Asante Mh. Jaji Siyami kwa kuwaumbua CHADEMA; wanampa Mbowe tu maji na kuwanyima walinzi wake huku wakiwa wamejazana mahakamani

Sio suala dogo.

Moja ya chanzo ya kupasuka kwa chama ukiacha Magufuli crack down ni hili la malalamiko ya rank and file class of the party of being grossly neglected.

Makada wa chama wamejaa kwenye majela across the country hawana msaada, Mbowe ana mawakili 20, anaeongea mahakamanin mmoja!

Kwa nini msiwaambie hao mawakili wengine nendeni Mwandiga Kigoma huko tuna ma kesi pia. Why not ?
Umesikia jaji anasemaje kuhusu case hii kupelekwa mbio/haraka?!!...Unajua chama kina wanasheria/mawakili kila wilaya na mkoa?!!..Au unachofikiria wewe ndio hicho hicho!!!..
 
Sio suala dogo.

Moja ya chanzo ya kupasuka kwa chama ukiacha Magufuli crack down ni hili la malalamiko ya rank and file class of the party of being grossly neglected.

Makada wa chama wamejaa kwenye majela across the country hawana msaada, Mbowe ana mawakili 20, anaeongea mahakamanin mmoja!

Kwa nini msiwaambie hao mawakili wengine nendeni Mwandiga Kigoma huko tuna ma kesi pia. Why not ?
Wacha uongo, haongei mmoja mahakamani, huwa wanapokezana kwenye cross examination kuwauliza maswali upande wa mashtaka.
 
Kibatala: Mh. Jaji ni hayo tu, sina swali lingine

Jaji: Ahsante, kila siku naona mtuhumiwa mmoja tu ndiyo anakunywa maji, mmewapa wengine? wapeni Maji wanywe,Askari Magereza Myakague ni haya tunayokunywa wote

Jaji: Mawakili wa Serikali kuna lolote kwa ajili ya Re: examination?
Mods trash this rubbish Asap.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Huzuni Sana.....kuona wengine hawatendewi ubinadamu licha ya kuwa sehemu ya watuhumiwa. Hongera kwake Mh. Jaji kwa kuliona na kuwa na utu.
 
Sio suala dogo.

Moja ya chanzo ya kupasuka kwa chama ukiacha Magufuli crack down ni hili la malalamiko ya rank and file class of the party of being grossly neglected.

Makada wa chama wamejaa kwenye majela across the country hawana msaada, Mbowe ana mawakili 20, anaeongea mahakamanin mmoja!

Kwa nini msiwaambie hao mawakili wengine nendeni Mwandiga Kigoma huko tuna ma kesi pia. Why not ?
Kuna tofauti kubwa ya kiongozi na raia wa kawaida wakiwa kwenye kesi, mahabusu au magerezani. Look watu walio na uwezo wakiwa kwenye kesi.. je wanapata the same treatment kama wale wasio nao?

Ni mfumo uliopo kwenye jamii yetu. Mtu mwenye status kubwa kwenye jamii hawi treated the same kama wasio na kitu.

Isitoshe maji ? Sijui ulinzi? Ni very minor things. So minor.
 
Chadema wanakamilisha ule msemo unaosema "kila mchuma janga hula na wa kwao" Hao wanaompa maji Mbowe wengi ni wanafamilia wake, sasa hao wenzangu na mimi waliorubuniwa na zile laki 6 jasho litawatoka. Ndio maana huku mtaani anaezungumziwa ni yeye tu sio wao.
Kwani mwenye jukumu la kumpa maji mtuhumiwa huwa ni nani?
 
Ni jukumu la nani kuhudumia mahabusu?
Mungu hajawai kuumba mahabusu kaumba watu na watu ni utu. Haiwezekani mjazane mahakamani na mnashindwa kumpa binadamu mwenzenu maji halafu mnanuna mafulana ya KATIBA MPYA. Maji kwani ni shs ngapi mkuu? ni shs ngapi?
 
Back
Top Bottom