Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Huenda.Labda kaahaidiwa u-IGP..
Huenda.Labda kaahaidiwa u-IGP..
WanaApollo mko wapi...Mji wenu unachezewa na kafiri!Wana JF hali haiko shwari Arusha mjini kwa kiwango ambacho watu wanakitegemea maana mjini kuna polisi wanapita na gari kubwa la maji ya kuwasha landrover mbili zikiwa zimejaa askari wa FFU na mapikipiki ya kutosha wanazunguka sehemu zenye watu wengi kama vile soko kuu stend na kwingineko.
Watu wengi wamekaa maeneo mbalimbali na hawajajikusanya rasmi ila wanaonekana kama ni watu ambao wanafanya shopping za kawaida lakini ukiongea kila mmoja wanasema wao wanasubiri Agizo kutoka viongozi wa CHADEMA watapokusanyika watawafuata huko hawaogopi hayo magari tena bora yaendelee kupita mitaani ili wayazoee wasije kuyaogopa tenana wengi ukiwaona ni kama vile wanawasanifu polisi
Jamani sijui uonevu huu utaendelea mpaka lini wandugu
Ina maana mkutano unafanyika.tuko eneo husika mkuu ila wamejizatiti..lema na wabunge wapo uwanjani
Askari polisi pleaseeeeee!!!!!!!!!!! Fikirini kabla ya kutenda. kumbukeni mara baada ya kufanya ubabe wenu wa kijinga, mtarudi majumbani mwenu ambako ndiko mtaani tunakoishi sisi wananchi. familia zenu tunaishinazo sisi, watoto wenu tunasoma nao sisi. siku tutakapowachenchia ndipo mtakapohamishia familia & ndugu zenu vituo vya polisi. kwani mnaokuja kutupiga tunawafaham vizuri (mnakoishi, na vijiwe vyenu vyote) acheni ujinga na elimu zenu za ku-ungaunga kwa gundi. ala!!!!!!!!!!!!!!!!!:angry:
Ndio unafanyika . Peoples powerrrrrrrrrrrrrrrrIna maana mkutano unafanyika.
Polisi hawajui kazi yao
Polisi hawana elimu (zaidi ya ile form four failure)
Polisi wanapenda sifa za kijinga
Waliowatuma hawajui pia kazi yao na wapo kwa kulinda maslahi yao
Kweli tutategemea jema hapa?
Ya nini wazunguke na magari yao ya ajabuajabu, na mavazi ya kiroboti mitaani?
Ande ameletwa kufanya kazi maalum, na ndio hiyo anayo ifanya.
Polisi kwa sababu za kijinga eti wanahofia maduka yataibiwa sasa kazi yao ni nini waache kazi watafute nyingine, wewe unaomba kazi ya jeshi halafu unahofia vita ikianza unafikiri jeshini ni kwenda kuimba mapambio pambaf zao.Ndio unafanyika . Peoples powerrrrrrrrrrrrrrrr
mkutano ni saa 9 lakini kwa mwitikio wa ajabu mpaka saa tano watu walikuwa wamejaa nmcIna maana mkutano unafanyika.
Asante mkuu, nikweli media zetu bado sana sekesekeCRASHWISE you deserve the Medal of Honor keep us posted..... tunahitaji watanzania kama wewe..... Media zetu uzushi mtupu.... inabidi tuwe our own media
Thobias Andengenye ataondosha amani ya Geneva of Africa.
Cha ajabu kuna gari zaidi ya 6 uwanjani na zingine huku karibu na soko kuu na zingine zikizunguka zunguka na polisi wetu sasa kama hawakuwa na polisi hawa wakutuzuia wametoka wapi.....Polisi kwa sababu za kijinga eti wanahofia maduka yataibiwa sasa kazi yao ni nini waache kazi watafute nyingine, wewe unaomba kazi ya jeshi halafu unahofia vita ikianza unafikiri jeshini ni kwenda kuimba mapambio pambaf zao.
Moto wa nini sasa umewaka?
Kuna mtu amemwagiwa maji au nini?
Labda deployment za kawaida tu za askari?