Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
- Thread starter
- #21
Anadhani uchaguzi wa rais unafanyika tu kama uchaguzi mdogo wa jimbo la busweloKwa uchumi gani.
Anadhani uchaguzi wa rais unafanyika tu kama uchaguzi mdogo wa jimbo la busweloKwa uchumi gani.
ApuuzweEti kuingilia dirishani...!!! Dar..!! this is JF banaa...
Sikia ww usione wote washamba kama unavyodhani kwani nimekwambia waanze kupiga kampeni? Uchaguzi unafanyika ndani ya miezi mitatu miezi 3 ni mingi sana kuandaa uchaguziUnafikiri uchaguzi ni kama kununua nyanya sokoni!?
Hajaingilia dirishani kumbuka wote wawili walizunguka nchi nzima wakiomba kura.Katika katiba mpya kiwepo kipengele cha ikitokea Rais amefariki au kushindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu zozote uchaguzi ufanyike ndani ya miezi 3 mambo ya mtu kuingilia dirishani hatutaki tena.
Tunataka katiba mpya.Katiba mpya au iliyoboreshwa ni nzuri Sana
Lakini je hao waandishi wa katiba mpya ni wakina Nani?
Tusije kukuta tunaleta vitu vya ajabu
Kwenye kupuuzwa hapana... Alichokiongea ni muhimu sana... Yes, tutaingia gharama za uchaguzi, lakini ndo gharama za demokrasiaApuuzwe
Mkuu uchaguzi bajeti yake sio ya kitoto. Mama huyu huyu anapiga kazi.Sikia ww usione wote washamba kama unavyodhani kwani nimekwambia waanze kupiga kampeni? Uchaguzi unafanyika ndani ya miezi mitatu miezi 3 ni mingi sana kuandaa uchaguzi
Okey mkuu ila naona waliovunja katiba baadhi wanadunda mtaaniUsipofuata biblia, utaishia tu kutengwa na kanisa... USIPOFUATA KATIBA.. GEREZA LINAWEZA LIKAKUHUSU
Jiue we msukuma,,na mama yupo hadi 2045Katika katiba mpya kiwepo kipengele cha ikitokea Rais amefariki au kushindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu zozote uchaguzi ufanyike ndani ya miezi 3 mambo ya mtu kuingilia dirishani hatutaki tena.
Unazijua gharama za uchaguzi!!?Sikia ww usione wote washamba kama unavyodhani kwani nimekwambia waanze kupiga kampeni? Uchaguzi unafanyika ndani ya miezi mitatu miezi 3 ni mingi sana kuandaa uchaguzi
Lakini kuna amani na utulivu kwa sababu ya hivyo vitabu.Katiba mpya ndio suluhisho la Matatizo mengi ya nchi yetu. Sio matatizo yote, narudia kusema matatizo mengi. Maana katiba ni muongozo tu kama ilivyo Qur an au bible.
Leo Qur an ipo na waislam hawaofuati, bible ipo na wakristo hawaifuati ni kipi kinachokuonyesha watanzania watakuja kuifuata katiba mpya???
Kwahiyo katiba mpya tunaitaka maana itatusaidia kupunguza matatizo mengi yanayotusibu Watanzania.
Hata kuishi ni gharama, mbona hujiuwi?|Unazijua gharama za uchaguzi!!?
ama unaongea ilimradi
Bilioni 157 hzo ndo gharama za uchaguzi kwa mujibu wa tume ya uchaguzi pia unapozungumzia kutekeleza katiba au jambo la emergency gharama hazingaliwi pia hv unadhani wameweka terms za miaka 5 ndo ufanyike uchaguzi kwa kukwepa gharama?Unazijua gharama za uchaguzi!!?
ama unaongea ilimradi
Katiba ikiwekwa mbona gharama zitapatikana tuUnazijua gharama za uchaguzi!!?
ama unaongea ilimradi
😂😂😂Angalia hili Chagga la kishimundu unadhani mama atapita mtaani anagawa fedha??Jiue we msukuma,,na mama yupo hadi 2045
Katika katiba mpya kiwepo kipengele cha ikitokea Rais amefariki au kushindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu zozote uchaguzi ufanyike ndani ya miezi 3 mambo ya mtu kuingilia dirishani hatutaki tena.
Kwa maoni haya ni wazi kuwa umevurugwa kama wale wasiotaka kuamini awamu ya tano imekwisha na sasa tuko awamu ya sita.
Pole eeh.
Ndo tunataka demokrasia ina gharama zake pamoja na hizi,halafu hatutegemei Kifo kitokee mara kwa mara,kuliko kupata Raisi ambaye hakuchaguliwa kuwa Raisi bali Makamu kama ilivyotokea kwa hili libushutiUnafikiri uchaguzi ni kama kununua nyanya sokoni!?