yule mwehu amejifitinisha mwenyewe..ameiharibu arusha
Historia inaonyesha kabla Lema hajawa mbunge, arusha ilikuwa salama kabisa, hata upatikanaji wa pesa haukuwa mgumu na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri, lakini tangu kipindi chake kimeanza hadi leo, full majanga!
Kipindi kile alipovuliwa ubunge, neema zilirudi kidogo na tulishuhudia barabara za mitaani kuwekwa lami, na pia kuzinduliwa kwa jiji la Arusha. Haka kamuda alikobakiza bora akaishi Somalia angalau neema zirudi tena kidogo.
Ni kweli kabisa Lema na Chadema wametuharibia Geneva yetu ya Afrika, sasa ni mabomu kila kukicha.
Kwa hiyo magamba mnailipua Arusha lengo kumfitinisha G. Lema na wananchi.!!!
Niliwashangaa sana watu wa arusha,
Hivi mlipopiga kura kumchagua lema mlirogwa?
KARIBUNI NILIKUWA ARUSHA,NIKAONGEA NA DEREVA WA BODABODA AKANIAMBIA ARUSHA TUNAIPENDA CDM HATA TUKISIMAMISHA JIWE na CCM JIWE LITASHINDA,LEMA HANA LOLOTE.NILISAHAU KUMUULIZA NINI MAKOSA YA CCM.
kwani umaskini ulijaa maeneo mengi ya nci hii ni kwasababu ya Lema? Acha shobo!
Lema ishughurikie Arusha mpaka vijana wajute usipofanya hivyo hawatagundua kama Cdm haitakiwi hapo Arusha chezea G. Lema wewe
ulianza ngono ukiwa mdogo sana, akil ikableach!
Niliwashangaa sana watu wa arusha,
Hivi mlipopiga kura kumchagua lema mlirogwa?
Mtoto wa miaka 6 wa arusha ni sawa na watu wa akili yako zaid ya 1000. Ndio mana hawakukubali kuhongeka na viji tshirt na vikofia vyenu wakafanya uamuzi sahihi kwa lema ambaye ni tunu kwa taifa hili,,hata mkihujumu arusha kwa kulipua mabomu ili mumfitinishe lema na wananchi hamtafanikiwa ,hizo ni siasa za kichovu ambazo ni wajinga kama wewe wanaweza kurubunika, OVER,!Niliwashangaa sana watu wa arusha,
Hivi mlipopiga kura kumchagua lema mlirogwa?
Lema ni laana na nuksi kwa mkoa wa arusha