Arusha BILA G. Lema ni Neema na Baraka

Arusha BILA G. Lema ni Neema na Baraka

Mtoto wa miaka 6 wa arusha ni sawa na watu wa akili yako zaid ya 1000. Ndio mana hawakukubali kuhongeka na viji tshirt na vikofia vyenu wakafanya uamuzi sahihi kwa lema ambaye ni tunu kwa taifa hili,,hata mkihujumu arusha kwa kulipua mabomu ili mumfitinishe lema na wananchi hamtafanikiwa ,hizo ni siasa za kichovu ambazo ni wajinga kama wewe wanaweza kurubunika, OVER,!

wewe utakuwa tarumbeta lake la mwisho kumpigia kidebe! Utakuwa unaachiwa familia yake wakati hayupo, akiwa kwenye mipango ya kulipua! Sasa bac, kashike mashamba basutu ulime maana sasahv hamna zaidi ya mwaka asepe zake cjui kama David Kameron amempa chumba cha kupumzikiwa huko Uj.
 
lema abadilike bado ananafasi ya kujisahihisha.

hapana mkuu, yule ni sikio la kufa! Kimavi ni kimavi tu, hata aogee maji ya bahari katu hawezi kujitoa magundu yake!
 
Join Date : 16th March 2014
Posts : 212
Rep Power : 347
Likes Received33
Likes Given0
A4.ulijiunga juzi kwa lengo hili, nenda Fb boya ww
 
Last edited by a moderator:
join date : 16th march 2014
posts : 212
rep power : 347
likes received33
likes given0
a4.ulijiunga juzi kwa lengo hili, nenda fb boya ww

maswala ya lini? Saa ngapi ? Hayana mashiko, muhimu kuna ukweli ?na jenga hoja.
 
Last edited by a moderator:
yan ww ni mku.......wa shivazi cz kamanda lema amefanya mambo mengi kwa mda wa miaka 3 kawazid wa2 waliofanya kaz miaka zaid ya 50 (1 WE MBWA mwanzo hapa twn ulitembelea barabara ya vumbi sasa lami uliogopa polic kama yoka saa ni wach........mba 2 watoto yatima wanasomeshwa wajane wamepewa mashamba na matrekta ya kulima
au mpaka ammege dem wako ndo uamini kazi yake
 
Mbona Ubungo, Kawe, Singida kigoma, wapo na Amani na binafsi nawakubali wabunge wao. Wanapinga kwa sense. Lema ni ghe least MP I would respect. Nawashangaa sana wana Arusha. Uchumi wao wanategemea sana Amani, lakini bado wanaichagua fujo! Wanatuathiri sana watanzania kwa ujumla wetu
 
......


.....CHADEMA ARUSHA NI MBUYU !!!!


sunland-baobab-9%25255B2%25255D.jpg
 
Lema amekwisha anajiandalia maisha ya bila ubunge 2015
 
Historia inaonyesha kabla Lema hajawa mbunge, arusha ilikuwa salama kabisa, hata upatikanaji wa pesa haukuwa mgumu na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri, lakini tangu kipindi chake kimeanza hadi leo, full majanga!

Kipindi kile alipovuliwa ubunge, neema zilirudi kidogo na tulishuhudia barabara za mitaani kuwekwa lami, na pia kuzinduliwa kwa jiji la Arusha. Haka kamuda alikobakiza bora akaishi Somalia angalau neema zirudi tena kidogo.

Kaka kama ni ppumba umekoboa kweli lazima umetumia powetila kufanya hii kazi manake analysis yake iko shallow utafikiri uliwahi pata ajali sehemu ya ubongo wako ikavuja
 
Kaka kama ni ppumba umekoboa kweli lazima umetumia powetila kufanya hii kazi manake analysis yake iko shallow utafikiri uliwahi pata ajali sehemu ya ubongo wako ikavuja

kwani wakati unaandika hii comment ulikuwa una hali gani?
 
Back
Top Bottom