Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
wako waandishi wa cnn waliokuwa wanatengeneza documentary huenda wakaripoti tukio hili kwani wapo maeneo wanasubiri kama afghanistan vile. ila mm nawaaminia aljazeera.
Polisi hawajui kazi yao
Polisi hawana elimu (zaidi ya ile form four failure)
Polisi wanapenda sifa za kijinga
Waliowatuma hawajui pia kazi yao na wapo kwa kulinda maslahi yao
Kweli tutategemea jema hapa?
Ya nini wazunguke na magari yao ya ajabuajabu, na mavazi ya kiroboti mitaani?
Ande ameletwa kufanya kazi maalum, na ndio hiyo anayo ifanya.
Polisi hawajui kazi yao
Polisi hawana elimu (zaidi ya ile form four failure)
Polisi wanapenda sifa za kijinga
Waliowatuma hawajui pia kazi yao na wapo kwa kulinda maslahi yao
Kweli tutategemea jema hapa?
Ya nini wazunguke na magari yao ya ajabuajabu, na mavazi ya kiroboti mitaani?
Ande ameletwa kufanya kazi maalum, na ndio hiyo anayo ifanya.
hilo ndio tatizo kubwa, kuanzia wakubwa wao huko juu mpaka chini ni mbuzi tu....
Cha ajabu kuna gari zaidi ya 6 uwanjani na zingine huku karibu na soko kuu na zingine zikizunguka zunguka na polisi wetu sasa kama hawakuwa na polisi hawa wakutuzuia wametoka wapi.....
wako waandishi wa cnn waliokuwa wanatengeneza documentary huenda wakaripoti tukio hili kwani wapo maeneo wanasubiri kama afghanistan vile. ila mm nawaaminia aljazeera.
Tupo mkuu,mimi nashangaa sana mnavyotuponda wakati mnajua kabisa ya kuwa sisi tunatumwa na wakuu wetu,ambao pia hupokea amri ya wana siasa wa CCM.Jamani msituponde kiasi hicho na sisi shule tumekwanda kama nyinyi .kwa mfano mimi nina degree moja(LLB) kutoka Tumaini University,je mnanihesabu kama msomi au ?Hivi polisi wanakuwemo humu jamvini?
ndo nakaribia same_nipo kwenye basi, cdhan kama nitawah_guys keep us informed_mapinduz ndo kwanza yanaanza, tunahitaj mtu wa kutuunganisha tuingie barabarani_other mzee wa wikileaks hatutakuwa tumemtendea haki_familia za mafisad zikae sawa_haiwezekan tupandishiwe umeme na maji kwa ajili yao
mimi nakuhesabu kama msomi lakini MSOMI MTUMWATupo mkuu,mimi nashangaa sana mnavyotuponda wakati mnajua kabisa ya kuwa sisi tunatumwa na wakuu wetu,ambao pia hupokea amri ya wana siasa wa CCM.Jamani msituponde kiasi hicho na sisi shule tumekwanda kama nyinyi .kwa mfano mimi nina degree moja(LLB) kutoka Tumaini University,je mnanihesabu kama msomi au ?
Sasa wanaharibu, hii ni season ya utalii, wageni wengi wamekuja kutalii, haya makampuni ya utalii arusha yasipokuwa na ushirikiano na kupinga huu ubabe wa polisi wataingia 2011 wakiwa hoi, maana wageni watahairisha safari kwa kuogopa usalama wao, au wamesahau arusha ndio kitovu cha utalii . Ingoje bbc na cnn itangaze ndio utaona watalii wakavyo cancel booking zao.
Soo bad kuwa na viongozi wasiofikiri kwa upana. Wao ni kuangalia matumbo yao tu.