Arusha yawaka moto.

Wana JF hali haiko shwari Arusha mjini kwa kiwango ambacho watu wanakitegemea maana mjini kuna polisi wanapita na gari kubwa la maji ya kuwasha landrover mbili zikiwa zimejaa askari wa FFU na mapikipiki ya kutosha wanazunguka sehemu zenye watu wengi kama vile soko kuu stend na kwingineko.

Watu wengi wamekaa maeneo mbalimbali na hawajajikusanya rasmi ila wanaonekana kama ni watu ambao wanafanya shopping za kawaida lakini ukiongea kila mmoja wanasema wao wanasubiri Agizo kutoka viongozi wa CHADEMA watapokusanyika watawafuata huko hawaogopi hayo magari tena bora yaendelee kupita mitaani ili wayazoee wasije kuyaogopa tenana wengi ukiwaona ni kama vile wanawasanifu polisi

Jamani sijui uonevu huu utaendelea mpaka lini wandugu
WanaApollo mko wapi...Mji wenu unachezewa na kafiri!
 
Askari polisi pleaseeeeee!!!!!!!!!!! Fikirini kabla ya kutenda. kumbukeni mara baada ya kufanya ubabe wenu wa kijinga, mtarudi majumbani mwenu ambako ndiko mtaani tunakoishi sisi wananchi. familia zenu tunaishinazo sisi, watoto wenu tunasoma nao sisi. siku tutakapowachenchia ndipo mtakapohamishia familia & ndugu zenu vituo vya polisi. kwani mnaokuja kutupiga tunawafaham vizuri (mnakoishi, na vijiwe vyenu vyote) acheni ujinga na elimu zenu za ku-ungaunga kwa gundi. ala!!!!!!!!!!!!!!!!!:angry:
 
Wana wa Arusha bebeni chupa za maji. Dawa ya mabomu ya machozi ni ndogo. Wakipiga hayo mabomu mnayakimbilia haraka na kuyamwagia maji.
 
Askari polisi pleaseeeeee!!!!!!!!!!! Fikirini kabla ya kutenda. kumbukeni mara baada ya kufanya ubabe wenu wa kijinga, mtarudi majumbani mwenu ambako ndiko mtaani tunakoishi sisi wananchi. familia zenu tunaishinazo sisi, watoto wenu tunasoma nao sisi. siku tutakapowachenchia ndipo mtakapohamishia familia & ndugu zenu vituo vya polisi. kwani mnaokuja kutupiga tunawafaham vizuri (mnakoishi, na vijiwe vyenu vyote) acheni ujinga na elimu zenu za ku-ungaunga kwa gundi. ala!!!!!!!!!!!!!!!!!:angry:

Mh!mtaalamu naona una hasira sana na polisi!karibu sana mkuu jamvini!!
 
Sasa wanaharibu, hii ni season ya utalii, wageni wengi wamekuja kutalii, haya makampuni ya utalii arusha yasipokuwa na ushirikiano na kupinga huu ubabe wa polisi wataingia 2011 wakiwa hoi, maana wageni watahairisha safari kwa kuogopa usalama wao, au wamesahau arusha ndio kitovu cha utalii . Ingoje bbc na cnn itangaze ndio utaona watalii wakavyo cancel booking zao.

Soo bad kuwa na viongozi wasiofikiri kwa upana. Wao ni kuangalia matumbo yao tu.
 
CRASHWISE you deserve the Medal of Honor keep us posted..... tunahitaji watanzania kama wewe..... Media zetu uzushi mtupu.... inabidi tuwe our own media
 
tatizo moja polisi wote hawana elimu. ukifanya uchunguzi karibu wote wanatumia vyeti vya ndugu au jamana ndo wanaingia jeshi la polisi mkatae mkubali kwa hiyo karibu polisi wote either form 4 div 30 ---- zeroo. siku waambie walete vyeti vyao hapo ndo utakapojua hiloo.
kwa hiyo polisi hawana akili wala uelewa wowote ni ndio mzee kwenda mbeleeeee. ndo mana ni rahisi kupokea maamuzi ambayo pengine hata wao hawapedi. sasa watu hawana hata silaha leo mabomu ,bunduki za nini?
haya mambo yanamwisho wake iko siku tu mana watanzania wa sasa sio wale wa zamani, na wangejua kwa kufanya hivyo ndo wanazidi kupandikiza chuki.
 
Polisi hawajui kazi yao
Polisi hawana elimu (zaidi ya ile form four failure)
Polisi wanapenda sifa za kijinga
Waliowatuma hawajui pia kazi yao na wapo kwa kulinda maslahi yao
Kweli tutategemea jema hapa?
Ya nini wazunguke na magari yao ya ajabuajabu, na mavazi ya kiroboti mitaani?
Ande ameletwa kufanya kazi maalum, na ndio hiyo anayo ifanya.

Jamani tunawaonea bure polisi wao wanapokea maagizo kutoka serikali ya CCM iliyopo madarakani!!
 
Ndio unafanyika . Peoples powerrrrrrrrrrrrrrrr
Polisi kwa sababu za kijinga eti wanahofia maduka yataibiwa sasa kazi yao ni nini waache kazi watafute nyingine, wewe unaomba kazi ya jeshi halafu unahofia vita ikianza unafikiri jeshini ni kwenda kuimba mapambio pambaf zao.
 
CRASHWISE you deserve the Medal of Honor keep us posted..... tunahitaji watanzania kama wewe..... Media zetu uzushi mtupu.... inabidi tuwe our own media
Asante mkuu, nikweli media zetu bado sana sekeseke
limeanza asubuhi lakini tbc,itv nk wanekuja saa saba na dk 20
 
Thobias Andengenye ataondosha amani ya Geneva of Africa.

And here comes the "Dracula":
RPC+THOBIAS+ANDENGENYE+PIX+NO+10%5B1%5D.JPG
 
Polisi kwa sababu za kijinga eti wanahofia maduka yataibiwa sasa kazi yao ni nini waache kazi watafute nyingine, wewe unaomba kazi ya jeshi halafu unahofia vita ikianza unafikiri jeshini ni kwenda kuimba mapambio pambaf zao.
Cha ajabu kuna gari zaidi ya 6 uwanjani na zingine huku karibu na soko kuu na zingine zikizunguka zunguka na polisi wetu sasa kama hawakuwa na polisi hawa wakutuzuia wametoka wapi.....
 
Back
Top Bottom