Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 371
Historia inaonyesha kabla Lema hajawa mbunge, arusha ilikuwa salama kabisa, hata upatikanaji wa pesa haukuwa mgumu na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri, lakini tangu kipindi chake kimeanza hadi leo, full majanga!
Kipindi kile alipovuliwa ubunge, neema zilirudi kidogo na tulishuhudia barabara za mitaani kuwekwa lami, na pia kuzinduliwa kwa jiji la Arusha. Haka kamuda alikobakiza bora akaishi Somalia angalau neema zirudi tena kidogo.
Hivi wewe A4. Ni unazo au hamnazo?
Kweli humu ndani unatuambia habari za kunge kuwa na mbunge fulani ndio kungekuwa na maendeleo? ni akili kweli au umetumwa. kwa haraka tuu nenda Manispaa wakupe program za amendeleo ya mjini na usilopoke tuuuu. we uanpo fikili watu wakienda Bungeni kupanga Budget ya mwaka huwa wana maana gani?
Juzi kumetokea Bomu hapo Arusha Night Park unataka kusema wananchi wameamua kuuwana wao kwa visa vya siasa? Hii sio siasa kaa ujue hilo.
Watu wengi walihisi mchezo mchafu wa Kibiashara yaani kuoneana wivu
Wengine wana hisi ni Al Shabab kwa kuona matokeo yale yalio tokea Nairobi na Mombasa Majuzi tuu na Kampala kwenye club moja watu walikuwa wakiangalia mpira pia miaka michache nyuma.
Sasa wewe usitake kuupotosha Umma kwa njaa zako na njia mkato ulizo zizoea sa sasa hakuna.