Ni heri vita inayotafuta haki na usawa kuliko amani inayopumbaza na kukandamiza haki ya wanyonge.Si walisema baada ya Lema kuvuliwa ubunge Arusha imekuwa shwari? vipi tena tunasikia machafuko?
Si walisema baada ya Lema kuvuliwa ubunge Arusha imekuwa shwari? vipi tena tunasikia machafuko?
Machinga wamefanya kweli! Police wamenyea!
Si walisema baada ya Lema kuvuliwa ubunge Arusha imekuwa shwari? vipi tena tunasikia machafuko?
Juzi Lema kawaambia watu wa Arusha huhitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu kutetea/kudai haki yako na akawaasa kutokuwa wabinafsi..
Mkuu hiyo ndio mipaka ya maeneo?
interejensia ya polisi ilishindwa kufanya kazi. hii ni mipango ya mda mrefu mbona??
mia
Huyo ndiyo kamanda LEMA moja wapo ya hazina za CDM
Wamachinga wamevamia uwanja wa Kilombero na kung'oa uzio wa mabati na kuchoma vitu vyote na kujigawia maeneo ya kufanyia biashara. Hali si shwari na risasi zinarindima mjini.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kwa wale walio karibu na soko la kilombero hapa Arusha tunaomba mtujuze kwa kina kinachoendelea hapo maana rafiki yangu kaniambia kuna mtifuano mkubwa sana wa wamachinga wamevamia na kubomoa uzio uliojengwa wakipinga kuhamishiwa nmc
Mbona wanatangaza mkutano ni leo wakafika maeneo ambayo wamachinga wanajenga jenga vibanda baada ya kugawiana maeneo ndipo wamachinga hao wakaanza kuwazomea sasa walijuaje kama wale ni chadema na siyo CCM au machinga wote ni chadema na kama ni chadema walienda kufanya nini kwa wanachadema....Kwenye facebook Julius Mtatiro ameandika kuwa waliopigwa katika eneo hilo ni viongozi wa CUF waliokuwa wanatangaza mkutano wao wa Jumapili. Anawalaumu Chadema kwa kupanga kundi la vijana kuwashambulia viongozi wake kwa lengo la kuwaua. Hii ina uhusiano na hiyo ya mpambano wa machinga katika eneo hilohilo?
Mji wa arusha umechafuka ghafla baada ya wafanyabiashara ndogo ndogo mjini hapa kuvamia eneo lililouzwa na aliyekuwa meya miaka ya nyuma. Eneo hilo liko karibu na soko la kilombero. Hali hiyo imekuja baada wa manispaa ya arusha kukamata bidhaa za wafanyabiashara hao ambapo eneo walilokuwa wamepangiwa kuwa dogo kuliko wafanyabiashara hao
Hata mimi naona ni hivyo kwahiyo basi machinga wajipange...Polisi hawakutumia risasi, bali walikuwa kwenye jitihada za kuzima moto baada ya wamachinga kuchoma matairi.
OCD na Operations wa polisi Daudi walifika eneo la tukio, ilibidi wabaki wanaangalia na kusimamia ugawaji wa wamachinga.
Nadhani polisi wameogopa kutumia nguvu kutokana na ugeni mzito uliopo hapa Arusha.
Hata mimi naona ni hivyo kwahiyo basi machinga wajipange...