Arusha yawaka moto.

taarifa rasmi ni kuwa CDM Wamekubali kuahirisha mkutano baada ya IGP,MSAJILI WA VYAMA NA PM YAANI PINDA kuzungumza na uongozi wa CDM Taifa na kuomba wapewe mpaka tarehe 4 january wawe wamemaliza mgogoro wa umeya . pili polisi wao ndio wanatangaza kuahirishwa kwa mkutano huo na wanatangaza tarehe ya mkutano ni 5 january. yapo pia makubaliano mengine ya kuangalia utendaji kazi wa polisi ARUSHA.Thats all i can share it for now.

Source??
 
source its me. ama usubiri tamko lililotolewa mbele ya vyombo vya habari muda huu na Mwenyekiti wa CDM TAIFA.
 
Moderator: hakuna uchochezi wa vurugu unaozidi hii post.
Silence him now please. Akatoe ushauri wake nchi zinazofanana na hali hiyo.
We need to continue with our peaceful Tz.

Mungu Ibariki Tanzania, Kidumu Chama cha Mapinduzi kinachotunza amani ya nchi yetu.

Kishongo ni kweli tunataka amani lakini hapa ninachoona huyu anawafundisha wananchi wasio na silaha kujihami na mabomu ya polisi, hajawaambia wachukue silaha, bali anataka wakipigwa mabomu wasidhurike wajipe huduma ya kwanza!! Wanaotakiwa kulinda amani ni polisi wenye silaha na mabomu na viongozi wa juu wa serikalo, jambo ambalo Mpaka Kieleweke ameshatujuza kwamba limeshafanyika na sasa hali ni shwari!
 
Moderator: hakuna uchochezi wa vurugu unaozidi hii post.
Silence him now please. Akatoe ushauri wake nchi zinazofanana na hali hiyo.
We need to continue with our peaceful Tz.

Mungu Ibariki Tanzania, Kidumu Chama cha Mapinduzi kinachotunza amani ya nchi yetu.
Amani unayo wewe na mafisadi lakini wa walala hoi na wananchi wa kawaida hatuna amani.....amani inatunzwa na wananchi wenyenye nyang'au wewe
 
Mimi nawasifu sana Kamanda Mbowe na timu yake pamoja na makomredi wote walioko Arusha pamoja na wale waliotoka jirani kuja kutia nguvu mshikamano huu wa kupambana na ufedhuli unaofanywa na Baadhi ya viongozi wa serikali na chama chao. Maana ukiona mpaka PM anaingia katika mjadala huo ujue maji yako shingoni na wamegundua hawawezi kupambana na nguvu ya Umma inapoamua kuwajibika.
CCM ilishazoea kuona waTZ wakiwa kama makondoo, sasa watajifunza kuwa wakati huo umepita.
Tunawaomba wa Tanzania wote wenye mapenzi mema na nchi hii popote walipo watamke kuwa HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE. Tabia ya ukondoo ibaki historia, na manyang'au yatatambua kuwa sasa sio mchezo. Hongera Arusha, tunasubiri na Mwanza kama kawaida yenu.
 
Its a good News! sasa naendelea na kazi za kujenga taifa hili maskini kwa kujitakia.
 
Moderator: hakuna uchochezi wa vurugu unaozidi hii post.
Silence him now please. Akatoe ushauri wake nchi zinazofanana na hali hiyo.
We need to continue with our peaceful Tz.

Mungu Ibariki Tanzania, Kidumu Chama cha Mapinduzi kinachotunza amani ya nchi yetu.


Wewe ndugu, huo uchochezi uko wapi?
Alichosema hapo memba ni kuwaeleza namna ya kupunguza madhara ya hayo mabomu yanayotumiwa na hao majambazi kuwapiga wananchi wasio na hatia!!
Ulitakaje!! Au ulitaka wapewe kisago wewe ukenuwe ndio uone hiyo ndio amani na utulivu!
How dense can one be????
 
Sasa serikali inajua kuwa haiwezi kucheza na nguvu ya umma. Ilitokea Mwanza kabla ya kumtangaza mshindi wa ubunge.
 
Moderator: hakuna uchochezi wa vurugu unaozidi hii post.
Silence him now please. Akatoe ushauri wake nchi zinazofanana na hali hiyo.
We need to continue with our peaceful Tz.

Mungu Ibariki Tanzania, Kidumu Chama cha Mapinduzi kinachotunza amani ya nchi yetu.

Kuwa na chupa ya 1.5 liters ya maji ni Uchochezi wa vurugu?
Kitambaa au Leso ya kujifunga usoni ni uchochezi?
Kuangalia uelekeo wa upepo ni uchochezi?
Kuwa na manati ni uchochezi?

Kushinda kwa nguvu ya wananchi nao ni uchochezi?

Kishongo kama umeshiba makombo ya fedha za ufisadi na huna cha kuandika si unyamaze tu?
Kuna mtu atakuona mjinga??
 
Arusha leo imenikumbusha Afghanistan.
Imenionyesha kuwa hakuna Democracy.
Udikteta full.
 
Moderator: hakuna uchochezi wa vurugu unaozidi hii post.
Silence him now please. Akatoe ushauri wake nchi zinazofanana na hali hiyo.
We need to continue with our peaceful Tz.

Mungu Ibariki Tanzania, Kidumu Chama cha Mapinduzi kinachotunza amani ya nchi yetu.
Your peaceful Tz is robbing our rights and democracy. Ushauri mzuri sana huo, hata wanafunzi wa Udom wameutumia juzi. We koma na kujipendekeza kwako huku unasingizia amani. Tumeishawashtukia nyie wajinga mnaotuchezea huku mnadanganyia amani na utulivu. Ulaaniwe wewe unayekumbatia wizi wa kura kwa kisingizio cha amani.
 
Mie nafikiri majeshi yetu ,yana upungufu ktk mafundisho yao. huko sijui wananyweshwa BANGE wakidhani watakuwa wakakamavu ama vipi? maana hawa jamaa hata watoto wa chekechea wakigoma watawapa kichapo watoto hao kipigo cha mbwa mwizi.

Kifupi kuna tatizo kubwa sana ktk systems zetu zote za elimu na mafunzo.
 
tutakuheshimu ukileta mabadiliko ndani ya jeshi letu la police na sio kwa digrii yako. Unaweza kuwa na digrii hata tatu lakini ukashindwa kumshauri vizuri kamanda wako ambaye elimu yake ni ndogo na amepitwa na wakati katika kufanya maamuzi. Kwa mfano andengenye nasikia ana digrii lakini anayoyafanya hayaendani na elimu yake. Kwanza alipewa sana rushwa na majambazi pale morogoro, wakati ukifika tutamlipua ili ajue hii nchi sio ya ccm peke yake.
eti ana kadigrii ka teaching kakanunua .wakati akiwa mpambe wa mahita.
 
Mie nafikiri majeshi yetu ,yana upungufu ktk mafundisho yao. huko sijui wananyweshwa BANGE wakidhani watakuwa wakakamavu ama vipi? maana hawa jamaa hata watoto wa chekechea wakigoma watawapa kichapo watoto hao kipigo cha mbwa mwizi.

Kifupi kuna tatizo kubwa sana ktk systems zetu zote za elimu na mafunzo.
Umesema ukweli. Wanafundishwa ubabe bila ethics.
 
Back
Top Bottom