Asante Mh. Jaji Siyami kwa kuwaumbua CHADEMA; wanampa Mbowe tu maji na kuwanyima walinzi wake huku wakiwa wamejazana mahakamani

Kuna tofauti kubwa ya kiongozi na raia wa kawaida wakiwa kwenye kesi, mahabusu au magerezani. Look watu walio na uwezo wakiwa kwenye kesi.. je wanapata the same treatment kama wale wasio nao?

Ni mfumo uliopo kwenye jamii yetu. Mtu mwenye status kubwa kwenye jamii hawi treated the same kama wasio na kitu.

Isitoshe maji ? Sijui ulinzi? Ni very minor things. So minor.
Maji ni minor!? so minor!? Kweli?!
 
Nimekuuliza kutokana na jinsi ulivyosema. Mimi sina upande - ni mtu neutral - isipokuwa tu ni mdau wa sheria.
Kwa utu wangu- nadhani nasimama na Jaji- hawa watu kwa maelezo ya CHADEMA ni walinzi wa Mbowe- kwa nini yeye awe na maji na wao wasiwe nayo? utu uko wapi? Jaji muungwana yule kaona shida hiyo- WANACHAMA KIBAO WA CHADEMA WAMEJAZANA HUMO MAHAKAMANI- VIPOFU HAWAONI HILO
 
Huko mtaani ww wazumgumzie, acha wengine wamzungumzie Mbowe.
ema wanakamilisha ule msemo unaosema "kila mchuma janga hula na wa kwao" Hao wanaompa maji Mbowe wengi ni wanafamilia wake, sasa hao wenzangu na mimi waliorubuniwa na zile laki 6 jasho litawatoka. Ndio maana huku mtaani anaezungumziwa ni yeye tu sio wao.
 
Yeye jaji hana utu, mbona hajawapa yeye maji?
Kwa utu wangu- nadhani nasimama na Jaji- hawa watu kwa maelezo ya CHADEMA ni walinzi wa Mbowe- kwa nini yeye awe na maji na wao wasiwe nayo? utu uko wapi? Jaji muungwana yule kaona shida hiyo- WANACHAMA KIBAO WA CHADEMA WAMEJAZANA HUMO MAHAKAMANI- VIPOFU HAWAONI HILO
 
Kwa utu wangu- nadhani nasimama na Jaji- hawa watu kwa maelezo ya CHADEMA ni walinzi wa Mbowe- kwa nini yeye awe na maji na wao wasiwe nayo? utu uko wapi? Jaji muungwana yule kaona shida hiyo- WANACHAMA KIBAO WA CHADEMA WAMEJAZANA HUMO MAHAKAMANI- VIPOFU HAWAONI HILO
Mhu! Kwani utu ni kwa Chadema tu au kwa mtu yeyote aliyeona kuwa hawana au hawapewi maji?
 
Kwa utu wangu- nadhani nasimama na Jaji- hawa watu kwa maelezo ya CHADEMA ni walinzi wa Mbowe- kwa nini yeye awe na maji na wao wasiwe nayo? utu uko wapi? Jaji muungwana yule kaona shida hiyo- WANACHAMA KIBAO WA CHADEMA WAMEJAZANA HUMO MAHAKAMANI- VIPOFU HAWAONI HILO
tusiseme tu wao hawana maji! pengine hawakuhitaji na hawakuwa na kiu! tunayafahamu hya?
 
Yeye jaji hana utu, mbona hajawapa yeye maji?
Mje mseme JajiCCM acha basi. Kigai kawapa mahabusu ndizi choma na nyama na MO power Kibatala anatoa macho- jibebeni wenyewe. Ila walau Jaji kaona na kasema inatosha.
 
Kibatala: Mh. Jaji ni hayo tu, sina swali lingine

Jaji: Ahsante, kila siku naona mtuhumiwa mmoja tu ndiyo anakunywa maji, mmewapa wengine? wapeni Maji wanywe,Askari Magereza Myakague ni haya tunayokunywa wote

Jaji: Mawakili wa Serikali kuna lolote kwa ajili ya Re: examination?
We ni mpuuzi sana na kilaza, sasa kama mbowe anapewa maji na watoto wake asipokee.

Kilaza mkubwa
 
Kwa utu wangu- nadhani nasimama na Jaji- hawa watu kwa maelezo ya CHADEMA ni walinzi wa Mbowe- kwa nini yeye awe na maji na wao wasiwe nayo? utu uko wapi? Jaji muungwana yule kaona shida hiyo- WANACHAMA KIBAO WA CHADEMA WAMEJAZANA HUMO MAHAKAMANI- VIPOFU HAWAONI HILO
ndiyo ujuwe watu wa chadema ni watu wa aina gani wachoyo hawapendani wanaabudu mwenyekiti tu
 
Back
Top Bottom