Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 955
Mji wa arusha umechafuka ghafla baada ya wafanyabiashara ndogo ndogo mjini hapa kuvamia eneo lililouzwa na aliyekuwa meya miaka ya nyuma. Eneo hilo liko karibu na soko la Kilombero.
Hali hiyo imekuja baada wa manispaa ya arusha kukamata bidhaa za wafanyabiashara hao ambapo eneo walilokuwa wamepangiwa kuwa dogo kuliko wafanyabiashara hao.
Umati wa watu wakiwa wanaandamana kuvunja uzio na kuweka soko mikononi mwao
Hali ilipo zidi kuwa tete yakaongezeka Mawili
Hali hiyo imekuja baada wa manispaa ya arusha kukamata bidhaa za wafanyabiashara hao ambapo eneo walilokuwa wamepangiwa kuwa dogo kuliko wafanyabiashara hao.
Umati wa watu wakiwa wanaandamana kuvunja uzio na kuweka soko mikononi mwao
Hali ilipo zidi kuwa tete yakaongezeka Mawili