Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Hata kama unakaa njiro unalazimishwa kupanda gari ya kwenda mbauda eti hawataki kuona mtu mjini, Arusha kwasasa ni vurugu tupu. Watajuta kupindisha ukweli na hili ni onyo kwa watawala

Natamani ningekuwepo A-town nione mshenzi atakaye nilazimisha kupanda dd.... Hao polisi hovyo kabisa, wao wapo kulazimisha wakutu kupanda daladala au kulinda hali ya usalama eneo hilo?
 
Management and leadership Collapse...Serikali ya kizuzu hii!
 
magari yanafanyakazi na stand nimefika ingawa magari si mengi lakini yapo hasa ya usa...
 
.........mambo ya Ngongo ni kama ya Ngoswe hebu tumwachie mwenyewe
 
Hiace za Usa zinaoshwa tokea saa nne asubuhi, hazipigi kazi. Chache zinapeleka abiria mpaka tengeru basi. Kampuni moja tu ndio inafikisha abiria mpaka phillips.
 
Hata kama unakaa njiro unalazimishwa kupanda gari ya kwenda mbauda eti hawataki kuona mtu mjini, Arusha kwasasa ni vurugu tupu. Watajuta kupindisha ukweli na hili ni onyo kwa watawala

Dah! Serikali taahira ambayo haina tofauti na Serikali ya makaburu iliyokuwepo South Africa miaka michache iliyopita.
 
Tatizo lenu kubwa mnataka kusikia mnayopenda msiyoyapenda kwenu nuksa ujumbe umefika.
Hata wetu umekufikia ndio maana umejibu, inaonekana leo hujalala unahaha kubadilisha thread mitaani sijui unatembea na desktop au laptop maana unaonekana hutumii mobile kupost. Lema atakuua kwa presha relax na usisahau kumchukua mama Tengeru.
 
Cha muhimu ni ujumbe swala la kutembea na computer halikuhusu.

Mh ngongo hongera,kote uko unatembea na computer yako? Umeamua kuwa journalist maana thread yako imetumwa kupitia computer nasiyo mobile,hongera sana.
 
Polisi wameamua kulazimisha watu kupanda Dala dala na kuwa lazimisha madereva wa dala dala kuendesha dala dala, ila madereva wengi wamekataa na kukimbia kuacha dala dala standa,kuna deffender kama 60 za polisi kwa sasa mjini.vijana zaidi ya 30 wamekamatwa wapo ndani.

Wanawalipia na nauli?

Kweli ocd zuberi kichwa cha nazi.
 
Kwa nini tusieleze ukweli uliopo Arusha kulikokudanganyana?

ukweli ni kwamba madereva wamegawanyika kunawanaofanya kazi na kunao waliogoma lakini mida ya saa nne wanaofanya kazi walizidiwa ndipo polisi wakaanza kuwakama waliokuwa wanashawishi kugoma..
 
Napata kinywaji Jabulani Park muda huu daladala za Sekei zinafanyakazi kama kawaida zipo nne kwenye foleni zina subiri abiria hakuna polisi hata mmoja.
 
Unanishangaza sana hii si kawaida yako leo umekuwa fair sana.

ukweli ni kwamba madereva wamegawanyika kunawanaofanya kazi na kunao waliogoma lakini mida ya saa nne wanaofanya kazi walizidiwa ndipo polisi wakaanza kuwakama waliokuwa wanashawishi kugoma..
 
Huyu OCD nataka kumuona tu sura yake,jamani mwenye picha yake atowekee humu tumjue,maana ujinga anaoufanya umepitiliza
 
Ngongo Masaburi,

Leo umeanzisha THREADS ngapi humu kuonyesha hali ni shwari Arusha?.

Niamini, kama upo kazini basi hiyo kazi huiwezi, maana unajichanganya na unapoteza credibility yako humu. Kaa kimya tu kama sie tusiokua na upande wowote.

Alamsik
 
Polisi wameamua kulazimisha watu kupanda Dala dala na kuwa lazimisha madereva wa dala dala kuendesha dala dala, ila madereva wengi wamekataa na kukimbia kuacha dala dala standa,kuna deffender kama 60 za polisi kwa sasa mjini.vijana zaidi ya 30 wamekamatwa wapo ndani.

Hivi zaidi ya hapo CCP kuna elimu nyingine wanapata hawa? Nauliza kwa sababu Polisi sasa wanadhihirisha uwezo wao mdogo wa kushughulikia mambo ya jamii. Wao wangeruhusiwa kupiga ungeshangaa walivyo effective
 
Back
Top Bottom