Arusha sasa ni Salama - Kikwete

Huyu fara anasema ars kuna amani?? angeongezewa ulinzi kiasi kile!! ha ha ha! hili dude jinga la mwisho! hivi aliwezaje kuwa rais??????????? Yani pale ngurudoto palikuwa na ulinzi wa kutisha!! magari ya msafara wake yanakaguliwa kila baada ya dakika kumi na mbwa maalum wa usalama! wangine tulizuiwa zaidi ya masaa manne kuingia ngurudoto na tuliporusiwa tukakaguliwa mpaka soksi halafu anasema a.town kuna amani??? Jinga hili!!! angetembea basi na gari la wazi atupungie mkono ndo angejua kuna amani!!! Rais jinga toka dunia hii kuumbwa!!
 
Ili tusahau yaliyopita awape wahusika umeya wao siyo tu kuzulumu huku ukitudanganya tusahu yaliyopita tena na policcm kuuwa watu
 
This is one of too low Mr Kikwete have ever give to his people, This means Mr Lema was right for every second and every minute had given a statement. Ni ukweli usiopingika sasa kuwa kuvuliwa ubunge kwa Lema kulikuwa na mkono wa rais. Hili jambo litampandisha chati Lema kuliko rais alivyo fikiria.
Nashindwa kuamini kuwa Lema alikuwa hatari nanma hiyo kwa utawala wa Jk.
I stand with Lema...

Ndo kosa alilofanya na ni tatizo kwa viongozi wetu badala ya kukabiliana na tatizo analikimbia kwa mbinu chafu mwisho wake atajikuta alikuwa akijikaanga kwa mafuta yake mwenyewe
 
anaogopa vitega uchumi vya Ridhiwani na Halfani kumegwa ,Mtu asiye nabusara kabisa Raisi gani asiyejua haki ya watu Polisi wauwe watu halafu yeye asichukue hatua anadhani hizo propaganda zitamsaidia au anawaagiza majaji wafanye atakavyo yeye yana mwisho kuna siku yatakuja kumpata mwanae pia hii dunia hakuiumba yeye

Leo anatesa basi yaja siku nae atateseka na kujuta ktk yote haya
 
Ni wazi na kweli kuwa ikulu ilihusika na Hukumu ya Lema na hii Watanzania wengi tunaweza kuamini kauli hii ya Kikwete. Nina wasiwasi rufaa yake haitashughulikiwa haraka. Lakini ipo siku.

Siyo mbaya kwani haki siku zote itasimama na Mungu atamfunguli njia zaidi ya hiyo na atang'aa zaidi
 
Jk kweli ana vituko vurugu za arusha chanzo ni yeye na ccm yake anafikiri tumesahau anachotakiwa kufanya ni kuwaomba msamaha watu wa arusha na Mheshimiwa Lema kwani siku zao kutawala Tz zina hesabika

Mwovu siku zote hawezi kuyaona hayo
 
... how cheap is this brand of politics that a person of a president's calibre could meant to go just fear of the Lema wave of unceasing popularity in A-Town!!!
 
Siyo mbaya kwani haki siku zote itasimama na Mungu atamfunguli njia zaidi ya hiyo na atang'aa zaidi

Majaji watatu wa mahakama ya rufaa watashindwa kutenda haki kweli?
 
Amani iliyokuwa imepotea? Naomba kuelimishwa jamani, juu ya kauli hii.

Mungu nahitaji kutubu kwako kwa hii dhambi iliyoipata inchi yangu kwa kuwa na raisi kama huyu. Naomba unisamehe mimi sikupiga kura kwa maana nilikuwa mbali sana na Nyumbani na sikujua kama huyu mtu anafikira kama hizi anazozitoa kila kukicha. Kauli zake zimejaa mipasho kama mziki wa pwani, silaumu sana kwa hili maana na yeye ni mtu wa pwani.
Nisamehe Mungu kwa hii laana inayonitafuna mimi kama mimi na wengine wote wenye zambi ya kuwa na raisi kama huyu. Ni maamzi yako pekee ndo yataijenga inchi yangu
 
Back
Top Bottom