Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,860
- 12,293
Ya najua mkuu.wapi wametumika kama daraja ndugu? mfano, unafahamu kuwa ukimjua mwizi wa fedha bila kutoa taarifa ikibainika ni kosa kisheria?
Ya najua mkuu.wapi wametumika kama daraja ndugu? mfano, unafahamu kuwa ukimjua mwizi wa fedha bila kutoa taarifa ikibainika ni kosa kisheria?
Nimekuuliza kutokana na jinsi ulivyosema. Mimi sina upande - ni mtu neutral - isipokuwa tu ni mdau wa sheria.Waulize mawakili wenu mnaowaita WASOMI si wanajua kila kitu ISIPOKUWA UTU
Soma post ya #40 mkuuKwani mwenye jukumu la kumpa maji mtuhumiwa huwa ni nani?
Maji ni minor!? so minor!? Kweli?!Kuna tofauti kubwa ya kiongozi na raia wa kawaida wakiwa kwenye kesi, mahabusu au magerezani. Look watu walio na uwezo wakiwa kwenye kesi.. je wanapata the same treatment kama wale wasio nao?
Ni mfumo uliopo kwenye jamii yetu. Mtu mwenye status kubwa kwenye jamii hawi treated the same kama wasio na kitu.
Isitoshe maji ? Sijui ulinzi? Ni very minor things. So minor.
Swali langu lilikuwa 'specific' kutokana na uwasilishaji wa mchangiaji, labda kama ni wewe mwenyewe.Soma post ya #40 mkuu
Kwa utu wangu- nadhani nasimama na Jaji- hawa watu kwa maelezo ya CHADEMA ni walinzi wa Mbowe- kwa nini yeye awe na maji na wao wasiwe nayo? utu uko wapi? Jaji muungwana yule kaona shida hiyo- WANACHAMA KIBAO WA CHADEMA WAMEJAZANA HUMO MAHAKAMANI- VIPOFU HAWAONI HILONimekuuliza kutokana na jinsi ulivyosema. Mimi sina upande - ni mtu neutral - isipokuwa tu ni mdau wa sheria.
ema wanakamilisha ule msemo unaosema "kila mchuma janga hula na wa kwao" Hao wanaompa maji Mbowe wengi ni wanafamilia wake, sasa hao wenzangu na mimi waliorubuniwa na zile laki 6 jasho litawatoka. Ndio maana huku mtaani anaezungumziwa ni yeye tu sio wao.
Kwa utu wangu- nadhani nasimama na Jaji- hawa watu kwa maelezo ya CHADEMA ni walinzi wa Mbowe- kwa nini yeye awe na maji na wao wasiwe nayo? utu uko wapi? Jaji muungwana yule kaona shida hiyo- WANACHAMA KIBAO WA CHADEMA WAMEJAZANA HUMO MAHAKAMANI- VIPOFU HAWAONI HILO
Mhu! Kwani utu ni kwa Chadema tu au kwa mtu yeyote aliyeona kuwa hawana au hawapewi maji?Kwa utu wangu- nadhani nasimama na Jaji- hawa watu kwa maelezo ya CHADEMA ni walinzi wa Mbowe- kwa nini yeye awe na maji na wao wasiwe nayo? utu uko wapi? Jaji muungwana yule kaona shida hiyo- WANACHAMA KIBAO WA CHADEMA WAMEJAZANA HUMO MAHAKAMANI- VIPOFU HAWAONI HILO
au ndo ulibisha ili utuone wanasheria wabaya..😇Ya najua mkuu.
tusiseme tu wao hawana maji! pengine hawakuhitaji na hawakuwa na kiu! tunayafahamu hya?Kwa utu wangu- nadhani nasimama na Jaji- hawa watu kwa maelezo ya CHADEMA ni walinzi wa Mbowe- kwa nini yeye awe na maji na wao wasiwe nayo? utu uko wapi? Jaji muungwana yule kaona shida hiyo- WANACHAMA KIBAO WA CHADEMA WAMEJAZANA HUMO MAHAKAMANI- VIPOFU HAWAONI HILO
Aliyekufumua marinda kakuweza sana, sasa hivi watu wanajipigia tu iko wazi kama ya mbuzi vile.kama hujui nenda kalale usifuatilie wanaume
We ni mpuuzi sana na kilaza, sasa kama mbowe anapewa maji na watoto wake asipokee.Kibatala: Mh. Jaji ni hayo tu, sina swali lingine
Jaji: Ahsante, kila siku naona mtuhumiwa mmoja tu ndiyo anakunywa maji, mmewapa wengine? wapeni Maji wanywe,Askari Magereza Myakague ni haya tunayokunywa wote
Jaji: Mawakili wa Serikali kuna lolote kwa ajili ya Re: examination?
ndiyo ujuwe watu wa chadema ni watu wa aina gani wachoyo hawapendani wanaabudu mwenyekiti tuKwa utu wangu- nadhani nasimama na Jaji- hawa watu kwa maelezo ya CHADEMA ni walinzi wa Mbowe- kwa nini yeye awe na maji na wao wasiwe nayo? utu uko wapi? Jaji muungwana yule kaona shida hiyo- WANACHAMA KIBAO WA CHADEMA WAMEJAZANA HUMO MAHAKAMANI- VIPOFU HAWAONI HILO
Wapelekee wewe si wanaku duuuwewe maji ni uhai