisaikolojia wafuasi wake .wakiwapa wengine maji wataona kama wamewa level na king Muswati wa chademaKwa hiyo nayo ni ishu ya maana? CHILDISH KABISA
SI NI WALINZI WA MBOWE LAKINI?Haswa. Kama ilivyo ni wajib wa Chadema kuwapa chakula na Magereza kukikagua. Na siku wasipoletwa Mahakamani tuwalaumu Chadema kwa kutotoa usafiri. Na safari ile waliposhindwa kuwaunganisha watuhumiwa ili shauri lifanyike kwa video, ni kwa sababu Chadema Media walibania vifaa na bundle. Chadema kweli hawana utu.
Amandla...
Huo utamaduni unaenda way back. Na mbaya unaanza kwenye jamii. Unataka wabadilike? Hii kitu lazima ianzie kwenye jamii.. then serikal yenyewe. Otherwise watu wataona kawaida tuIla hapo wameonyesha ubaguzi wao ka upinzani wangeonyesha mfano wa utu na sio kusingizia status, change ni Mimi, wewe na wengine tu vunje hyo system tuwe na equality
Hata mimi nashangaa. Maana wakati ule aligoma kuendelea na kesi mpaka wateja wake wote walipopewa chakula. Kweli hana utu.SI NI WALINZI WA MBOWE LAKINI?
1. KWA NINI MNAWABAGUA
2. KAMA NI WAJIBU WA MAGEREZA MBONA WAKILI MSOMI ASIYE NA UTU KIBATALA HAJAGOMA KUENDELEA NA KESI MPAKA WATEJA WAKE WOTE WAPEWE MAJI KAMA GAIDI MBOWE.
na unaweza kukuta mbowe akatoka na wao wakazama ndani milele na hakuna mtu atahangaika nao jiulize kabla ya kukamatwa mbowe nani alikuwa anajuwa kuna walinzi wa mbowe wako ndani?Chadema wanakamilisha ule msemo unaosema "kila mchuma janga hula na wa kwao" Hao wanaompa maji Mbowe wengi ni wanafamilia wake, sasa hao wenzangu na mimi waliorubuniwa na zile laki 6 jasho litawatoka. Ndio maana huku mtaani anaezungumziwa ni yeye tu sio wao.
kibatala anamaslahi sana na hii kesi mawakili wachumia tumbo wa kuogopa sana na hii atairefusha imalize hata miaka mitatu haiishi ndiyo maana anaibua vikesi vidogo ndani ya kesi kubwa mara kwa maraHata mimi nashangaa. Maana wakati ule aligoma kuendelea na kesi mpaka wateja wake wote walipopewa chakula. Kweli hana utu.
Amandla...
Chadema sio watu. Hawaoni CCM walivyokataa kufanya mikutano ya hadhara mpaka vyama vyote vitakapo ruhusiwa? Au wakina mama wa CCM walivyofuta jogging yao ya wikiendi hii kuonyesha solidarity na Bawacha ambao walizuiwa kufanya jogging wiki iliyopita. Ni utamaduni mbaya sana huu wanaoendeleza Chadema.Huo utamaduni unaenda way back. Na mbaya unaanza kwenye jamii. Unataka wabadilike? Hii kitu lazima ianzie kwenye jamii.. then serikal yenyewe. Otherwise watu wataona kawaida tu
Ni kweli kabisa maana Kibatala ndio mwenye kuamrisha kesi iendelee. Jaji yupo pale kama boya, maamuzi yote anafanya Kibatala. Kama alivyoruhusu watu waingie Mahakamani. Njaa mbaya sana.kibatala anamaslahi sana na hii kesi mawakili wachumia tumbo wa kuogopa sana na hii atairefusha imalize hata miaka mitatu haiishi ndiyo maana anaibua vikesi vidogo ndani ya kesi kubwa mara kwa mara
MMMmm??Ni kweli kabisa maana Kibatala ndio mwenye kuamrisha kesi iendelee. Jaji yupo pale kama boya, maamuzi yote anafanya Kibatala. Kama alivyoruhusu watu waingie Mahakamani. Njaa mbaya sana.
Amandla...