Rais Jakaya Kikwete amewapongeza wakazi wote wa Arusha kwa kurudisha amani iliyokuwa imepotea.
Rais amesema kamwe serikali yake isingeruhusu mkutano wa kimataifa kufanyika Arusha katika hali ya sintofahamu iliyokuwepo kabla.
Rais ameyasema hayo katika hotuba yake iliyosambazwa kwa vyombo vya habari muda mchache uliopita.
Rais amesema mkutano wa kimataifa uliofanyika Arusha ni kutokana na juhudi za wakazi wa Arusha kurejesha amani iliyokuwa imepotea.
Amewasihi wakazi wote wa Arusha kuendeleza amani iliyopo ili jiji hilo liendelee kutambulika kama Geneva ya Afrika.
Rais amemalizia kwa kusema Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
Rais amesema kamwe serikali yake isingeruhusu mkutano wa kimataifa kufanyika Arusha katika hali ya sintofahamu iliyokuwepo kabla.
Rais ameyasema hayo katika hotuba yake iliyosambazwa kwa vyombo vya habari muda mchache uliopita.
Rais amesema mkutano wa kimataifa uliofanyika Arusha ni kutokana na juhudi za wakazi wa Arusha kurejesha amani iliyokuwa imepotea.
Amewasihi wakazi wote wa Arusha kuendeleza amani iliyopo ili jiji hilo liendelee kutambulika kama Geneva ya Afrika.
Rais amemalizia kwa kusema Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.